Haya maisha bhana!!

Kwa dunia ya sasa ukisoma kwa kukariri kwamba baada ya kumaliza shule utaajiriwa basi utakufa kwa stress mapema sana.
 
Unapopata kukata tamaa unarudi kusoma hapa
 
Ulipata gpa ya ngapi mkuu
 
Kama upo dasalama na huna kazi nicheki nikupe mchongo ila ni nguvu 9 akili 1
 
Mkiambia nendeni VETA mnaona ushamba Sasa una GPA ndo Nini hata kibara saidia fundi nashindwa kukuita najua skills za handyman huna.
 
Daaaah mkuu umempa ukweli wote naona😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…