Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
Unapopata kukata tamaa unarudi kusoma hapaNikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.
Wakati wako bado Mkuu. Usiwaze negatively sana ndio maisha yalivyo, Sometimes You have to be content the way you are.
Hakuna mtu ambae yuko perfect 100 asilimia. Na kumbuka kwamba hata Mti wa Machungwa au Maembe matunda yake huwa hayaIvi yote kwa wakati mmoja kila tunda huiva kwa wakati wake.
Au sio Misss Leejay49
najiona kabisa mkuuKwa dunia ya sasa ukisoma kwa kukariri kwamba baada ya kumaliza shule utaajiriwa basi utakufa kwa stress mapema sana.
Ulipata gpa ya ngapi mkuuPole mkuu,
Mimi ni kati ya watu waliomaliza chuo wakiwa na gpa ndogo kweli. Nlisoma kozi siipendi kwa shinikizo la mzee plus nikafika chuo nikawa na mambo mengi. Sup za kutosha kila semister na course ilikuwa ngumu kweli watu kibao waka disco nashangaa hata nlitoboaje miaka 3.
Sasa kwakuwa nilijua gpa yangu ni ndogo sana nlijua siwezi compete na wenye ma gpa yao.
Niliamua kutafta njia zangu na kufanya vitu vingine. Luckily baada ya hapo nimewahi kuajiriwa sehemu 3 na kote huko sikuwahi kuulizwa cheti maana bali tu watu wananiajiri kwa experience au reference.
So, mkuu usikate tamaa maisha ni kupambana mlango huu ukizingua unacheki hata dirisha kama unaweza kupenya
Kama upo dasalama na huna kazi nicheki nikupe mchongo ila ni nguvu 9 akili 1Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
nipo Arusha mkuuKama upo dasalama na huna kazi nicheki nikupe mchongo ila ni nguvu 9 akili 1
usijifungie kwenye room.1..maisha popote dogo...sio arusha tu..sema popoteAKITOKEA MTU AKANITAFUTIA PA KUJITOLEA ARUSHA NITASHUKURU SANA
Hukutaka kula pesa ya serikaliNilikimbia chuo mwaka wa kwanza.Nipo tu huku mtaani nahakikisha vifurushi vya watu vinatoka dsm vinafika mikoani kwa usalama.
asante mkuupole sana kiongozi.
Kwa arusha hapana mkuu...nipo Arusha mkuu
sasa ukienda nnje ya mkoa unaenda kuishije wakati mlo wa siku 1 tu unanipiga chengausijifungie kwenye room.1..maisha popote dogo...sio arusha tu..sema popote
nadhani kilq mtu na ufahamu wake..toka kwenye comfort zone...maisha ni popote..seems wewe mwoga balaasasa ukienda nnje ya mkoa unaenda kuishije wakati mlo wa siku 1 tu unanipiga chenga
Mkiambia nendeni VETA mnaona ushamba Sasa una GPA ndo Nini hata kibara saidia fundi nashindwa kukuita najua skills za handyman huna.Wahenga walisema kua uyaone na kweli nimeyaona natamani hata nisingekuwepo duniani. Nimepiga kitabu kwa bidii diploma G.P.A ya 4 degree 4.0 na sioni muelekeo wowote.
Wakuu kitaa ni kugumu natamani hata niyeyuke nilisoma accounting and finance na sioni ikininufaisha kwa chochote, nawaza kwanini nilizaliwa
najiona kabisa mkuu
saidia fundi nimefanya sana mkuu kama upo Arusha nishtueMkiambia nendeni VETA mnaona ushamba Sasa una GPA ndo Nini hata kibara saidia fundi nashindwa kukuita najua skills za handyman huna.
nishajaribu kutoka nnje ya mkoa kujitafuta ila nilikiona cha mtema kuninadhani kilq mtu na ufahamu wake..toka kwenye comfort zone...maisha ni popote..seems wewe mwoga balaa
Daaaah mkuu umempa ukweli wote naona😀Kwani nani alikuambia ukasome hakuna , ulijiendea ,mwenyewe , jingine ungesema awali miezi kuanzia january hadi june ungepata kazi ndugu yangu alikuwa anatafuta muhasibu mshara 1. 2ml sasa kapata na kuna matangazo yalikuwa yanatokea ya watu waliosomea uhasibu mengi saivi unasema funga mwaka nani akuajiri