tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 534
hapa ni kwenye kona na anaovertake hizo scania mbili. hii ni hatari. asilimia kubwa ya magari yanayotoka mkua kuja dar yanakuwa hayana mizigo. na hizi scania zinakimbia balaa. angevumilia tu akifika sehemu nzuri ndo akanyagie mafuta. Mia
Mshikaji kapime akili.
Huku Jibu ulicho ulizwa,nani asiye ona hiyo ni kona.
Nimecheka sana.