Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 6,545
- 11,086
Mmiliki wa haya mabasi kama hii route ya Mwanza-Kahama haikulipi hebu waachie wawekezaji walio serious na biashara na huduma nzuri.
Shida kubwa ni kutokujali muda wa abiria, kujaza abiria kupita kiasi, mabasi yamechoka, fuatilia nyakati za asubuhi gari zako zinaweza kuondoka 12 kamili na mabasi mengine kama KISIRE yakaondoka 12 na nusu lakini kabla ya kufika Shinyanga, Frester inakuwa ishaachwa nyuma-mnakera.
Fainali ilikuwa jana usiku-basi limekaa Shinyanga kuanzia saa 2 kasoro hadi saa 3 kisa wahudumu wameenda kufuturu.
kufuturu saa nzima?
Shida kubwa ni kutokujali muda wa abiria, kujaza abiria kupita kiasi, mabasi yamechoka, fuatilia nyakati za asubuhi gari zako zinaweza kuondoka 12 kamili na mabasi mengine kama KISIRE yakaondoka 12 na nusu lakini kabla ya kufika Shinyanga, Frester inakuwa ishaachwa nyuma-mnakera.
Fainali ilikuwa jana usiku-basi limekaa Shinyanga kuanzia saa 2 kasoro hadi saa 3 kisa wahudumu wameenda kufuturu.
kufuturu saa nzima?