Hizi taarifa zinachanganya!
Tarehe 23 march niliangalia taarifa ya habari, Taarifa zinasema Serikali ina mpango wa kutafta mwekezaji ambaye ataleta mabasi na kutoa huduma kama mzabuni.
Tarehe 25 march katika taarifa ya habari wanasema mzabuni tayali kashaanza kuigiza mabasi! Swali tenda ilitangazwa lini?
Anyway! Wanaendelea kusema Mabasi hayo yatakuwa ya mzabuni hadi pale yatapofikia uchakavu ndipo yatakuwa mali ya serikali. Swali serikali kama imeshindwa kuyasimamia yakiwa mapya watawezaje kuyasimamia watapokabidhiwa yakiwa mabovu?
Huyu mzabuni ni nani? Kwanini mkataba useme mabasi chakavu itakabidhiwa serikali ili iweje?
Waandishi hebu fuatilieni tuwe tunapata taarifa zilizonyooka!
Tarehe 23 march niliangalia taarifa ya habari, Taarifa zinasema Serikali ina mpango wa kutafta mwekezaji ambaye ataleta mabasi na kutoa huduma kama mzabuni.
Tarehe 25 march katika taarifa ya habari wanasema mzabuni tayali kashaanza kuigiza mabasi! Swali tenda ilitangazwa lini?
Anyway! Wanaendelea kusema Mabasi hayo yatakuwa ya mzabuni hadi pale yatapofikia uchakavu ndipo yatakuwa mali ya serikali. Swali serikali kama imeshindwa kuyasimamia yakiwa mapya watawezaje kuyasimamia watapokabidhiwa yakiwa mabovu?
Huyu mzabuni ni nani? Kwanini mkataba useme mabasi chakavu itakabidhiwa serikali ili iweje?
Waandishi hebu fuatilieni tuwe tunapata taarifa zilizonyooka!