Haya hapa maujanja ya kutengeneza Natural Viagra, Mademu lazima wakukome!

Mkuu STUNTER sijawahi jaribu huo mchanganyiko wako wala kuusikia kokote, lakini naamini ni salama na hauna side effects.

Ngoja leo niwape story yangu ya kweli kabisa..

Binafsi niliwahi kupata tabu sana siku za nyuma kutokana na ishu hizo za kushindwa kusimamia ukucha vizuri.. Ilibaki kuwa siri yangu lakini ilinitesa, acha tu..

Nilikuwa na majanga mawili; kwanza nilikuwa nawahi kukojoa halafu nyege zote zinakatia hapo, halafu 'mjomba' nae alikuwa weak sometimes akishaangusha mzigo kuamka ni shughuli pevu!

Ila kuna siku nilipata ufumbuzi.. Ilikuwa hivi;

Tulikaa tu maskani (hotel fulani hivi ipo mkabala na nyumba ninayoishi), baada ya kazi jioni tunapiga story, siasa na soka kwa saaana.. Siku hiyo ndio ilikuwa OMEGA ya tatizo langu sugu..

Mmoja wa washirika wa maskani yetu ni mzee mmoja hivi injinia mstaafu.. Akatumegea siri kuwa pmj na uzee wake yeye suala la kula mzigo halimpi stress na anapiga mambo kama kijana.. Tulipomdadisi sana kwa kuwa ni mwenzetu akatupatia utajiri huo wa afya usio na madhara..

Mpaka ninavyoandika hapa, ninayo dawa ya asili (kama majani ya chai hivi) ambayo naichanganya kwenye chai na kahawa kila ninapokunywa... Na sio dawa ya nguvu za kiume tu, inatibu maradhi mengi ambayo nilidhani ni utani ila naona matokeo yake kwa kila anayejaribu..

Sasa tatizo siku hizi matangazo ya tiba hizi yamekuwa mengi na feki kiasi kwamba ni ngumu sana mtu kuaminika anapokuja na story kama hizi anaonekana wale wale tu, ila bahati nzuri wapo walimbwende wawili humu JF nishatoka nao, waje wanisute kama naongopa!

Guys, jaribuni ishu ya Stunter, ikifeli msichoke kutafuta faida kwingineko.. Tumeumbwa kwa udongo, tiba ipo ardhini!

Majani yapi hayo?
 
Majita eeh STUNTER nimeamua kuisaidia kambi yangu ya kiumeni manake wachuchu wanaishambulia sana, mara ooh Skuizi wachezaji wamekuwa wachovu,
Mara wanasema eti hatufungi magoli ya uhakika,
na wengine wanafika mbali zaidi wakisema eti hatuwezi kuhimili mchezo kwa dakika 90 Kudadekii...
Sasa nasemajeee wanawake mjiandae...

Mazee miluzi mingi humchanganya mbwa! Sasa mimi ngoja niende straight to the point, Leegow
-
JINSI YA KUANDAA MCHANGANYIKO WA NATURAL VIAGRA
vinavyohitajika
i.¼ Tikikiti maji ( watermelon)
ii.1 Limau (lemon)
iii.1 Komamanga(pomegranate)
Jinsi ya kutengeneza
-Chukua hivyo tikiti likate vipande vidogovidogo( hata ule utando mweupe wa chini pia muhimu sana hivyo hakikisha unalikwangua vizuri)
kisha viweke pamoja na hayo matunda mengine kwenye blenda kwaajili ya kusagwa.

-Visage vizuri mpaka viwe juice, kisha chukua juice yako weka kwenye sufuria alafu viweke jikoni vichemke, hakikisha vinachemka mpaka vinatoa mvuke wa kuevaporate,

-Baada ya hapo iepue kisha iache ipoe kwa muda kama wa saa1(lisaa limoja),
-
Hapo sasa weka kwenye chupa au chombo chenye mfuniko kisha hifadhi kwenye friji, na hapo utakuwa umeshatengeneza, twende kwenye matumizi sasa tehetehe leo mademu watakoma leooo!
Jinsi ya kutumia
-Kila siku asubuhi kunywa 1/3 ya kikombe au glass, hakikisha unakunywa kabla haujala chochote( empty stomach)
-Fuata utaratibu huo pia kabla ya msosi wa mchana.
N.B
Hiyo ni juice ya asili kabisa ambayo itakwenda kurekebisha msukumo wako wa damu mwilini na kukuongezea stamina ya kupafomu shoo ambayo sio ya nchi hii,
Na pia hiyo juice inaweza kutumiwa na mtu yeyote kwasababu haina side effects.
ONYO:
Hiyo juice baada ya maji usiichanganye na kitu chochote kile mfano Sukari, chumvi,Ladha(taste), rangi, au kiungio chochote kile!
kwasababu vinaweza kuipunguza nguvu ya utendaji kazi.
Vilevile Wakati unachanganya hayo matunda usitoe mbegu, changanya na mbegu zake......
Mkuu ongezea hii,

1.Asali mbichi 1/3 kuanzia siku moja na kuendelea..... hapo shem lazima apandishe mashetani,

2. Kula parachichi, karoti na (embe au tikiti) kwa pamoja but siku mbili kabla ya mechi,
Kama vinapatikana kirahisi unaweza kutumia kila siku, walahi lazima shem aimbe haleluyaaaa.
 
SALOK Umeshawahi kutengeneza juice ya ukwaju na ubuyu??
Vitu vingine kama hauvijui bora uulize tu,
anyway Hayo makomamanga yapo kibao sokoni na supermarkets
 
Matikiti maji ni dhahabu ambazo wengi tunaidharau, Angalau umewaondolea mashaka wale wenye wasiwasi,
Alafu mkuu tungepata info kidogo kuhusu hiyo mashine ya kutengeza wine ingekuwa bora zaidi
Mkuu mimi mashine yangu nilinunua 650k... Unaweza check ebay au kama una ndugu/rafiki China unaweza ukamwagizia..

Mfano wake ni kama hii hapa..
Fuyang-buda-corn-ethanol-distiller-whisky-distillation.jpg
 
Majita eeh STUNTER nimeamua kuisaidia kambi yangu ya kiumeni manake wachuchu wanaishambulia sana, mara ooh Skuizi wachezaji wamekuwa wachovu,
Mara wanasema eti hatufungi magoli ya uhakika,
na wengine wanafika mbali zaidi wakisema eti hatuwezi kuhimili mchezo kwa dakika 90 Kudadekii...
Sasa nasemajeee wanawake mjiandae...

Mazee miluzi mingi humchanganya mbwa! Sasa mimi ngoja niende straight to the point, Leegow
-
JINSI YA KUANDAA MCHANGANYIKO WA NATURAL VIAGRA
vinavyohitajika
i.¼ Tikikiti maji ( watermelon)
ii.1 Limau (lemon)
iii.1 Komamanga(pomegranate)
Jinsi ya kutengeneza
-Chukua hivyo tikiti likate vipande vidogovidogo( hata ule utando mweupe wa chini pia muhimu sana hivyo hakikisha unalikwangua vizuri)
kisha viweke pamoja na hayo matunda mengine kwenye blenda kwaajili ya kusagwa.

-Visage vizuri mpaka viwe juice, kisha chukua juice yako weka kwenye sufuria alafu viweke jikoni vichemke, hakikisha vinachemka mpaka vinatoa mvuke wa kuevaporate,

-Baada ya hapo iepue kisha iache ipoe kwa muda kama wa saa1(lisaa limoja),
-
Hapo sasa weka kwenye chupa au chombo chenye mfuniko kisha hifadhi kwenye friji, na hapo utakuwa umeshatengeneza, twende kwenye matumizi sasa tehetehe leo mademu watakoma leooo!
Jinsi ya kutumia
-Kila siku asubuhi kunywa 1/3 ya kikombe au glass, hakikisha unakunywa kabla haujala chochote( empty stomach)
-Fuata utaratibu huo pia kabla ya msosi wa mchana.
N.B
Hiyo ni juice ya asili kabisa ambayo itakwenda kurekebisha msukumo wako wa damu mwilini na kukuongezea stamina ya kupafomu shoo ambayo sio ya nchi hii,
Na pia hiyo juice inaweza kutumiwa na mtu yeyote kwasababu haina side effects.
ONYO:
Hiyo juice baada ya maji usiichanganye na kitu chochote kile mfano Sukari, chumvi,Ladha(taste), rangi, au kiungio chochote kile!
kwasababu vinaweza kuipunguza nguvu ya utendaji kazi.
Vilevile Wakati unachanganya hayo matunda usitoe mbegu, changanya na mbegu zake......
Yaani mbegu za limao zisitolewe? We mwana we!
 
Sijui yanaitwaje wala yanakopatikana..
Ukiyahitaji nitakuombea bila hiyana ndugu..
Mind you - hayo majani sio 'tiba' ya nguvu za kiume.. Ni remedy tu ya mwili mzima kwa tatizo lolote la kawaida la kiafya..
Kama tatizo lako ni serious sana, siweki dhamana..
Mkuu hakuna kitu kinatesa na kuumiza kisirisri kama mwanaume kuwa na matatizo kama uliyoyaelezea hapo mwanzo, labda nikufate huko PM kwa ruhusa yako kama hautojali unimegee kipande cha dhahabu nami nitajirke!!!!!
 
"Bado kuna habari kinga haimalizi hamu..
Bado kuna hatari mpenzi ukimuacha na hamu.."


Nasoma zangu comments kimya kimya ili nipate maujanja kutoka kwa washikaji.
 
Mkuu hakuna kitu kinatesa na kuumiza kisirisri kama mwanaume kuwa na matatizo kama uliyoyaelezea hapo mwanzo, labda nikufate huko PM kwa ruhusa yako kama hautojali unimegee kipande cha dhahabu nami nitajirke!!!!!

Naelewa bro, I have been there too!
Kwa kweli inatesa, inatesa sana..
Niliwahi jaribu tumia 'hard liquor' nikachemka baada ya muda japo mwanzoni it worked..
Karibu tu, nitakupatia bila hiyana..
 
Matikiti yangeisha sokoni na makomamanga yangekoma kama ungesema kua hii kitu inarefusha na kunenepesha uume pia.
Ukubwa sio ishu, but ishu ni kujua kukitumia ulichonacho kwa ufanisi
 
Back
Top Bottom