Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
Mkuu kwa heshima na taadhima naomba ukipata nafasi utufafanulie kuhusu hayo majani
Hayo majani unayasaga.. Si machungu wala matamu, yapo kama tea masala hivi..
Alitupatia kidogo kidogo na hauzi ila katupa ofa tukiishiwa tumwombe..
Yanaitwaje au anayatoa wapi anadai ni siri yake..
Ila honestly, yanalipa!