Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Wapendwa,nilikuja humu kutafuta hawara wa kiume,na kuomba aliye tayari ani-PM.
Nilishukuru kwani nilimpata wa kuniliwaza.
Sasa cha ajabu,amekuwa haishi kunifanyia vituko,hata sijui nifanyeje!
Kama ambavyo niliomba kukutana na hawara humu,naomba msaada wenu wa mawazo wana Chit Chat,juu ya mwanaume huyu asiye shikika!
Nilishukuru kwani nilimpata wa kuniliwaza.
Sasa cha ajabu,amekuwa haishi kunifanyia vituko,hata sijui nifanyeje!
Kama ambavyo niliomba kukutana na hawara humu,naomba msaada wenu wa mawazo wana Chit Chat,juu ya mwanaume huyu asiye shikika!