Hawakutaka kurudia makosa ya Ulimboka

Siku moja kwenye story hizi za vijiweni jamaa mmoja akasema kuwa lilikuwa ni kosa moja kubwa sana la kiufundi kumuacha Ulimboka hai..kwakuwa mengi yatokanayo yalikuja kujulikana...Ulimboka hakupaswa kubaki hai kwa mukatadha wa watesi wake!

Kosa lingine kubwa la kiufundi lilikuwa kufanya mawasiliano ya kielectronic na kimtandao kupitia simu za mkononi...hivi vitu vinaacha alama zisizofutika...ndio maana mawasiliano yale yakaja kuwekwa wazi neno kwa neno muda eneo mpaka sekunde

Kosa lingine ni security bleach....kulikuwa kuna loop hole mahali, hakukuwa na tight mark hivyo kuruhusu habari zisizotakiwa kuvuja
Kwahiyo nini kingefanyika in future
-kuwa na encycriped devises ambazo haziruhusu mawasiliano kuvuja kwa njia yoyote ile

-kufanya system overhaul ili kuondoa posibilities zote za virus waliokuwa wanavujisha habari

-kutumia Osama technique ambayo ilimsaidia sana 'manual search' hakuna kutumia simu kabisa mawasiliano yote yanakuwa locally...yani kama unanitafuta mimi unanifuatilia kinyumenyume kupitia wengine mpaka unanifahamu vilivyo ratiba zangu daily ninapoishi nk nk....baada ya hapo ni rahisi sana kuninyakua pahala nikiwa pekeyangu hasa gizani

Kwa njia hii mtanitafuta mpaka basi kumbe tayari niko kwenye tumbo la chatu naoza taratibu
kumbe na huku upo. ...uganga vipi au umeuza tunguri. .???
 
Siku moja kwenye story hizi za vijiweni jamaa mmoja akasema kuwa lilikuwa ni kosa moja kubwa sana la kiufundi kumuacha Ulimboka hai..kwakuwa mengi yatokanayo yalikuja kujulikana...Ulimboka hakupaswa kubaki hai kwa mukatadha wa watesi wake!

Kosa lingine kubwa la kiufundi lilikuwa kufanya mawasiliano ya kielectronic na kimtandao kupitia simu za mkononi...hivi vitu vinaacha alama zisizofutika...ndio maana mawasiliano yale yakaja kuwekwa wazi neno kwa neno muda eneo mpaka sekunde

Kosa lingine ni security bleach....kulikuwa kuna loop hole mahali, hakukuwa na tight mark hivyo kuruhusu habari zisizotakiwa kuvuja
Kwahiyo nini kingefanyika in future
-kuwa na encycriped devises ambazo haziruhusu mawasiliano kuvuja kwa njia yoyote ile

-kufanya system overhaul ili kuondoa posibilities zote za virus waliokuwa wanavujisha habari

-kutumia Osama technique ambayo ilimsaidia sana 'manual search' hakuna kutumia simu kabisa mawasiliano yote yanakuwa locally...yani kama unanitafuta mimi unanifuatilia kinyumenyume kupitia wengine mpaka unanifahamu vilivyo ratiba zangu daily ninapoishi nk nk....baada ya hapo ni rahisi sana kuninyakua pahala nikiwa pekeyangu hasa gizani

Kwa njia hii mtanitafuta mpaka basi kumbe tayari niko kwenye tumbo la chatu naoza taratibu
Bro,kwanza shikamoo.Umejiandaa vzr?Hauko Kwenye nyumba ya vioo? Hatutaki zile kauli za "Bring back our mshana alive".
 
[HASHTAG]#bringbackbenalive[/HASHTAG]
[HASHTAG]#justiceforLema[/HASHTAG].
[HASHTAG]#pumzikakwaamaniDena[/HASHTAG]
 
Nikikumbuka hilo jina Ulimboka najikuta naumia sana...
Mzazi anaumwa yupo hospital

Mara mgomo umeanza
Madaktari nao wanadai kitu kidogo walau mzazi apate sindano apoze maumivu.

Ni siku moja kabla ya ule upasuaji uliptakiwa ufanyike kutibu tatizo la mzazi.

Siku inafika hakuna kinachoendelea unawafuata madaktari wakikusamehe sana wanakwambia "babako anakufa leo, umejipangaje asife kwa maumivu"

Hatimaye mzazi anakufa kwa mateso,
naam anamaliza kazi yake duniani , siku ilifika lakini majibu ya daktari yule hunitia hasira sana na namwona kama mtesi wa baba yangu.
Hadi leo jina Ulimboka na jina la Hospital ile hunikumbusha yale maumivu aliyoyapata baba.

Pumzika salama baba, tunakukumbuka daima.

Kamwe ktk hili siwezi kuwa upande wa waliopoteza roho za watu wengi kisa pesa .....
Roho ya mtu haina thamani ya kulinganisha nayo.,..kabisa hainaaaaa
Kisha Leo mnateua mmoja wa waliosababisha watanzania kupoteza roho kwa makusudi kuwa KATIBU MKUU WA CHAMA...... (HISTORIA ITAWAHUKUMU)
 
Duh! ina maana huyo jamaa naye alikuwa na madhara kama Ulimboka kiasi cha watu kuacha shughli zao na kumshughlikia na yeye!

Nimehamasika kujua ni kipi alikuwa akifanya huyo jamaa ambacho ni tishio.
 
Siku moja kwenye story hizi za vijiweni jamaa mmoja akasema kuwa lilikuwa ni kosa moja kubwa sana la kiufundi kumuacha Ulimboka hai..kwakuwa mengi yatokanayo yalikuja kujulikana...Ulimboka hakupaswa kubaki hai kwa mukatadha wa watesi wake!

Kosa lingine kubwa la kiufundi lilikuwa kufanya mawasiliano ya kielectronic na kimtandao kupitia simu za mkononi...hivi vitu vinaacha alama zisizofutika...ndio maana mawasiliano yale yakaja kuwekwa wazi neno kwa neno muda eneo mpaka sekunde

Kosa lingine ni security bleach....kulikuwa kuna loop hole mahali, hakukuwa na tight mark hivyo kuruhusu habari zisizotakiwa kuvuja
Kwahiyo nini kingefanyika in future
-kuwa na encycriped devises ambazo haziruhusu mawasiliano kuvuja kwa njia yoyote ile

-kufanya system overhaul ili kuondoa posibilities zote za virus waliokuwa wanavujisha habari

-kutumia Osama technique ambayo ilimsaidia sana 'manual search' hakuna kutumia simu kabisa mawasiliano yote yanakuwa locally...yani kama unanitafuta mimi unanifuatilia kinyumenyume kupitia wengine mpaka unanifahamu vilivyo ratiba zangu daily ninapoishi nk nk....baada ya hapo ni rahisi sana kuninyakua pahala nikiwa pekeyangu hasa gizani

Kwa njia hii mtanitafuta mpaka basi kumbe tayari niko kwenye tumbo la chatu naoza taratibu
Mkuu huwa ipo hivi, Siri huwa ni ya watu 3, shetani, Mungu na mhusika mwenyewe.

Kuna kastory flani nilipata kukasikia, jamaa wanne walipata kutumwa wakafanye maauaji sehemu, ya mtu flani kwa kiasi flani cha malipo.
Waliifanikiwa kumkamata mhusika na wakampeleka porini kwaajili ya kutekeleza mauaji hayo.

Wakiwa huko porini, walimuambia mhusika asali Sala zake za mwisho, kisha aombe chochote kabla ya kuuawa.

Mhusika, aliinama chini kwa huzuni mwingi, Kisha akasali, Sala fupi ya kuomba Mungu amsamehe dhambi zake, huku midomo ya bunduki na mapanga vikimuelekea yeye.

Akiwa bado kainama aliona msululu wa sisimizi katika mistari moja wakiongozana. Akili ikamjia ghafla, kuwa awaombe wale sisimizi wapeleke taarifa kwao kwamba ameuawa. Alifanya vivyo kwa kupaza sauti, kitu kilichopelekea wale wauaji kucheka sana tena kwa dharau, kisha wakatekeleza mauaji yao kwa kumuua yule bwana, na wakaenda zao.

Ilipita miaka kadhaa, wale wauaji walikuwa sehemu wakipata kinywaji (pombe), huku kikiwa kimewakolea sawa sawa, mmoja wao akaona msululu wa siafu, akacheka sana, wenzake wakashtuka wakadhani amelewa zaidi na kuwa chizi, wakamuuliza vipi, mbona unacheka pekeyako.?

Akawajibu huku akiwaonesha msululu wa wale siafu, Kisha akawaambia kwa kiwauliuliza mnakumbuka siku flani wakati tumamuua flani aliwaomba sisimizi kama hawa wampelekee Salamu kwa ndugu zake yakuwa ameuawa na sisi? Wale Rafiki zake nao wakakumbuka Kisha wakacheka sana kwa kugonganisha glass za vinywaji vyao.

Pasipo kujua pale mbembeni kuna watu waliwasikia, wakati wakikili hayo, wale watu walienda kutoa taarifa kwenye vyombo vya usalama na Jamaa wakatafutwa na kutiwa chini ya ulinzi, Kisha mahakamani kwa kosa la mauaji.

Kwahiyo it's a matter of time and "tick tock"
 
Nikikumbuka hilo jina Ulimboka najikuta naumia sana...
Mzazi anaumwa yupo hospital

Mara mgomo umeanza
Madaktari nao wanadai kitu kidogo walau mzazi apate sindano apoze maumivu.

Ni siku moja kabla ya ule upasuaji uliptakiwa ufanyike kutibu tatizo la mzazi.

Siku inafika hakuna kinachoendelea unawafuata madaktari wakikusamehe sana wanakwambia "babako anakufa leo, umejipangaje asife kwa maumivu"

Hatimaye mzazi anakufa kwa mateso,
naam anamaliza kazi yake duniani , siku ilifika lakini majibu ya daktari yule hunitia hasira sana na namwona kama mtesi wa baba yangu.
Hadi leo jina Ulimboka na jina la Hospital ile hunikumbusha yale maumivu aliyoyapata baba.

Pumzika salama baba, tunakukumbuka daima.
Pole sana ndugu.
 
Duh! ina maana huyo jamaa naye alikuwa na madhara kama Ulimboka kiasi cha watu kuacha shughli zao na kumshughlikia na yeye!

Nimehamasika kujua ni kipi alikuwa akifanya huyo jamaa ambacho ni tishio.
Hamna lolote ni siasa tu, kwakua ni mwanasiasa!
 
Nikikumbuka hilo jina Ulimboka najikuta naumia sana...
Mzazi anaumwa yupo hospital

Mara mgomo umeanza
Madaktari nao wanadai kitu kidogo walau mzazi apate sindano apoze maumivu.

Ni siku moja kabla ya ule upasuaji uliptakiwa ufanyike kutibu tatizo la mzazi.

Siku inafika hakuna kinachoendelea unawafuata madaktari wakikusamehe sana wanakwambia "babako anakufa leo, umejipangaje asife kwa maumivu"

Hatimaye mzazi anakufa kwa mateso,
naam anamaliza kazi yake duniani , siku ilifika lakini majibu ya daktari yule hunitia hasira sana na namwona kama mtesi wa baba yangu.
Hadi leo jina Ulimboka na jina la Hospital ile hunikumbusha yale maumivu aliyoyapata baba.

Pumzika salama baba, tunakukumbuka daima.
 
Hata mimi nakumbuka baba yangu alivamiwa na vibaka wakamkata kidole lakini alivoenda muhimbili akakutana na mgomo wa kina ulimboka uwez amini walimshona bila ganzi na kumruhusu aondoke aliumia sana ....
 
Siku moja kwenye story hizi za vijiweni jamaa mmoja akasema kuwa lilikuwa ni kosa moja kubwa sana la kiufundi kumuacha Ulimboka hai..kwakuwa mengi yatokanayo yalikuja kujulikana...Ulimboka hakupaswa kubaki hai kwa mukatadha wa watesi wake!

Kosa lingine kubwa la kiufundi lilikuwa kufanya mawasiliano ya kielectronic na kimtandao kupitia simu za mkononi...hivi vitu vinaacha alama zisizofutika...ndio maana mawasiliano yale yakaja kuwekwa wazi neno kwa neno muda eneo mpaka sekunde

Kosa lingine ni security bleach....kulikuwa kuna loop hole mahali, hakukuwa na tight mark hivyo kuruhusu habari zisizotakiwa kuvuja
Kwahiyo nini kingefanyika in future
-kuwa na encycriped devises ambazo haziruhusu mawasiliano kuvuja kwa njia yoyote ile

-kufanya system overhaul ili kuondoa posibilities zote za virus waliokuwa wanavujisha habari

-kutumia Osama technique ambayo ilimsaidia sana 'manual search' hakuna kutumia simu kabisa mawasiliano yote yanakuwa locally...yani kama unanitafuta mimi unanifuatilia kinyumenyume kupitia wengine mpaka unanifahamu vilivyo ratiba zangu daily ninapoishi nk nk....baada ya hapo ni rahisi sana kuninyakua pahala nikiwa pekeyangu hasa gizani

Kwa njia hii mtanitafuta mpaka basi kumbe tayari niko kwenye tumbo la chatu naoza taratibu

hawa wetu vil.aza hawazi kufanya hivyo
 
Siku moja kwenye story hizi za vijiweni jamaa mmoja akasema kuwa lilikuwa ni kosa moja kubwa sana la kiufundi kumuacha Ulimboka hai..kwakuwa mengi yatokanayo yalikuja kujulikana...Ulimboka hakupaswa kubaki hai kwa mukatadha wa watesi wake!

Kosa lingine kubwa la kiufundi lilikuwa kufanya mawasiliano ya kielectronic na kimtandao kupitia simu za mkononi...hivi vitu vinaacha alama zisizofutika...ndio maana mawasiliano yale yakaja kuwekwa wazi neno kwa neno muda eneo mpaka sekunde

Kosa lingine ni security bleach....kulikuwa kuna loop hole mahali, hakukuwa na tight mark hivyo kuruhusu habari zisizotakiwa kuvuja
Kwahiyo nini kingefanyika in future
-kuwa na encycriped devises ambazo haziruhusu mawasiliano kuvuja kwa njia yoyote ile

-kufanya system overhaul ili kuondoa posibilities zote za virus waliokuwa wanavujisha habari

-kutumia Osama technique ambayo ilimsaidia sana 'manual search' hakuna kutumia simu kabisa mawasiliano yote yanakuwa locally...yani kama unanitafuta mimi unanifuatilia kinyumenyume kupitia wengine mpaka unanifahamu vilivyo ratiba zangu daily ninapoishi nk nk....baada ya hapo ni rahisi sana kuninyakua pahala nikiwa pekeyangu hasa gizani

Kwa njia hii mtanitafuta mpaka basi kumbe tayari niko kwenye tumbo la chatu naoza taratibu
Mkuu mshana.

Halikuwa kosa la kiufundi. Alitakiwa akahadithie na wenzake waone. Kwani hayupo? Si yupo? Lakini

Hawakuona umuhimu wa mfagiaji, au alifagia wakati it is too late.
 
Siku moja kwenye story hizi za vijiweni jamaa mmoja akasema kuwa lilikuwa ni kosa moja kubwa sana la kiufundi kumuacha Ulimboka hai..kwakuwa mengi yatokanayo yalikuja kujulikana...Ulimboka hakupaswa kubaki hai kwa mukatadha wa watesi wake!

Kosa lingine kubwa la kiufundi lilikuwa kufanya mawasiliano ya kielectronic na kimtandao kupitia simu za mkononi...hivi vitu vinaacha alama zisizofutika...ndio maana mawasiliano yale yakaja kuwekwa wazi neno kwa neno muda eneo mpaka sekunde

Kosa lingine ni security bleach....kulikuwa kuna loop hole mahali, hakukuwa na tight mark hivyo kuruhusu habari zisizotakiwa kuvuja
Kwahiyo nini kingefanyika in future
-kuwa na encycriped devises ambazo haziruhusu mawasiliano kuvuja kwa njia yoyote ile

-kufanya system overhaul ili kuondoa posibilities zote za virus waliokuwa wanavujisha habari

-kutumia Osama technique ambayo ilimsaidia sana 'manual search' hakuna kutumia simu kabisa mawasiliano yote yanakuwa locally...yani kama unanitafuta mimi unanifuatilia kinyumenyume kupitia wengine mpaka unanifahamu vilivyo ratiba zangu daily ninapoishi nk nk....baada ya hapo ni rahisi sana kuninyakua pahala nikiwa pekeyangu hasa gizani

Kwa njia hii mtanitafuta mpaka basi kumbe tayari niko kwenye tumbo la chatu naoza taratibu
Wewe mzee tatizo lako hiwa unafikiri saaanaaaaa... Watatafuta sana mwaka huu...
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom