Hawakutaka kurudia makosa ya Ulimboka

Si useme kwamba "Ben Saanane hatunae tena" vijembe vya nini!

Ila siku yaja ambayo sauti za Wanyonge zitasikiliizwa tena kwa makini mno!
 
Eti serikali ikiingia jf watu mnaanza kuzunguka na vihashtag vya Freedom of speech. Freedom gani hii isiyo na mipaka. Hii sio jamiiforum ya enzi zile imebaki majungu 24 hours
 
Kusema Kweli Kubenea alinifurahisha Sana. Aliwaumbua mmoja baada ya mwingine. Mpaka Leo huwa naingia mwanahalisi. com na kusoma tena lile gazeti. Ingekuwa Zama hizi za sheria ya mitandao wasingemsalimisha. Ilikuwa ni uzembe wa hali ya juu kuacha nyayo zote zile. Hata mwananchi wa kawaida aliweza kuunganisha dots na kuhitimisha mwenyewe.
 
Kusema Kweli Kubenea alinifurahisha Sana. Aliwaumbua mmoja baada ya mwingine. Mpaka Leo huwa naingia mwanahalisi. com na kusoma tena lile gazeti. Ingekuwa Zama hizi za sheria ya mitandao wasingemsalimisha. Ilikuwa ni uzembe wa hali ya juu kuacha nyayo zote zile. Hata mwananchi wa kawaida aliweza kuunganisha dots na kuhitimisha mwenyewe.
Weak leaks!
 
Nikikumbuka hilo jina Ulimboka najikuta naumia sana...
Mzazi anaumwa yupo hospital

Mara mgomo umeanza
Madaktari nao wanadai kitu kidogo walau mzazi apate sindano apoze maumivu.

Ni siku moja kabla ya ule upasuaji uliptakiwa ufanyike kutibu tatizo la mzazi.

Siku inafika hakuna kinachoendelea unawafuata madaktari wakikusamehe sana wanakwambia "babako anakufa leo, umejipangaje asife kwa maumivu"

Hatimaye mzazi anakufa kwa mateso,
naam anamaliza kazi yake duniani , siku ilifika lakini majibu ya daktari yule hunitia hasira sana na namwona kama mtesi wa baba yangu.
Hadi leo jina Ulimboka na jina la Hospital ile hunikumbusha yale maumivu aliyoyapata baba.

Pumzika salama baba, tunakukumbuka daima.
kumbe ulimboka alikusababishia hasara kubwa mno,

nadhani ndo maana ulli ameenda underground,maana movement yake ilisababisha mauaji ya mamia ya watu.

Mtu yeyote angeweza kabisa kumtafuta na kumdisplin
 
Nikikumbuka hilo jina Ulimboka najikuta naumia sana...
Mzazi anaumwa yupo hospital

Mara mgomo umeanza
Madaktari nao wanadai kitu kidogo walau mzazi apate sindano apoze maumivu.

Ni siku moja kabla ya ule upasuaji uliptakiwa ufanyike kutibu tatizo la mzazi.

Siku inafika hakuna kinachoendelea unawafuata madaktari wakikusamehe sana wanakwambia "babako anakufa leo, umejipangaje asife kwa maumivu"

Hatimaye mzazi anakufa kwa mateso,
naam anamaliza kazi yake duniani , siku ilifika lakini majibu ya daktari yule hunitia hasira sana na namwona kama mtesi wa baba yangu.
Hadi leo jina Ulimboka na jina la Hospital ile hunikumbusha yale maumivu aliyoyapata baba.

Pumzika salama baba, tunakukumbuka daima.
Daaah!!! Ujumbe wako umeniskitisha sana ndugu yangu...
Mwenyezi Mungu azidi kuwapa faraja ya kweli! Haya mambo yanaumiza sana, yanini kuondoa uhai wa raia wasiokuwa na hatia kisa pesa (mshahara)!! Halafu watu wanaoongoza mauaji haya chadema inawapa ukatibu mkuu wa chama!!!
 
Nikikumbuka hilo jina Ulimboka najikuta naumia sana...
Mzazi anaumwa yupo hospital

Mara mgomo umeanza
Madaktari nao wanadai kitu kidogo walau mzazi apate sindano apoze maumivu.

Ni siku moja kabla ya ule upasuaji uliptakiwa ufanyike kutibu tatizo la mzazi.

Siku inafika hakuna kinachoendelea unawafuata madaktari wakikusamehe sana wanakwambia "babako anakufa leo, umejipangaje asife kwa maumivu"

Hatimaye mzazi anakufa kwa mateso,
naam anamaliza kazi yake duniani , siku ilifika lakini majibu ya daktari yule hunitia hasira sana na namwona kama mtesi wa baba yangu.
Hadi leo jina Ulimboka na jina la Hospital ile hunikumbusha yale maumivu aliyoyapata baba.

Pumzika salama baba, tunakukumbuka daima.
Mambo yakifika huku tunaweza kuwa kama Syria.Huku watu wanafurahia mateso ya mgonjwa,kule wanafurahia mateso ya daktari kwa vile amedai haki yake,hapa vifo vya utata vinatokea wengine wanafurahia kwa vile ndugu zao waliwahi kufa kwa kukosa huduma,na wengine wanalia hawajui wafanye nini!Confusion!
 
Mambo yakifika huku tunaweza kuwa kama Syria.Huku watu wanafurahia mateso ya mgonjwa,kule wanafurahia mateso ya daktari kwa vile amedai haki yake,hapa vifo vya utata vinatokea wengine wanafurahia kwa vile ndugu zao waliwahi kufa kwa kukosa huduma,na wengine wanalia hawajui wafanye nini!Confusion!

Naam mara nyingi watu hatupendi kutatua matatizo yetu katika hatua za Mwanzo tunasubiri kutibu vipele hadi viwe majipu.Hiyo ni sehemu tuu ya matatizo ambayo ni moja kwa moja.
Vipi kuhusu ile migomo ya "kimya kimya" ya walimu?... Si ndo hiyo imekuja kuzalisha kizazi cha wanaojinasibu kwa 'Usomi' usioweza kupambana na mazingira.
Leo tatizo la ugomvi wa wakulima na wafugaji haukutatuliwa mwanzoni kwa usahihi badala yake unatumika kama ' gia' ya kupatia kura.Wanawatuliza wanatulia wanajua moto umezimwa kumbe ni magogo mabichi yameufunika moto...Yakinyauka moto utaowaka hauzimiki kirahisi, watakuja tena mzunguko unaendelea.

Leo hii tatizo la utoaji mimba lipo sana hasa kwa wanafunzi tumeliacha kila mtu anakwepa wajibu huo , baadaye tutapokuwa na kizazi cha wazee pekee atatafutwa wa kubebeshwa lawama.

Naumia kwa lile tukio la mgomo ambalo limetoka kutoneshwa na habari za mgomo wa Kenya , "mgomo wetu" ukiwa rejea lakini natoneshwa kila nilisikiapo jina la huyo aitwaye Ulimboka na likitajwa jina la hospital ile.

Lakini Je, walichokidai kimepewa ufumbuzi wa kudumu?..
Ama ni lawama tuu tuu huyu anamlaum Mashinji yule Kigwangala kisha tuliii ... tunawaza ya Faru John?
 
Siku moja kwenye story hizi za vijiweni jamaa mmoja akasema kuwa lilikuwa ni kosa moja kubwa sana la kiufundi kumuacha Ulimboka hai..kwakuwa mengi yatokanayo yalikuja kujulikana...Ulimboka hakupaswa kubaki hai kwa mukatadha wa watesi wake!

Kosa lingine kubwa la kiufundi lilikuwa kufanya mawasiliano ya kielectronic na kimtandao kupitia simu za mkononi...hivi vitu vinaacha alama zisizofutika...ndio maana mawasiliano yale yakaja kuwekwa wazi neno kwa neno muda eneo mpaka sekunde

Kosa lingine ni security bleach....kulikuwa kuna loop hole mahali, hakukuwa na tight mark hivyo kuruhusu habari zisizotakiwa kuvuja
Kwahiyo nini kingefanyika in future
-kuwa na encycriped devises ambazo haziruhusu mawasiliano kuvuja kwa njia yoyote ile

-kufanya system overhaul ili kuondoa posibilities zote za virus waliokuwa wanavujisha habari

-kutumia Osama technique ambayo ilimsaidia sana 'manual search' hakuna kutumia simu kabisa mawasiliano yote yanakuwa locally...yani kama unanitafuta mimi unanifuatilia kinyumenyume kupitia wengine mpaka unanifahamu vilivyo ratiba zangu daily ninapoishi nk nk....baada ya hapo ni rahisi sana kuninyakua pahala nikiwa pekeyangu hasa gizani

Kwa njia hii mtanitafuta mpaka basi kumbe tayari niko kwenye tumbo la chatu naoza taratibu

Manina zao ccm. Hii njia ya kijinga kutisha watu pia haitawasaidia kung'olewa madarakani na wana wa nchi.
 
Back
Top Bottom