Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,126
- 6,764
Mstari mmoja wa Biblia hautoshi kukufanya wewe ndio waujua ukristo sana, je hukumbuki wana Israel walipona kwa kuangalia sanamu ya nyoka kwa maelekezo ya Mungu mwenywe. Hapo hawaabubu sanamu hata kidogo
Mungu tunamwamini kupitia maneno yake na wala si maneno yetu,Mungu alipowaambia wana wa Israel wageukia sanamu ndipo wapone, wapo walioamini na kupona na wapo ambao hawakuamini na walikufa. Na hata sasa tunapokatazwa kufanya sanamu ya kuchonga tunatii maneno yake, alichoruhusu ameruhusu na anazo sababu, alichokataza amekataza na si kutoa maana zetu katika mambo tuliyokatazwa.