. Incase kama atapitishwa,ila mwaka huu kuna uwezekano akapita kwenye mchujo wa CCM. Tusubiri mchakato utakapoanza tutaona kama atapita au lasi mpaka wampitishe hao ccm
Mnyika hajafikia level ya zitto wewe acha ushabiki wa kijinga, zitto ni mwanasiasa anayeweza kugombea popote na akapita.
nyambali nyangwine arudi kuendelea kuandika vitabuwafuatao nao walipaswa wasirudi mjengoni:
1. Juma ngamia
2. Job lusinge
3. Mafiadi wooote akiwemo mzee wa vijisenti.
Kwa Maoni yangu nazan hawa Watatinga Bungeni Baada ya Uchaguzi wa October mwaka huu..
Prof Jay-Mikumi
Henry Kilewo-Mwanga
James Mbatia-Vunjo
Ongezea wengne ambao kwa maon yako unahisi watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu!
Napendelea hawa:
Esta Balaya Bunda
Halima Mdee kawe
Tundu Lisu huko kwao
Filikunjombe huko kwao
Kange Lugora Mwibara
Mnyaa huko kwao
na wafuatao wasirudi
Jenista Mhagama
Hawa Ghasia
Anna Kilango Malecela
Mary Nagu
Na wabunge wanawake wenye kazi ya wakishangilia tu
Napendelea hawa:
Esta Balaya Bunda
Halima Mdee kawe
Tundu Lisu huko kwao
Filikunjombe huko kwao
Kange Lugora Mwibara
Mnyaa huko kwao
na wafuatao wasirudi
Jenista Mhagama
Hawa Ghasia
Anna Kilango Malecela
Mary Nagu
Na wabunge wanawake wenye kazi ya wakishangilia tu
Exaggeration is an art!!
Kumbe ni Lawyer, ndio maana jana alikuwa akiwakamata pabaya.Mkosamali hakubaliki kabisa huko Kibondo,na UKAWA ni bora wakafikiria mbadala wa Kupambana na RC wa Arusha vinginevyo kuna kila dalili za jimbo kurudi CCM.Na pia kwa Mkosamali kama anasoma alama za nyakati akivuta tu hiyo pension ya 150M basi afungue law firm ya kisasa achape kazi na pia anaweza kuanza master program otherwise asithubutu kuweka hela yake kwenye kampeni kwani italiwa na ubunge ataukosa.Huu ni ushauri wa bure japo hata mimi ningependa Mkosamali aendelee kuwepo.