Hawa watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu October 2015

Hawa watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu October 2015

Maccm na ACT tunajua kwasasa mmeungana kwaajili ya kushambulia makamanda wa ukweli kama Kileo nk. Ukweli ni huu, 2015 mtake msitake mbunge wa pale Mwanga ni Kileo.

Bora umewaambia ukweli kabisa wajue hawawezi kushindana na lile jembe. Kumshinda kileo mwanga ni ndoto isiyooteka. Wakamuulize baba yao maghembe kileo ni nani atawaambia habari zake.
 
Kilewo, mnyika na Lema hawawezi kuwa wabunge tena, Halima mdee yeye analudi CCM baada ya kugombana na Lisu anakimbia Fitna za akina Lema wasije wakamchacha wangwe haraka.

Tulia acha unafiki hii laana ya waume za watu itakumaliza.
 
Umoja wa vijana wasomi wa .. Kilomeni..kisangara juu .. Hedaru ..makanya ..lembeni .. Na usangi wanamtafuta sana huyu jamaa tatizo lake naye anakaa kimya sana .. Wana Mwanga hatutaki chama tunataka mtu.

Acha unafiki, mwanga hakuna mahala panaitwa makanya wala hendaru. Ukiwa unatunga ngonjera uielewe vizuri isikuumbue kama hivi. Futa comment yako haraka kabla sijakuvua nguo.
 
Du Jimbo la Ubungo linapiganiwa sana Mkuu..

Mara Mtatiro, Makonda, na sasa Zitto. Kitu gani kinamtoa Zitto kwao na kuona atakubalika Ubungo? Anatapatapa. Huyu arudi chuoni akawe mhadhiri. Siasa imemshinda kwa usaliti wake.
 
Kwa Maoni yangu nazan hawa Watatinga Bungeni Baada ya Uchaguzi wa October mwaka huu..

Prof Jay-Mikumi

Henry Kilewo-Mwanga

James Mbatia-Vunjo

Ongezea wengne ambao kwa maon yako unahisi watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu!

Hapo kwa kamanda Kilewo sina shaka nako wala kwa hao wengine nawakubali wote.
 
Bora umewaambia ukweli kabisa wajue hawawezi kushindana na lile jembe. Kumshinda kileo mwanga ni ndoto isiyooteka. Wakamuulize baba yao maghembe kileo ni nani atawaambia habari zake.

Nasikia kijijini kwa Maghembe Chadema wamechukua kwa hiyo Kilewo akiitisha kikao Maghembe hana budi kuhudhuria. Ha ha haaaa.
 
Henry Kilewo hawezi kupata Mwanga japo tumejipanga kuhakikisha wapinzani wanashinda ila si wapinzani wa aina ya Kilewo a can bet

Nyie ndiyo wachawi wa maendeleo, hamuwezi kamwe kumzuia kileo kwa kelele zenu za kupayuka payuka.
 
Nasikia kijijini kwa Maghembe Chadema wamechukua kwa hiyo Kilewo akiitisha kikao Maghembe hana budi kuhudhuria. Ha ha haaaa.

Maghembe akitoka lazima asalimie chadema, kazi ya kileo na makamanda wake ilikuwa siyo shughuli ya kitoto.
Kuishinda ccm pale upareni ni kazi isiyohitaji kubezwa.
 
nimefika same, Kila kijana anasema kileo ndio mbunge wao.
 
Mara Mtatiro, Makonda, na sasa Zitto. Kitu gani kinamtoa Zitto kwao na kuona atakubalika Ubungo? Anatapatapa. Huyu arudi chuoni akawe mhadhiri. Siasa imemshinda kwa usaliti wake.

mtatiro karudi segerea.
 
Back
Top Bottom