Mkosamali hakubaliki kabisa huko Kibondo,na UKAWA ni bora wakafikiria mbadala wa Kupambana na RC wa Arusha vinginevyo kuna kila dalili za jimbo kurudi CCM.Na pia kwa Mkosamali kama anasoma alama za nyakati akivuta tu hiyo pension ya 150M basi afungue law firm ya kisasa achape kazi na pia anaweza kuanza master program otherwise asithubutu kuweka hela yake kwenye kampeni kwani italiwa na ubunge ataukosa.Huu ni ushauri wa bure japo hata mimi ningependa Mkosamali aendelee kuwepo.Mkosamali akikosekana bunge litakuwa kama mboga isiyo na chumvi.