Henry Kilewo hawezi kupata Mwanga japo tumejipanga kuhakikisha wapinzani wanashinda ila si wapinzani wa aina ya Kilewo a can bet
nakupa like kubwa mkuu hakika umenena vyema. ....kileo abaki na mke wake tu kwenye wanawake live.
Henry Kilewo hawezi kupata Mwanga japo tumejipanga kuhakikisha wapinzani wanashinda ila si wapinzani wa aina ya Kilewo a can bet
Henry Kilewo hawezi kupata Mwanga japo tumejipanga kuhakikisha wapinzani wanashinda ila si wapinzani wa aina ya Kilewo a can bet
Mzee Tabby Tzanga - Tandahimba.
Zitto kabwe-ubungo
Hii itakuwa poa sana;maana mishemishe zake zitakuwa za kufa mtu
Ninaomba Zito akagombee jimbo la Ubungo ndo tutaona mbıchı na mbivu.Mnyika atamshnda Zito kwa mbali japo jimbo litanyakuliwa na CCM.Chadema hawamuhtaji Zito, wachache wehu ndo wafuasi wake ambao washamfuata ACT.Pıcha tumeiona serikalı za mitaa.
hijja madava
mwanga kupitia CHADEMA.
Napendelea hawa:
Esta Balaya Bunda
Halima Mdee kawe
Tundu Lisu huko kwao
Filikunjombe huko kwao
Kange Lugora Mwibara
Mnyaa huko kwao
na wafuatao wasirudi
Jenista Mhagama
Hawa Ghasia
Anna Kilango Malecela
Mary Nagu
Na wabunge wanawake wenye kazi ya wakishangilia tu
Napendelea hawa:
Esta Balaya Bunda
Halima Mdee kawe
Tundu Lisu huko kwao
Filikunjombe huko kwao
Kange Lugora Mwibara
Mnyaa huko kwao
na wafuatao wasirudi
Jenista Mhagama
Hawa Ghasia
Anna Kilango Malecela
Mary Nagu
Na wabunge wanawake wenye kazi ya wakishangilia tu
huyo watatu bwana kilewo mumewe joyce kiria atamruhusu kweli, manake nasikia ameolewa kwa joyce huyo hana tofauti na mbasha na mwenzie gadna. halafu, ameacha ugaidi? halafu anatakiwa arudishe kwanza mke wa watu, huyo sio mkewe kihalali alishaolewa kwa ndoa ya church akaishi na bwanake miaka 8 kilewo akaja kumwiba. amebemendwa miaka 8 halafu yeye anajifanya ndio bebi wake. rudisha mke wa watu kwao ndio upate ubunge.Kwa Maoni yangu nazan hawa Watatinga Bungeni Baada ya Uchaguzi wa October mwaka huu..
Prof Jay-Mikumi
Henry Kilewo-Mwanga
James Mbatia-Vunjo
Ongezea wengne ambao kwa maon yako unahisi watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu!