Hawa watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu October 2015

Hawa watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu October 2015

Napendelea hawa:
Esta Balaya Bunda
Halima Mdee kawe
Tundu Lisu huko kwao
Filikunjombe huko kwao
Kange Lugora Mwibara
Mnyaa huko kwao
na wafuatao wasirudi
Jenista Mhagama
Hawa Ghasia
Anna Kilango Malecela
Mary Nagu
Na wabunge wanawake wenye kazi ya wakishangilia tu

jenista kakukosea nini mkuu, halafu jenista na nagu kama vile ni mtu na mke mwenza , michepuko ya ...........
 
Wafuatao nao walipaswa WASIRUDI mjengoni:
1. Juma Ngamia
2. Job Lusinge
3. Mafiadi wooote akiwemo mzee wa vijisenti.

mkuu na hawa vita kawawa, nchimbi a.k.a mafia, Arfi. nyangwine ( hajui kiswahil) , Sanga ,
 
Naongeza na Hawa hawarudi MOHAMED MISSANGA_SINGIDA MAGHARIBI, PAUL LWANJI_MANYONI MAGHARIBI, JOHN CHILIGATI_MANYONI MASHARIKI, LAZARO NYALANDU_SINGIDA KASKAZINI, SALOME MWAMBU_IRAMBA MASHARIKI, DR MALOLE_DODOMA MJINI, OMARY BADWEL_BAHI,
 
Joseph Tadayo - Mwanga kupitia CCM

Umoja wa vijana wasomi wa .. Kilomeni..kisangara juu .. Hedaru ..makanya ..lembeni .. Na usangi wanamtafuta sana huyu jamaa tatizo lake naye anakaa kimya sana .. Wana Mwanga hatutaki chama tunataka mtu.
 
Omary Badwel kesi yake ilisha vipi wadau.
 
Umoja wa vijana wasomi wa .. Kilomeni..kisangara juu .. Hedaru ..makanya ..lembeni .. Na usangi wanamtafuta sana huyu jamaa tatizo lake naye anakaa kimya sana .. Wana Mwanga hatutaki chama tunataka mtu.
Kuna kitu anasubiri,ila amini anakuja kugombea ondoa shaka ndugu!
 
Mnyika hajafikia level ya zitto wewe acha ushabiki wa kijinga, zitto ni mwanasiasa anayeweza kugombea popote na akapita.

Popote Zitto akigombea atapita?Hata Kyela?

Aje Kyela akipata kura hata 100 tutaiomba Tume imtangaze kama mshindi

Kashindwa Kigoma Kaskazini,vigezo gani vitamfanya achaguliwe kila Jimbo?
 
Hawa bunge likiisha tu bye bye wasahu mambo ya mjengono

John Mnyika
Godbless Lema
Mr 2 {Sugu}
Joshua Nassary
Halima Mdee
Mchungaji mwesiga
 
Back
Top Bottom