Hawa watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu October 2015

Hawa watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu October 2015

huyo watatu bwana kilewo mumewe joyce kiria atamruhusu kweli, manake nasikia ameolewa kwa joyce huyo hana tofauti na mbasha na mwenzie gadna. halafu, ameacha ugaidi? halafu anatakiwa arudishe kwanza mke wa watu, huyo sio mkewe kihalali alishaolewa kwa ndoa ya church akaishi na bwanake miaka 8 kilewo akaja kumwiba. amebemendwa miaka 8 halafu yeye anajifanya ndio bebi wake. rudisha mke wa watu kwao ndio upate ubunge.

Joyce Kiria alikua Mke wa DJ Nelly wa Clouds FM,kabla ya hapo alikua beki3(House girl)
 
Bila ya kumsahau Kamanda Salum Mwalimu
Jimbo la kikwajuni jamani.
 
umesahau kuna rorya mtu anaitwa lameck Airo atutaki kuona ata sura yake,badala yaje aje owawa au makohoko

Pole kaka Chadema bado sana Rorya labda mgepata kiongozi wa kitaifa aje agombee lakini bila hivo CCM bado watapita Rorya kwa sababu za kikabila
 
Pole kaka Chadema bado sana Rorya labda mgepata kiongozi wa kitaifa aje agombee lakini bila hivo CCM bado watapita Rorya kwa sababu za kikabila

Ukabila uko nao wewe tu. Lakini watanzania sio wakabila kama unavyofiria hususani kwenye maslahi ya taifa.WATANZANIA WA LEO SIO WA MWAKA 47.
 
Katani - Tandahimba
Juma Manguya - Newala
Abdallah Uledi - Mtwara mjini.
Sadick songoni - Tunduru kusini
Mbogoro - Songea mjini
NGwatula - mbinga mashariki
 
Katani - Tandahimba
Juma Manguya - Newala
Abdallah Uledi - Mtwara mjini.
Sadick songoni - Tunduru kusini
Mbogoro - Songea mjini
NGwatula - mbinga mashariki

mkuu katani hawezi kuchaguliwa na wanatandahimba kuwawakilisha,ni mwepesi sn hata siasa hajui.sanasana anachojua matusi kwenye siasa hamna kitu hapo.juvicuf tu ilimshinda wakampiga chini.wanaukawa mm ni mkaazi wa tandahimba tunahitaji mabadiliko lkn katani msituletee.bora tuwape kura ccm kama mtamsimamisha katani
 
Back
Top Bottom