Ni kweli mkuu unayoyasema lakin hata Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Matunda yake Yalionekana na ni Dalili tosha za Ukombozi kwa Wan Mwanga!
moktonyi haswa itakuwa shangweYan nimeandaa Kiwondi kule Marangu kwetu jamaa akishnda tu ni full Mbege
Hamis Maulidi ambaye ni Afisaelimu wa Mkoa wa Mwanza ana nafasi kubwa ya kushinda Singida Mashariki. Katika kura za maoni atapambana na Mhe. Lt (msitaafu) Chiku Gallawa ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma. Maulidi ambaye ni mwenyeji wa Ikungi ana nafasi kubwa ya kushinda na hivyo kukutana na Tundu Lissu katika uchaguzi mkuu wa Oktoba
Haitotokea na mtu asiwadanganye kwani vita ya kigoma mjini ni hii Zito anashindana na wapinzani 3,wakwanza ni ccm,2 chadema msizani chadema imekufa kabisa No bado kuna watu wanaipenda chadema kama chama wanasema alihama Dr Amani K hawakuhama ije huyu na mpinzani wa 3 mkubwa kabisa ambae zito atapambana nae kila atakapoenda ni Mafisadi wa Escrow hatamwacha ashinde tena kwa gharama yeyote.Ubunge Kigoma mjini asahau muda ukifika mtakumbuka kauli yangu nawajua wanakigoma usiwaamini hata kidogo hawachelewi kukugeuka na kusema KAYE na jimbo lake la mwanzo kalikimbia sababu asingeshinda.ZZK kigoma mjin
Kwa Maoni yangu nazan hawa Watatinga Bungeni Baada ya Uchaguzi wa October mwaka huu..
Prof Jay-Mikumi
Henry Kilewo-Mwanga
James Mbatia-Vunjo
Ongezea wengne ambao kwa maon yako unahisi watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu!