Hawa watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu October 2015

Hawa watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu October 2015

kisambo unatabiri au unabashiri? usivuke daraja kabla hujafika kingoni mwa mto utatumbukia mtoni...unategemea mikumi na mwanga na vunjo ccm tutalala tuwaachie hao? labda wanunue kura
Kwa Maoni yangu nazan hawa Watatinga Bungeni Baada ya Uchaguzi wa October mwaka huu..

Prof Jay-Mikumi

Henry Kilewo-Mwanga

James Mbatia-Vunjo

Ongezea wengne ambao kwa maon yako unahisi watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu!
 
Sasa mnataka kutafuna "mafao" ya huyo afisa elimu. Namhurumia sana. Chondechonde Mzee, tulia na "Mafao yako". Kamwe TUNDU LISSU humuwezi.
 
Ali kessy wa Nkasi amekuwa akiwadharau na kuwatukana Wanzibari mara kwa mara.Kura za maoni CCM watamuangusha ili kuleta utulivu katika muingano
 
kisambo unatabiri au unabashiri? usivuke daraja kabla hujafika kingoni mwa mto utatumbukia mtoni...unategemea mikumi na mwanga na vunjo ccm tutalala tuwaachie hao? labda wanunue kura

Nimetabir mkuu na Kukuhakikishia tu Jimbo la Vunjo huyo Aloyce tulishampa lkn hakun aluchokifanya na Mbatia asipochukua Ntakupa Kiwondi cha Wari!!
 
Kwa Maoni yangu nazan hawa Watatinga Bungeni Baada ya Uchaguzi wa October mwaka huu..

Prof Jay-Mikumi

Henry Kilewo-Mwanga

James Mbatia-Vunjo

Ongezea wengne ambao kwa maon yako unahisi watatinga Bungeni baada ya Uchaguzi Mkuu!

Thomas Mmuni--Nachingwea
 
umemuone inno? kijana mwenzako mzawa na mkazi wa vunjo...mbatia alikuwa kawe akapigwa chini kwa hiyo hana uchungu hasa na wananchi bali anatafuta upenyo wa kuingia mjengoni tu
Nimetabir mkuu na Kukuhakikishia tu Jimbo la Vunjo huyo Aloyce tulishampa lkn hakun aluchokifanya na Mbatia asipochukua Ntakupa Kiwondi cha Wari!!
 
Mh.Dkt.lucas webiro- jimbo la Bunda Mjini Babu wasira hagombei tena ubunge anakwenda kwenye urais jimbo kasha kabithi Ukawa kwa kamanda Dkt.lucas webiro eka ya bonda
 
Mh.Dkt.lucas webiro- jimbo la Bunda Mjini Babu wasira hagombei tena ubunge anakwenda kwenye urais jimbo kasha kabithi Ukawa kwa kamanda Dkt.lucas webiro eka ya bonda
Esther bulaya vip?
 
Back
Top Bottom