Hawa wanawake wana ndoa?

Tatizo vijana mliozaliwa juzi hampendi kusoma
Hakuna sehemu kwenye katiba inasema kama huna mume usipewe ubunge
Acha kumsingizia mwalimu wakati mpaka anakufa ulikua hujazaliwa.unamjua Lucy Lameck wewe?mwalimu alimpa ubunge na uwaziri wakati hakua ma ndoa
 
Wabongo wengi chenga Sana .... Sasa si umeshafeli tayari ameuliza Ameolewaaa!?? Hajauliza kama ana mtoto... Blaaaaalifulu
Hii ni JF sio lazima tujibu swali kama ameolewa au hajaolewa,na hiyo niliyoweka mimi nayo ni fact,hauno kuongeza nyama ndio tunapanua mjadala? Yaani wote tukijubu kaolewa au hajaolewa basi hauni JF itaopteza mvuto? Haitakiwi uwe rigid.
 
Jamani namtaka Auntie yenu, Fatuma, akinikubalia nitamtuliza sana wallah!!
 
PRINCEd, Duh Catherine Maggie kabla hajawa mb nlishaishi naye mtaa mmja nyuma ya mango garden vijana.....
Ngj niishie hapaaaaa

Ova
Hahahah acha hizo mrangi tumegee kama info kidogo .

Nilishawahi sikia aliwahi kumingo na kijana wa BCW uchafuni .kwa mujibu wa dada wa Taifa alitusaliti


Pia yule kibopa mwenye basi za idodomya mzizima zile classic ambaye ni mgonga meza pale
Jumba kubwa idodomya nae ashampitiaga


Wagonga meza wanashare kibaharia Sana hawanyimani mambo !!
 
Ester Bulaya hana ndoa? Daaah namuelewa sana yule dada
 
Sooooo

Ova
 
Hapo najua Ester Bulaya na Halima Mdee ni Couple,

Getrude Rwakatare tangu alipoachana na mumewe hakuolewa tena,

Fatma Karume hajaolewa,

Catherine Magige hajaolewa,

Anna Tibaijuka Mjane.
Eh mkuu una maana kuna watu wana embark on LGBT ?
 
Baba na babu zako wanajua wewe ni dogo mno
 

True that.

Curious thing about Mwalimu though.

Openly favoured women but there were no sexual shenanigans about it.

Man was more straight than a Catholic bishop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…