Hawa wanawake wakikukuta una upwiru unaweza hata kufikiria kuoa, kumbe ni bomu

Teslarati

JF-Expert Member
Nov 21, 2019
1,736
6,798
Mimi niwe mkweli, yule binti kidogo niweke makazi permanent pale sababu mambo alonipa sikuwahi kuyapata popote pale hapo kabla.

Cha kushangaza siku naenda kwake kumchukua akanipe maburudani tena si nikakuta kulikua na shuhuli (wao wanaita hivo), anacheza kashika dela linaonesha pichu kabisa na anakatika hatari, wengine walikua wameyanyanyua juu, mapaja nje. Nilipaki gari nikamuita mtoto mmoja aniitie, dem kaja anacheza cheza haoni aibu kabisa wala hajishtukii. Nikamchukua nikaenda mbele kidogo na pale nikastua bao mbili akarudi kucheza ngoma zake toka hio siku sijaongea nae tena.

Hawa viumbe wakikukuta una upwiru unaweza hata kufikiria kuoa, kumbe ni bomu
 
Mimi niwe mkweli, yule binti kidogo niweke makazi permanent pale sababu mambo alonipa sikuwahi kuyapata popote pale hapo kabla.

Cha kushangaza siku naenda kwake kumchukua akanipe maburudani tena si nikakuta kulikua na shuhuli (wao wanaita hivo), anacheza kashika dela linaonesha pichu kabisa na anakatika hatari, wengine walikua wameyanyanyua juu, mapaja nje. Nilipaki gari nikamuita mtoto mmoja aniitie, dem kaja anacheza cheza haoni aibu kabisa wala hajishtukii. Nikamchukua nikaenda mbele kidogo na pale nikastua bao mbili akarudi kucheza ngoma zake toka hio siku sijaongea nae tena.

Hawa viumbe wakikukuta una upwiru unaweza hata kufikiria kuoa, kumbe ni bomu
poleee
 
Yani umenikumbusha Pili kiswaswadu wangu
Utasikia nataka nije tusax alikua hasemi tusex
Yani kitandan ana maajabu kibao ila nje ya hapo ni hasara
Hahahahaaaa

Hawa watu nje ya bed ni hasara tupu, na wao kutoa kitumbua ni kawaida yani, hawana hofu na maisha na huwa wana jiamini hatari hata kama wanaishi maisha mabovu
 
Vipi gona hukupata??
Mimi niwe mkweli, yule binti kidogo niweke makazi permanent pale sababu mambo alonipa sikuwahi kuyapata popote pale hapo kabla.

Cha kushangaza siku naenda kwake kumchukua akanipe maburudani tena si nikakuta kulikua na shuhuli (wao wanaita hivo), anacheza kashika dela linaonesha pichu kabisa na anakatika hatari, wengine walikua wameyanyanyua juu, mapaja nje. Nilipaki gari nikamuita mtoto mmoja aniitie, dem kaja anacheza cheza haoni aibu kabisa wala hajishtukii. Nikamchukua nikaenda mbele kidogo na pale nikastua bao mbili akarudi kucheza ngoma zake toka hio siku sijaongea nae tena.

Hawa viumbe wakikukuta una upwiru unaweza hata kufikiria kuoa, kumbe ni bomu
 
Back
Top Bottom