Usitupotoshe.Muda haujafika wa kuzungumzia hayo.Tujadili agenda za kitaifa zinazowasumbua wananchi.Matatizo ya kiuchumi hayajatatuliwa.CDM ina utaratibu wa kumtafuta mtu anayefaa kusimamishwa.
hivi kim kardash ana undugu na malaria sugu? Naona kama vile akili zao zinafanana fanana.
labda tu kwa sababu wote wanapenda kuongea yale ambayo yapo ila hampendi kuyasikia...wanajaribu kuwasaidia kuwaonyesha yale yanayoonekana muyaone msikalie kuyaona yale mnayoyaamini tu.Hiyo ndio demokrasia yenyewe tuendelee kuvumiliana si unajua tena kila mtu anao uwezo wake wa kufikiri na kuamua?
Tunajua ni jambo la kitaifa naona ungeanzia na chama kilichoko madarakani kwanza kuwashauri nani awe mgombea wao, kuliko kuanza na chadema halafu isitoshe chadema haina uhaba wa busara mpaka wafuate mawazo ya kigwagula kama wewe. kawangie huko msoga sio hapa jf, upo?mi chama changu cha walipa kodi tanzania CCWT na pia ni mwanachama wa chama cha wapiga kura Tanzania ndio tunahangaikia usajili bado hivyo kwa sasa lazima tushiriki kuhakikisha kila chama kinasimamisha wagomea wenye mashiko,uchaguzi mkuu ni suala la kitaifa zaidi kuliko kichama ndio maana hutoniona hata siku moja natoe maoni nani wanafaa kugombea uenyekiti wa chama,urais ni wa wote hauna chama,amkeni vijana.
safari na zitto hawa hawana nafasi ni wadini hawa. Mambo yote mbowe
Hatuna haja ya mawazo yake hata sisi tunao wa kujadiliana na kushauriana nao lakini si huyu kibwengo.labda tu kwa sababu wote wanapenda kuongea yale ambayo yapo ila hampendi kuyasikia...wanajaribu kuwasaidia kuwaonyesha yale yanayoonekana muyaone msikalie kuyaona yale mnayoyaamini tu.Hiyo ndio demokrasia yenyewe tuendelee kuvumiliana si unajua tena kila mtu anao uwezo wake wa kufikiri na kuamua?
Tunajua ni jambo la kitaifa naona ungeanzia na chama kilichoko madarakani kwanza kuwashauri nani awe mgombea wao, kuliko kuanza na chadema halafu isitoshe chadema haina uhaba wa busara mpaka wafuate mawazo ya kigwagula kama wewe. kawangie huko msoga sio hapa jf, upo?
naamini ni zamu yetu wanawake, uwezo tunao. hapa naamanisha HM(HALIMA MDEE)
Haya ndio mambo tunayoyataka unaona bwana sio watu wengine ooooh ni mapema sana kujadili mnataka kuficha nini ilhali urais haugombewi chumbani na wala huko sio mahala kwake bali hadharani?ok mkuu sasa unazo sababu zozote za kuwakataa hao na kuwakubali wawili Bi.Halima na mwenzake tundu?
My guts tells me FMES atakuwa ana some ideas on this, bad thing naye kapotea.lolHivi Kim Kardash ana undugu na Malaria Sugu? Naona kama vile akili zao zinafanana fanana.
Kwa mtindo huu ata Vincent Nyerere (Mbunge wa Musoma Mjini) atatajwa kwenye orodha ya wanaofaa kuwa Rais wa Nchi hii 2015.
kim-kardashian-breast-implants-before-and-after
Kuna wana CHADEMA wanadai wanataka rais kijana, Zitto ni mmojwapo.Zito na slaa ndio wanaweza but hatuongelei mambo ya urais kwa sasa hadi 2015
That is debatable mkuu.Mahitaji ya sasa ya tanzania yanahitaji kijana mwenzetu kushika dola,wazee basi sasa inatosha!