KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
- Thread starter
- #81
That is debatable mkuu.
Bora wewe umeonyesha ukomavu kidogo wa kidemokrasia wengine hawataki,wanadai urais wa nchi yetu na wanaotajwa tajwa hasa wa chama kimoja cha upinzani kuwazungumzia sasa ni kama uhaini vile..ni siri ya chama chao mpaka ufikie mwaka wa uchaguzi 2015 ndio tutapewa kibali cha kuwachambua!