snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,320
Hahahahaaa............ Kudaaadeeeki..!!
Nakwambia hili bazaaaaz limerudi!
Enhenhehh hakuna rangi watutaacha kuona!
Hahahahaaa............ Kudaaadeeeki..!!
Ama kweli humu JF kuna kampani za nguvu mimi pia nimewa-miss kina Mamndenyi,miss chaga,gfsonwin
shansarie,The Boss,Bujibuji,Eiyer,Heaven on Earth,Arusha one et al Salaam kwenu wote.Nilijiweka kando tangia nitoke kifungoni ktk gereza la Jf kutokana na bandiko langu,kutokana na kifungo hicho nimekosa kabisa interests na hii forum.
cjui kama ntaweza kuwa na interests,hobby nilokuwa nazo hapo kabla.pole sana mkuu jipange urudi upya
cjui kama ntaweza kuwa na interests,hobby nilokuwa nazo hapo kabla.
Yaani wewe lini na mimi utaamua nikugonge tu bila kung'ang'aniana ?
wamekufanyaje umekata tamaa hivyo?
Eti umepotea?
hubby huogopi kwaresma??? rabekha mume wangu nimeitika! nimefika mume wangu, twen zetu tukafanye yetu! luv u mo!Nawe ukimuona cacico uniPM nikambake. Nimemmisi sana mke wa ujana wangu.
Popote ulipo my love cacico please come zis wei. kikojoleo changu karibu kinaziba.
tumejaa telegfsonwin i have missed u! kha! Fixed Point je?? mko wapi?