Hawa wana MMU wamapotelea wapi? Ninavyowamiss!

Hawa wana MMU wamapotelea wapi? Ninavyowamiss!

Ama kweli humu JF kuna kampani za nguvu mimi pia nimewa-miss kina Mamndenyi,miss chaga,gfsonwin
shansarie,The Boss,Bujibuji,Eiyer,Heaven on Earth,Arusha one et al Salaam kwenu wote.Nilijiweka kando tangia nitoke kifungoni ktk gereza la Jf kutokana na bandiko langu,kutokana na kifungo hicho nimekosa kabisa interests na hii forum.
 
Karibu tena mkuu The Boss,

Kwema huko ulikojificha? Umerudi salama? Tunasubiri taarifa ya maganda na risasi....only if you know what I mean sir!!
 
Last edited by a moderator:
Karibu tena mkuu The Boss,

Kwema huko ulikojificha? Umerudi salama? Tunasubiri taarifa ya maganda na risasi....only if you know what I mean sir!!
. Mkuuu heshima yako. Niko salama kabisa. Nimewamiss mno ubize tu but ntakuwepo full very soon
 
Last edited by a moderator:
. Mkuuu heshima yako. Niko salama kabisa. Nimewamiss mno ubize tu but ntakuwepo full very soon
mkuu, habari za siku nyingi aisee? mi nilidhani ulikuwa kwenye ndege ile ya malaysia bana! lols..! karibu tena kwenye kilinge... i am major general, Excel.

humu ukisikia Excel, ujue ni mimi tu, hakuna mwingine, hata copy hamna!!!
 
Last edited by a moderator:
mi nimewamiss sana dada mkubwa Lizzy, bi mdogo wa zamani Passion Lady na mzee wa kuloggoff Washawasha!

kwa yeyote atakaewaona kokote na kuwawasilisha kwangu,

namtangazia dau la dola 100,000 za kimarekani!

changamkieni dili hilo...
 
Last edited by a moderator:
Mamndenyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!

zuguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!

your culprit has come, its time for Judgement!
 
Last edited by a moderator:
Hapa leo Man U kafungwa na nani?

Afu nani wa jinsia ya kike aliyebahatika kunimisi.

Narudi zangu Torabora kumsaka Osama bin Mugabe
 
The Boss heshima yako mkuu.kupotea kwako kulinifanya nihisi ukongwe umekuingia ghafla na kupofusha macho,yaani huwezi tena kuona maandishi ya jf.niwie radhi kwa hilo.nimepata faraja kukuona u mzima,karibu tena.jina la bwana na lihimidiwe.
 
Last edited by a moderator:
The Boss heshima yako mkuu.kupotea kwako kulinifanya nihisi ukongwe umekuingia ghafla na kupofusha macho,yaani huwezi tena kuona maandishi ya jf.niwie radhi kwa hilo.nimepata faraja kukuonha u mzima,karibu tena.jina la bwana na lihimidiwe.
Mkuu Nashukuru sana ..nipo now
 
Last edited by a moderator:
Yuko wapi Price jamani? Mliowatafuta wote mshawaona hebu nitafutieni na huyu kwanza
 
Last edited by a moderator:
Yaani wewe lini na mimi utaamua nikugonge tu bila kung'ang'aniana ?

Kaunga aaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ukuje!
Khaaaaaaaa mumeo anaomba kugonga mtu huku!
Wallahi bora ungeendelea tu kumfungia kwenye kibuyu chenye mfuniko wa chuma
Mi nilikuwa napita tu huku nikaskia!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom