Hawa viumbe, wewe acha tu.

Hawa viumbe, wewe acha tu.

Mfia Dini hapo anajaribu kushindana na nafsi yake. ...Moyo una muambia Haramu hiyo. .kichwa cha chini kina mjibu jaribu tu walau uingize kichwa tu
Hawa wafia dini wanaangukiaga pua mbaya sana hapo hamna chura lakini katupa macho kwenye tako sibora angekaa na mpiga picha acheki sura.
 
Yaani hata usiseme niliwahi kutwa na mtihani kama huo uliokutana nao zaidi ya Mara 2 ndani ya bus. .tena Mara zote nilikuwa Nina tokea moro
Kuna msichana nilikaa naye siti ambatano, yaani siti za pamoja kwenye basi... Safari ya masaa 17... Katikati ya safari tukajikuta tunashikana mikono...

Hapa najaribu kusema kwamba... Hawa viumbe wanaushawushi mkubwa sana
 
Embu tujadilini hili [emoji116][emoji116]

Sasa iyo hela nitumie kwa namba hii apa 0719239591 SAMWEL MUFUNYA tuma saiv


Hii sms imeingia sasa hivi
 
Kuna msichana nilikaa naye siti ambatano, yaani siti za pamoja kwenye basi... Safari ya masaa 17... Katikati ya safari tukajikuta tunashikana mikono...

Hapa najaribu kusema kwamba... Hawa viumbe wanaushawishi mkubwa sana
🙏🙏🙏🙏😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaganda alafu na katabasamu juu, sijui anawaza nini[emoji134]
 
Sijamuelewa maalim kapagawa au anatamani awetembezee mitama warembo...

Aaah aaah aah
 
Yaani hata usiseme niliwahi kutwa na mtihani kama huo uliokutana nao zaidi ya Mara 2 ndani ya bus. .tena Mara zote nilikuwa Nina tokea moro
Uo si mtihani... Iyo ni bahati.

Mtihani ulinikuta mim.

Nilikaa na mchina toka dar es salaam hadi kampala kwa bus.

Mamaamae ni mikausho hadi tunafika dadek... Alafu nlikaa upande wa dirisha.
Control zoote za kwake..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom