Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,805
- 43,230
mmmmmh njo Pm
Kumefungwa tangu saa ile kila nikijaribu kuingia mlango haufunguki. Nifungulie huko kwako basi.
Kasie.
mmmmmh njo Pm
nakuja fungua mgen utatumia senene na nshoro?Kumefungwa tangu saa ile kila nikijaribu kuingia mlango haufunguki. Nifungulie huko kwako basi.
Kasie.
Kila niionapo hii Avatar huwa nacheka mno.huyu jamaa anayefuga hawa vyura ni JIPU. ana kibali cha kumiliki hizo NYARA za serikali? jela inamuita.
Kumbe ni wa Kanyigo?nakuja fungua mgen utatumia senene na nshoro?
senene watamuu haoooKumbe ni wa Kanyigo?
Watamu sana Mkuu.senene watamuu haooo
nakuja fungua mgen utatumia senene na nshoro?
Kumbe ni wa Kanyigo?
Juzi nilikuwa airport nasubiria begi langu ili niingie bongo, mwanaume mmoja akaja pembeni yangu na kusubiria begi lake. Alipolipata kabla langu halijaja akanisalimia. ... mambo chura.... umenona. .. umependeza chura......
Sikumjibu kitu kwa kuwa nilikuwa nimechoka na safari. Sasa hapa namjibu. .....
Chura mwenyewe. ..
hahahaaanimekuja mbiombio nikafikiri chura wa kisasa kumbe miyeyusho
hahahaha leo wanaume wa dar wamepona mmehamia kwa vijana wa dar???Vijana wa dar bhana badala ya kufuga kuku wa mayai au wanyama wanafuga vyura. Magufuli una kazi sana Rais wangu.
hebuu tujuze mkuu Ally komboSina jina lao ila hao ni miongoni mwa chura venomous! Kuwa mwangalifu in handling them
Hivi wale wa Kihansi wakoje? Je wana sumu? Je walisharudishwa toka USA sababu walikuwa viumbe wa kutoweka wakapelekwa kuhifadhiwa kule.Sina jina lao ila hao ni miongoni mwa chura venomous! Kuwa mwangalifu in handling them
Wazuri Wana makanyagio ya tofauti na wale Wa snura, wanakumnukumbu ya kurudi mahali wanapoishi, wanafahamu watuLeo nimeangalia kipindi cha Uswazi kuna jamaa anafuga hawa vyura sasa ningeomba kama kuna wataalamu wa viumbe vya majini watuambie hawa vyura nia aina gani?
![]()
![]()
Atakuwa hawafahamu kutaalamuHuyo anaewafuga hajawaelezea ni wa aina gani??
Ngoja waje
Chura mabaka
Anaweza kuwa na thamani km wale wa kihamsiVijana wa dar bhana badala ya kufuga kuku wa mayai au wanyama wanafuga vyura. Magufuli una kazi sana Rais wangu.