Hawa ni chura wa aina gani?

Hawa ni chura wa aina gani?

Juzi nilikuwa airport nasubiria begi langu ili niingie bongo, mwanaume mmoja akaja pembeni yangu na kusubiria begi lake. Alipolipata kabla langu halijaja akanisalimia. ... mambo chura.... umenona. .. umependeza chura......

Sikumjibu kitu kwa kuwa nilikuwa nimechoka na safari. Sasa hapa namjibu. .....

Chura mwenyewe. ..
weka picha yako tujue kuwa wewe chura umenona kweli.
 
hao ni dili mdau wanauzwa kwa pesa nzuri aise na wateja wakubwa ni wachina wabongo tusikariri biashara siyo kuku tu kuna fursa nyingi tena hazina ushindani kabisa kama hii ya vyura

Uwani kwangu wanazura usiku tunasumbuana wanataka kuingia ndani. Wapi wapo hao kina hu haa nikapige hela. Dah, kidogo nifikiri nimerogwa maana sijawaonaga kwa jirani, wapo kwangu tu
 
Haaaaa, kumbe ndio wewe yule dada? Khaaa. Uongo mbaya nlikuangalia Mara kumi kumi na mwisho nkajikuta naropoka vile. Nsamehe na pia Hongera sana maana looh!!

No prob best.
 
Hapo unataka tujue umepanda ndege Wahaya buana.

That's my tribe and am proud of it.

Kasie is me... and.am Kasie.

Ndege to us is a means of transport.... we use it every now and then that's why it's not a big deal to say that am at JK Airport boarding to Dubai.....

Get used to us otherwise you'll suffocate.

Kasie.
 
Hao Chura Sijui Wanaitwaje Lakn Huwa Wanapenda Sana Kujificha Migombani, Yani Ule Mgomba Ukiuvua Yale Magamba Yake Unakuta Aina Hii Ya Chura, Pia Hupenda Kuishi Kwny Chemba Za Choo.
 
Juzi nilikuwa airport nasubiria begi langu ili niingie bongo, mwanaume mmoja akaja pembeni yangu na kusubiria begi lake. Alipolipata kabla langu halijaja akanisalimia. ... mambo chura.... umenona. .. umependeza chura......

Sikumjibu kitu kwa kuwa nilikuwa nimechoka na safari. Sasa hapa namjibu. .....

Chura mwenyewe. ..
afu weweeee we ngoja tu.
 
afu weweeee we ngoja tu.

Chura nakuulizia unipe jibu makini kwa kila iwapo mvua wakimbilia bwawani. ..........
Huna nguo ya kufua na wala huna sabuni. ......
Kutwa kucha kisimani maji hatuyaoni. ...........
Churaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom