Hawa ni chura wa aina gani?

Hawa ni chura wa aina gani?

Leo nimeangalia kipindi cha Uswazi kuna jamaa anafuga hawa vyura sasa ningeomba kama kuna wataalamu wa viumbe vya majini watuambie hawa vyura nia aina gani?

d61c9b987c682d64e783c894c6db68a8.jpg


26f857186cd91a3d4027653d527169d0.jpg

Wakuu kama huyu ni dili mniambie tafadhali, nyumbani kwangu wananisumbua sana hawa kuingia kwenye reservoir ya mma. Ni jeuri sana huyo chura, kama ni 'bayoanuai' ningefurahi kujua
 
Juzi nilikuwa airport nasubiria begi langu ili niingie bongo, mwanaume mmoja akaja pembeni yangu na kusubiria begi lake. Alipolipata kabla langu halijaja akanisalimia. ... mambo chura.... umenona. .. umependeza chura......

Sikumjibu kitu kwa kuwa nilikuwa nimechoka na safari. Sasa hapa namjibu. .....

Chura mwenyewe. ..
😀😀😀haahaahaaaaa😀😀😀
 
Wakuu kama huyu ni dili mniambie tafadhali, nyumbani kwangu wananisumbua sana hawa kuingia kwenye reservoir ya mma. Ni jeuri sana huyo chura, kama ni 'bayoanuai' ningefurahi kujua
hao ni dili mdau wanauzwa kwa pesa nzuri aise na wateja wakubwa ni wachina wabongo tusikariri biashara siyo kuku tu kuna fursa nyingi tena hazina ushindani kabisa kama hii ya vyura
 
Juzi nilikuwa airport nasubiria begi langu ili niingie bongo, mwanaume mmoja akaja pembeni yangu na kusubiria begi lake. Alipolipata kabla langu halijaja akanisalimia. ... mambo chura.... umenona. .. umependeza chura......

Sikumjibu kitu kwa kuwa nilikuwa nimechoka na safari. Sasa hapa namjibu. .....

Chura mwenyewe. ..
infact my sister wayukayo! umepandamo ka-eroplane. eee nyegera n'otushene waitu.
 
Hapo unataka tujue umepanda ndege Wahaya buana.
Yaani dar ni noma nilikuwa Kariakoo nikasia chura chura nikangalia kwenye mitaro labda ameonekana lahaula kumbe walimanisha chura...we ukisikia chura chura angalia kwa nakini utamwona.
 
Haaaaa, kumbe ndio wewe yule dada? Khaaa. Uongo mbaya nlikuangalia Mara kumi kumi na mwisho nkajikuta naropoka vile. Nsamehe na pia Hongera sana maana looh!!
Juzi nilikuwa airport nasubiria begi langu ili niingie bongo, mwanaume mmoja akaja pembeni yangu na kusubiria begi lake. Alipolipata kabla langu halijaja akanisalimia. ... mambo chura.... umenona. .. umependeza chura......

Sikumjibu kitu kwa kuwa nilikuwa nimechoka na safari. Sasa hapa namjibu. .....

Chura mwenyewe. ..
 
Back
Top Bottom