Hawa ndo wanawake wanaopaswa kudai haki sawa

J wizzy

JF-Expert Member
Sep 2, 2016
458
535
Mwanamke kama huyu akidemand haki sawa sina sababu ya kumnyima hata kidogo.
IMG_20171121_215947_571.jpeg
we unaaonaje apo mkuu???
 
Ndo unatakiwa uielewe kwanza. Katafute hiyo 50/50 uisome hlf uje hapa tuelezane kwa hoja za msingi.
But unaweza tu kuziweka hapa zen kila mmoja akazipitia hapahapa kwenye uzi na kucomment, instead of going to read it somewhere.
 
But unaweza tu kuziweka hapa zen kila mmoja akazipitia hapahapa kwenye uzi na kucomment, instead of going to read it somewhere.
Haki ninazozifahamu mimi ambazo wanawake tunazidai chache ni hizi
1. Usawa kwenye elimu
2. Usawa kwenye ajira (hii iangalie uwezo na si upendeleo)
3. Usawa kwenye madaraka (hii pia inahitaji uwezo)
4. Haki kwenye mirathi
5. Haki kwenye kumiliki mali
.
.
Na nyingine nyingi za msingi.
Tatizo hiyo 50/50 mnaitafsiri vibaya.
Sisi wanawake tunatambua majukumu yetu na uwezo wetu, kuna mambo hatuwezi kulingana kutokana na jinsi mungu alivyotuumba.
 
Haki ninazozifahamu mimi ambazo wanawake tunazidai chache ni hizi
1. Usawa kwenye elimu
2. Usawa kwenye ajira (hii iangalie uwezo na si upendeleo)
3. Usawa kwenye madaraka (hii pia inahitaji uwezo)
4. Haki kwenye mirathi
5. Haki kwenye kumiliki mali
.
.
Na nyingine nyingi za msingi.
Tatizo hiyo 50/50 mnaitafsiri vibaya.
Sisi wanawake tunatambua majukumu yetu na uwezo wetu, kuna mambo hatuwezi kulingana kutokana na jinsi mungu alivyotuumba.
Naomba tuzichambue moja baada ya nyingine kati ya hizo chache ulizoorodhesha,sawa..
 
Naomba tuzichambue moja baada ya nyingine kati ya hizo chache ulizoorodhesha,sawa..
1. Haki kwenye elimu
- mtoto wa kike apewe haki ya kupata elimu kama ambavyo wa kiume anapewa. Sio wa kiume asomeshwe hlf wa kike abaki nyumbani.
* hapo tuko sawa?
 
Back
Top Bottom