Hawa ndo clouds fm

Binti Magufuli

JF-Expert Member
Apr 2, 2011
7,484
5,142
Except huyo mwe nye ngozi nyeupe CLOUDS WAREMBO.jpg Clouds ni full mapouder khaaa, kila mwanaume anajitahidi kung'aa hebu check hapo
 
Naogopa, tutakuwa tunanyang'anyana mapouder humo ndani na baba watoto teh teh teh
 
Yaani hawa jamaa hawakua na sehemu nyingine yakuongelea zaidi ya hapo mlangoni Toilet? Mbona napata wasiwasi na hawa jamaa wa
Clouds?


 
Labda mmoja wao ana tumbo la kuhara hivyo hatakiwi kucheza mbali na Toi...
 
ila huyu black kuliko wote anasura innocent sana yani huwezi kuamini ambayo wanasemaga juu yake duuuuuuuuuuuuh
 
Mkuu kama umetumia "photoshop" kuliweka hilo neno mlangoni huwezi kupewa ban kweli?
 
Back
Top Bottom