BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Ni aibu kwa level ya Radio kama Clouds kuwa na matangazo yanayohamasisha watu kubet kila dakika. Ubunifu wa kupata mapato umeisha wamebaki kutegemea Buku Buku za wasikilizaji. Clouds imekua radio ya ajabu sana kwasasa. Kama hali imekuwa ngumu wauze hisa tu ili wapate mwekezaji mwingine.
Mbona akina Rostam wapo tu na hela hazina kazi.
Mbona akina Rostam wapo tu na hela hazina kazi.