Kipondo Cha ugoko
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 654
- 1,042
Kibibi Cha kutunga uongo! Haya tuwekee hiyo taarifa iliyovuja hapa kutoka chanzo rasimi na sisi tuisomeKuna habari zimevuja zinasema Waisrael walikuwa wanauwa wao Wayahudi wenzao ile tarehe 7 halafu wanaudanganya ulimwengu kuwa ni Wapelestina waliouwa.
Hao vijana kama wanashikiliwa na Wapalestina basi wapo mikono salama kuliko kuwa na wayahudi.