hamas viongozi wao wote wakubwa hawaishi Gaza wala eneo lolote la palestina, wana ofisi nje ya nchi. na kiongozi wao mkuu ana ofisi Qatar, serikali ya Doha inamhudumia kila kitu kwasababu yupo pale kama mkimbizi. kwahiyo anapatikana hata kwasimu.Yaani kiongozi yuko Qatar?
Unawajua magaidi wa kiislamu wewe? Huwa waoga na hupdnda kuwavamia raiayaani ni rahisi sana. unajua Kiongozi wa Hamas haishi Gaza, anaishi Qatar ana ofisi kabisa, na anaoperate na kutoa maelekezo yote akiwa Doha Qatar, hata mateka hao walioachiwa yeye lazima ndio alitoa maelekezo, na negotiations zote za mateka kuachiwa hata sasahivi zinaendelea na mediator ambaye ni Qatar. Balozi wa palestina hawezi kusema Hamas hawapatikani kwenye simu kwasababu ukipiga simu Doha hata sasahivi zinapatikana, au Balozi wetu aliyepo Qatar awashe tu gari aende kwa kiongozi wa hamas, amwambie chondechonde hao madogo hawahusiki na mgogoro, na sio wayahudi, ni masai na mchaga. hivi hawaoni hata aibu Africa miaka yote imekuwa supporter wa Palestine na bado wameteka watoto wao?
Swala so kupatikana kaka ni kwanini hawapo mstari wa mbele kupigana na wayahudihamas viongozi wao wote wakubwa hawaishi Gaza wala eneo lolote la palestina, wana ofisi nje ya nchi. na kiongozi wao mkuu ana ofisi Qatar, serikali ya Doha inamhudumia kila kitu kwasababu yupo pale kama mkimbizi. kwahiyo anapatikana hata kwasimu.
Wamemalizwa wote na mateka wao.Swala so kupatikana kaka ni kwanini hawapo mstari wa mbele kupigana na wayahudi
sasa ajuza, hivi kwanini ndugu zako hamas wamekamata hadi mchaga na mmasai, kweli walishindwa kuangalia hata sura tu kwamba hao sio wayahudi? chonde chonde muwasilianenao wawaachie watoto wetu warudi, ni wanafunzi tu walienda kwenye internship, wanahangaika tu kutafuta maisha ndio maana walienda kule.Wamemalizwa wote na mateka wao.
Hawa kuachiliwa au kurudi wakiwa hai ni ngumu sana tena sana, na sababu kubwa ni human organs biashara, yaani hao hamas unakuta vyanzo vya mapato pia ni kuuza viungo vya waliowateka na wenye biashara hizo unaweza kuta wanakimbilia huko ni kuuza figo, moyo etc. Tuwaombee ila inapotokea vita kuna mambo mengi sana.Joshua Loitu Mollel and Clemence Felix
wapalestina wa buza na wakomonisti wa mbweni waambieni vijana wenu wa itikadi kali wawaachilie hawa vijana au mnaendelea kusupport hata huu ujinga.
View attachment 2796985
swala ni kwamba, Kuna watanzania wenzio wawili, wote wakristo wa arusha na moshi hapo, wamekamatwa na kutekwa na hamas, wao sio wayahudi, mbona hamlaani kitendo hicho cha hamas na mnataka sisi tuamini ninyi ni watu wazuri au tuamini hamas ni watu wazuri tu. huoni aibu? mpalestina kwako ana thamani kuliko mchaga na mmasai? au kwasababu hawa vijana ni wakristo? shetwan kweli wewe.Hamas wamefanya makosa kuteka watu hovyo pamoja na mengine ,na hatusemi kuwa Hamas ni wasafi.
Ila utashangaa Migalatia ya humu (baadhi akiwemo Maghayo na genge lake) inafurahia mauaji ya kutisha na ukatili wanaofanya Israel kwa raia wa Gaza wakiwemo watoto , Wanawake na Wazee .
Unafiki ,na chuki huwa zinadhihirika mapema sana.
yap, human organ duniani hasa ni figo, though sidhani kama hamas wanaweza kufanya hivyo.Hawa kuachiliwa au kurudi wakiwa hai ni ngumu sana tena sana, na sababu kubwa ni human organs biashara, yaani hao hamas unakuta vyanzo vya mapato pia ni kuuza viungo vya waliowateka na wenye biashara hizo unaweza kuta wanakimbilia huko ni kuuza figo, moyo etc. Tuwaombee ila inapotokea vita kuna mambo mengi sana.
Kuna habari zimevuja zinasema Waisrael walikuwa wanauwa wao Wayahudi wenzao ile tarehe 7 halafu wanaudanganya ulimwengu kuwa ni Wapelestina waliouwa.
Hao vijana kama wanashikiliwa na Wapalestina basi wapo mikono salama kuliko kuwa na wayahudi.
Masai na Pare.Masai na chagga
mtenga ni mchagga wa rombo. Tenga ndio wapare.Masai na Pare.
Kama hauna akili basi upeo wako ni finyu .swala ni kwamba, Kuna watanzania wenzio wawili, wote wakristo wa arusha na moshi hapo, wamekamatwa na kutekwa na hamas, wao sio wayahudi, mbona hamlaani kitendo hicho cha hamas na mnataka sisi tuamini ninyi ni watu wazuri au tuamini hamas ni watu wazuri tu. huoni aibu? mpalestina kwako ana thamani kuliko mchaga na mmasai? au kwasababu hawa vijana ni wakristo? shetwan kweli wewe.
Waulize wayahudi, kwani hao vijana walikuwa wapi?sasa ajuza, hivi kwanini ndugu zako hamas wamekamata hadi mchaga na mmasai, kweli walishindwa kuangalia hata sura tu kwamba hao sio wayahudi? chonde chonde muwasilianenao wawaachie watoto wetu warudi, ni wanafunzi tu walienda kwenye internship, wanahangaika tu kutafuta maisha ndio maana walienda kule.
Angalizo: Huyu anaitwa MTENGA siyo TENGA.mtenga ni mchagga wa rombo. Tenga ndio wapare.
Awa wadau wangu kabisa nmesoma nao SUA dah
hao vijana walipelekwa na serikali ya samia, ndugu yako katika imani, kwa roho nzuri tu, kwenda kujifunza kilimo.Waulize wayahudi, kwani hao vijana walikuwa wapi?