barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,586
Adui mkubwa wa uislam ni waislamu wenyewe!
Swaumu vipi?
wewe ni punguan na punguani wa kiislamu akipewa bunduki..kazi ni moja kuuwa watu tu..
Adui mkubwa wa uislam ni waislamu wenyewe!
Kwanza mungu amrehemu mwandishi na amsamehe kwa alokesea....pili hili la bakwata ni gumu sana kama ccm kukubali kushindwa. Juzi tayari bakwata wamechagua mufti mpya tena kachaguliwa dodomaaaaa....na qualification zile zile tu tulo zizoea. Tatu bakwata ni mfupa mgumu nadhani ponda anuafahamu vizuri ..huu mfupa hata akija mrisho , mwinyi bilali omary wooooote walifahamu kuwa kuna tatizo tena tatizo kubwa lakini mfupa huuu umewashinda...tuombe labda tukipata mabadiliko tutapata meno ya simba na kuutafuna mfupa huu
hata hii ya sasa iliundwa na mkatoliki nyerere hivyo sio ajabu..kutoka kwa mluteri !?