Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

Status
Not open for further replies.
Duniani hapa kuna watu wameumbwa kubisha kila kitu, wanaobisha tuwasamehe maana hawabishi kwa hoja nzito
 
Kwaku kukuenzi nina apa kwajina la muumba wambingu ma aridhi sitakaa nipigie CCM kura na adi na mimi nitakapo kufuata uko uliko tangulia hakika sisi sote ni wa Mungu na kwake tutarejea.

Inshaa Allah atakupunguzia ama kukuondoshea kabisa madhambi uliyo wahi kutenda kutokana na udhaifu tuliyo umbwa nao .
 
r.i.p Mohamed Mtoi, pengo lako halitazibika hapa JF na katika chama chako. ulijipambanua vema kabisa, hakika nitakukumbuka
 
Innalilahi-wa inna ilayhi rajioon" To Allah we belong and to Him we shall return." (Quran Surat Al Baqarah-...
 
Adui mkubwa KABISA ni WAISLAM KUACHA MAFUNZO YA QUR AN NA SUNNA ZA MTUME..HAPO NDIO WAMEZALIWA HAYO MENGINE YA MASHEIKH KUTUMIWA NA KADHALIKA..NDIO MAANA NIGERIA WANA "BOKO HARAM maana yake ELIMU YA MAGHARIBI NI DHAMBI" Yaani wanataka kurudi kwenye QUR AN NA SUNNA..WAPO ISIS,AL QAEDA,AL SHABAB NA WENGI WENGINE SISI TANZANIA TUNAAMINI SIASA BADALA YA MAFUNZO YETU...NOTE:HATA MTUME MOHAMMADI S.A.W KAPIGANA JIHADI NA NDIYE MUASISI...

Unamaanisha Nn? Kuna Dhamira Unayo Ila Umeshindwa Kuifafanua!
 

  • Ndugu zangu.


    Tunapo kuwa tunajiuliza mhemko wa udini unatoka wapi au nani wameusababisha na kuuasisi si vibaya tukajua maadui wakuu kwa upande wetu waislamu. Ukimjua adui ni rahisi kupambana naye na ni nusu ya ushindi kwenye vita ya kutafuta haki au usawa au kuondoa tunao uita unyanyasaji kwa waislamu au mfumo kristo kama wengine wanavyo penda kuita (Mimi sio muumini wa dhana ya mfumo kristo) maana nimeona wakati wote waislamu wenzangu wakishika nafasi kubwa serikalini, kwenye mashirika ya umma na hata mashirika binafsi.

    Siuoni mfumo kristo kama unavyoitwa au kama baadhi ya waislamu wenzangu wengine wanavyotaka kuaminisha umma wa kiislamu juu ya hii dhana. Nasema sioni kwa kuwa bado naamini katika uwezo na si mfumo kristo, si uoni kwa kuwa hii nchi niya wakristo, wapagani, waislamu, wahindu na dini nyingine. Si uoni mfumo kristo kwa kuwa nimeshuhudia watu kama kina omari mahita, na said mwema wakiwa viongozi wa vyombo ambavyo mara kadhaa vimesababisha mauwaji ya waislamu wenzetu na ndugu zetu wakristo pia. Mtanisamehe bure wenye mtazamo tofauti na wangu lakini siuoni mfumo Kristo nikimuangalia JK na makamu wake, si uoni mfumo Kristo nikimuangalia wajina wangu Mohamedi Sheini na Sharif Hamad, siuoni mfumo Kristo nikimuangalia Chande Othman (yule jaji mkuu) na Othaman Rashid (mkurugenzi wa Usalama wa Taifa), siuoni hata nikiungalia kwenye wizara na taasisi nyingine za serikali.

    Wanaoongela mfumo Kristo hawana uthibitisho wa kutosha kuhalalisha madai yao ambayo kwa sasa nayaita hayana mashiko bali yametawaliwa na ukame wa maono na kiangazi cha fikra kinacho piga macho pazia mchana wa jua kali.

    Kwa waislamu na wasio kuwa waislamu, Lazima tutambue kuwa adui wa waislamu sio wakristo, wapagani, wahindu,au dini nyingine zinazopatikana kwenye huu ulimwengu.

    Lazima tujue kuwa sisi ni ndugu tunaohitaji kuishi kwa upendo na kuvumiliana bila kuathiri imani zetu, na ikitokea lazima tutafute njia za amani kupata suluhu.

    Kwa mtazamo wangu hawa ndio maadui wakubwa wa uislamu kwa Tanzania.

    1. Adui namba moja kwa waislamu ni kutokuwa na mashule na vyuo vingi vyenye kutoa elimu bora kwa vijana wa kiislamu na hata wale wa upande wa pili wanaokuja kuitafuta elimu. Najua kuna watu watapinga sana lakini ukweli mchungu lazima tuuseme ili tupate pa kuanzia, mtakuwa mashahidi hata shule tulizo nazo hazifanyi vizuri sana kwenye mitihani ya kitaifa lakini pia hata mashule yetu hayana mfumo wa kuandaa masheikh walio iva kwenye elimu dunia na akhera. Mimi napendekeza harakati zetu ziwe kwenye kujenga mashule ya viwango pamoja na kuajiri walimu bora bila kujali dini zao ili kuwaandaa vijana bora wanaoendana na kasi ya sayansi na teknolojia kuelekea soko la ajira ya ushindani na pia viongozi bora wa dini.

    2. Ni kukubali kufanywa nyezo ya CCM kupata uhalali wa kutawala kwa kura za waislamu. Lazima tujue kuwa CCM wametutumia vya kutosha na kutudanganya vya kutosha, sasa tuseme basi! Mfano:~ Wametudanganya swala la mahakama ya kadhi wakati wa kampeni 2010 waislamu waliotaka tuwe na kadhi kwa kauli hadaa ya CCM wakapiga kura za kuhadaiwa lakini baada ya matokeo wakatugeuka! Huku ni kuonekana kuwa tu-malofa wa kudanganywa, tuunge mkono chama ambacho hakita tugawa lakini pia ambacho hakita tugawa na kuharibu umoja wetu wa kitaifa.

    3. BAKWATA imekuwa ni kama taasisi ya CCM, wanamuweka wanayetaka wao. Lazima tupiganie BAKWATA kiwe chombo huru cha waislamu na tuweke viongozi wenye maono mapana tunao taka sisi sio CCM hii itasaidia kurejesha imani kwa BAKWATA. Napendekeza Qualification ya kuongoza BAKWATA iwe ni PhD kwa kuangalia uwezo wa elimu akhera na elimu dunia lakini pia pamoja na uwezo wa kuongoza na kusimamia mambo. Chuo kikuu cha MUM kinaweza kusaidia kuratibu kupatikana wataalamu na watendaji wengine wa BAKWATA ambao nao kiwango cha chini cha kuanzia kiwe shahada moja na kuendelea.

    4. Kutokufuata mafundisho ya mtume. Mtume wetu Muhammad S. A. W alikuwa mwema, mwingi wa hekima na busara. Lazima tuyafuate mafundisho yake na kukumbushana mema na kukatazana mabaya, uislamu haujajengwa kwenye misingi ya uhasama, vurugu, fujo, chuki na mambo mengine mabaya. Uislamu umejengwa kwenye misingi ya usafi wa matendo mema, kumcha Mungu, ukarimu, na kuhurumia na kuwajali wengine. Tukiyafanya haya tutawaepuka wale wanao utumia uislamu wetu kama daraja ambalo baadae hutuchafua wote. Mfano wale walio ingia kuchoma na kuvunja kanisa na kuiba sadaka, baadhi ya vifaa vya kanisa na mikate.

    "Uislamu ni unadhifu" hii ni moja ya tafsiri ya hadithi za mtume wetu kipenzi Muhammad S. W. A. Tuyafuate mafundisho yake kwa matendo ili tumuenzi kipenzi chetu.

    *MWENYE MCHANGO WA KUJENGA USIO KUWA KEJELI AU MAUDHI AONGEZE NISIPOGUSA*






    Source:

​https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...waislamu-na-uislamu-wenyewe-kwa-tanzania.html

Good points, ndugu waislamu tukisoma na kuelewa somo la huyu mwenzetu mambobyatakuwa muswano kabisa
 
Ni aibu, hoja kibao zimetolewa hapo juu kuhusu maadui wa uislam na waislam Tanzania, wewe unakuja na maelezo mafupi yasiyo hataw na point ., au jaribu kufafanua hoja yako pengine tupate kukuelewa, kama hukua na chakuandia basi kua mfuatiliaji tu, naamini utafaidika sana.,.....

kwenden huko na udini wenu
 
UNBELIEVABLE AND WRITTEN BY A MUSLIM;

VERY INTERESTING

Date: Monday, October 1, 2012, 1:06 PM


FOOD FOR THOUGHT
AND GENERAL KNOWLEDGE NO ONE SHOULD FEEL INTIMIDATED

It sure makes interesting reading... particularly coming from a Pakistani official: Dr Farrukh Saleem

The writer is the Pakistani Executive Director of the Center for Research and Security Studies, a think tank established in 2007, and an Islamabad-based freelance columnist.


*Why are Jews so powerful?*

There are only 14 million Jews in the world; seven million in the Americas , five million in Asia, two million in Europe and 100,000 in Africa . For every single Jew in the world there are 100 Muslims.

Yet, Jews are more than a hundred times more powerful than all the Muslims put together. Ever wondered why?

Jesus of Nazareth was Jewish. Albert Einstein, the most influential scientist of all time and TIME magazine's 'Person of the Century', was a Jew.

Sigmund Freud, the father of psychoanalysis was a Jew. So were Karl Marx, Paul Samuelson and Milton Friedman.

Here are a few other Jews whose intellectual output has enriched the whole humanity:

Benjamin Rubin gave humanity the vaccinating needle.
Jonas Salk developed the first polio vaccine.
Albert Sabin developed the improved live polio vaccine.
Gertrude Elion gave us a leukemia-fighting drug.
Baruch Blumberg developed the vaccination for Hepatitis B.
Paul Ehrlich discovered a treatment for syphilis.
Elie Metchnikoff won a Nobel Prize in infectious diseases.
Bernard Katz won a Nobel Prize in neuromuscular transmission.
Andrew Schally won a Nobel in endocrinology.
Aaron Beck founded Cognitive Therapy.
Gregory Pincus developed the first oral contraceptive pill.
George Wald won a Nobel for our understanding of the human eye.
Stanley Cohen won a Nobel in embryology.
Willem Kolff came up with the kidney dialysis machine.

Over the past 105 years, Jews from a total of 14 million have won 15-dozen Nobel Prizes while only three Nobel Prizes have been won by Muslims from a total of Muslims 1.4 billion (other than Peace Prizes).

*Why are Jews so powerful?*

Stanley Mezor invented the first micro-processing chip.
Leo Szilard developed the first nuclear chain reactor;
Peter Schultz, optical fiber cable;
Charles Adler, traffic lights;
Benno Strauss, Stainless steel;
Isador Kisee, sound movies;
Emile Berliner, telephone microphone;
Charles Ginsburg, videotape recorder.

Famous financiers in the business world who belong to the Jewish faith include
Ralph Lauren (Polo),
Levis Strauss (Levi's Jeans),
Howard Schultz (Starbuck's),
Sergey Brin (Google),
Michael Dell (Dell Computers),
Larry Ellison (Oracle),
Donna Karan (DKNY),
Irv Robbins (Baskins & Robbins) and
Bill Rosenberg (Dunkin Donuts).

Richard Levin, President of Yale University, is a Jew. So are Henry Kissinger (former American Secretary of State), Alan Greenspan (Fed Chairman under Reagan, Bush, Clinton and Bush), Joseph Lieberman (US Senator), Madeleine Albright (former American Secretary of State), Casper Weinberger (American secretary of defense), Maxim Litvinov ( USSR Foreign Minister), David Marshal ( Singapore 's first chief minister), Issac Isaacs (governor-general of Australia ), Benjamin Disraeli (British statesman and author), Yevgeny Primakov (Russian PM), Barry Goldwater (US Senator), Jorge Sampaio (president of Portugal ), John Deutsch (CIA director), Herb Gray (Canadian deputy PM), Pierre Mendes (French PM), Michael Howard (British home secretary), Bruno Kreisky (chancellor of Austria ) and Robert Rubin
(American secretary of treasury).

In the media, famous Jews include Wolf Blitzer (CNN), Barbara Walters (ABC News), Eugene Meyer (Washington Post), Henry Grunwald
(Editor-in-chief Time), Katherine Graham (publisher of The Washington Post), Joseph Lelyveld (Executive editor, The New York Times), and Max Frankel (New York Times).

*The most beneficent philanthropist in the history of the world is George Soros, a Jew, who has so far donated a colossal $4 billion most of which has gone as aid to scientists and universities around the world.
*Second to George Soros is Walter Annenberg, another Jew, who has built a hundred libraries by donating an estimated $2 billion.

At the Olympics, Mark Spitz set a record of sorts by winning seven gold medals; Lenny Krayzelburg is a three-time Olympic gold medalist.
Spitz, Krayzelburg and Boris Becker (Tennis) are all Jewish.

Did you know that Harrison Ford, George Burns, Tony Curtis, Charles Bronson, Sandra Bullock, Billy Crystal, Woody Allen, Paul Newman, Peter Sellers, Dustin Hoffman, Michael Douglas, Ben Kingsley, Kirk Douglas, Goldie Hawn, Cary Grant, William Shatner, Jerry Lewis and Peter Falk are all Jewish?

As a matter of fact, Hollywood itself was founded by a Jew. Among directors and producers, Steven Spielberg, Mel Brooks, Oliver Stone,
Aaron Spelling ( Beverly Hills 90210), Neil Simon (The Odd Couple), Andrew Vaina (Rambo 1/2/3), Michael Man (Starsky and Hutch), Milos Forman (One flew over the Cuckoo's Nest), Douglas Fairbanks (The Thief of Baghdad) and Ivan Reitman (Ghostbusters) are all Jewish.


** So, why are Jews so powerful? **

Answer: ** **EDUCATION*

*Why are Muslims* *so powerless?*

There are an estimated 1,476,233,470 Muslims on the face of the planet: one billion in Asia, 400 million in Africa, 44 million in Europe and six million in the Americas . Every fifth human being is a Muslim; for every single Hindu there are two Muslims, for every Buddhist there are two
Muslims and for every Jew there are one hundred Muslims.

Ever wondered why Muslims are so powerless?


Here is why:There are 57 member-countries of the Organization of Islamic Cooperation (OIC), and all of them put together have around 500 universities; one university for every three million Muslims. The United States has 5,758 universities and India has 8,407.

In 2004, Shanghai Jiao Tong University compiled an 'Academic Ranking of World Universities’, and intriguingly, not one university from Muslim-majority states was in the top 500.



As per data collected by the UNDP, literacy in the Christian world stands at nearly 90 per cent and 15 Christian-majority states have a literacy rate of 100 per cent.

A Muslim-majority state, as a sharp contrast, has an average literacy rate of around 40 per cent and there is no Muslim-majority state with a literacy rate of 100 per cent.

Some 98 per cent of the 'literates' in the Christian world had completed primary school, while less than 50 per cent of the 'literates' in the Muslim world did the same.

Around 40 per cent of the 'literates' in the Christian world attended university while no more than two per cent of the 'literates' in the Muslim world did the same.

Muslim-majority countries have 230 scientists per one million Muslims. The US has 4,000 scientists per million and Japan has 5,000 per million.


In the entire Arab world, the total number of full-time researchers is 35,000 and there are only 50 technicians per one million Arabs. (In the Christian world there are up to 1,000 technicians per one million).

Furthermore, the Muslim world spends 0.2 per cent of its GDP on research and development, while the Christian world spends around five per cent of its GDP.

Conclusion: The Muslim world *lacks the capacity* to *produce knowledge*!

Daily newspapers per 1,000 people and number of book titles per million are two indicators of whether knowledge is being diffused in a society.

In Pakistan , there are 23 daily newspapers per 1,000 Pakistanis while the same ratio in Singapore is 360. In the UK , the number of book titles per million stands at 2,000 while the same in Egypt is 20.

Conclusion: The Muslim world *is failing to* *diffuse knowledge.*

Exports of high technology products as a percentage of total exports are an important indicator of knowledge application. Pakistan 's export of high technology products as a percentage of total exports stands at one per cent. The same for Saudi Arabia is 0.3 per cent; Kuwait , Morocco , and
Algeria is all at 0.3 per cent, while Singapore is at 58 per cent.

Conclusion: The Muslim world *is failing to* *apply knowledge.*

Why are Muslims powerless?

.....Because we aren't producing knowledge,
.....Because we aren't diffusing knowledge.
.....Because we aren't applying knowledge.

And, the future belongs to knowledge-based societies.

Interestingly, the combined annual GDP of 57 OIC-countries is under $2 trillion.
America , just by herself, produces goods and services worth $12 trillion; China $8 trillion, Japan $3.8 trillion and Germany $2.4 trillion (purchasing power parity basis).

Oil rich Saudi Arabia, UAE, Kuwait and Qatar collectively produce goods and services (mostly oil) worth $500 billion; Spain alone produces goods and services worth over $1 trillion, Catholic Poland $489 billion and Buddhist Thailand $545 billion.

* ..... (Muslim GDP as a percentage of worlds GDP is fast declining).*

So, why are Muslims so powerless?*
Answer: **Lack of education**.*

All we do is shouting to Allah the whole day!!! And blame everyone else for our multiple failures!!!!!

===============================
*Muslims are not happy*

*They’re not happy in Gaza *

*They're not happy in Egypt *

*They're not happy in Libya *

*They're not happy in Morocco *

*They're not happy in Iran *

*They're not happy in Iraq *

*They're not happy in Yemen *

*They're not happy in Afghanistan *

*They're not happy in Pakistan *

*They're not happy in Syria *

*They're not happy in Lebanon *

*So, where are they happy?*

*They're happy in Australia *

*They're happy in England *

*They're happy in France *

*They're happy in Italy *

*They're happy in Germany *

*They're happy in Sweden *

*They're happy in the USA & Canada *

*They're happy in Norway *

*They're happy in almost every country that is not Islamic!*

*And who do they blame?*
*Not Islam...*
*Not their leadership...*
*Not themselves...*
*THEY BLAME THE COUNTRIES THEY ARE HAPPY IN*

*And they want to change the countries they're happy in,* *to be like the countries they came from,* *where they were unhappy.*

*Try to find logic in that!*



*Jeff Foxworthy on Muslims: *

*1. If you refine heroin for a living, but you have a moral objection to liquor, *

*you are a Muslim. ** *

*2. If you own a $3,000 machine gun and $5,000 rocket launcher, but you can't afford shoes,*

*You are a Muslim*

*3. If you have more wives than teeth,*

*You are a Muslim*

*4. If you wipe your butt with your bare hand, but consider bacon unclean.*

*You are a Muslim.*

*5. If you think vests come in two styles: bullet-proof and suicide,*

*You are a Muslim.*

*6. If you can't think of anyone you haven't declared Jihad against.*

*You are a Muslim. ** *

*7. If you consider television dangerous, but routinely carry explosives in your clothing,*

*You are a Muslim. ** *

*8. If you were amazed to discover that cell phones have uses other than setting off roadside bombs,*

*You are a Muslim.*

*9. If you have nothing against women and think every man should own at least four,*

*You are a Muslim.*

*10. If you find this offensive or racist and don't forward it,*

*You are a Muslim. ** *
Very very true
 
Adui mkubwa KABISA ni WAISLAM KUACHA MAFUNZO YA QUR AN NA SUNNA ZA MTUME..HAPO NDIO WAMEZALIWA HAYO MENGINE YA MASHEIKH KUTUMIWA NA KADHALIKA..NDIO MAANA NIGERIA WANA "BOKO HARAM maana yake ELIMU YA MAGHARIBI NI DHAMBI" Yaani wanataka kurudi kwenye QUR AN NA SUNNA..WAPO ISIS,AL QAEDA,AL SHABAB NA WENGI WENGINE SISI TANZANIA TUNAAMINI SIASA BADALA YA MAFUNZO YETU...NOTE:HATA MTUME MOHAMMADI S.A.W KAPIGANA JIHADI NA NDIYE MUASISI...

hebu tupe mfano wa jihadi aliyopigana mtume muhammad (swa).
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom