Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,869
- 29,031
Mhandisi katumia tebo ya pili kujenga
Mkuu faida kwa mkandarasi kwa njia ya fidia ni hasara kwa nchi
Tatizo ni mawasiliano. Mjenzi wa barabara alijenga barabara yake akakuta Tanesco tayari ameshasimika nguzo pale. Ufumbuzi ni kuwa Tanesco ahamishe nguzo yake lakini wa kugharamia hiyo kazi ni mwenye barabara (sio mkandarasi). Sasa utakuta mwenye barabara hana kasma ya pesa ya kufanya hiyo kazi ya kuhamisha hiyo nguzo.
Kwa hiyo asilaumu mkandarasi mlaumu mwenye barabara kwa sababu alipokuwa akifanya upembuzi yakinifu alipaswa aione hiyo nguzo na aweke hela ya kuihamisha kwenye bajeti yake ya kuijenga bararbara hiyo. Hapo hakuna cha hongo wala rushwa ni upeo tu umepungua kwenye kuona mambo!
"Misingi ikiharibiwa mwenye haki atafanya nini..."
Makandarasi husajiliwa kwa kigezo cha uwezo wa mitambo, fedhavna kiasi kidogo wataalamu. Serkali imetifikisha hapo na siyo wakandarasi. tatizo ni serikali tusilaumu mjenzi
Mikataba yoyote ni lazima iwe na terms kutoka pande zote, na ni lazima zioneshe kila hali, kama kuchelewa, na kucheleweshwa, na adhabu stahiki kutoka kila upande, mkuu inaezekana unaongelea hii mikataba ya kupeana kwa rushwa ambapo mkandarasi kwa kuwa alihonga kupewa tenda, anajaribu asimkwamishe mhandisi kwa kudai fidia ya kucheleweshwa, na ndio kilichotokea hapo.
Mfano wa konoike na ucheleweshaji wa barabara ya morocco ndo exactly poster boy ,ya jinsi mkandarasi timamu anavyo operate, na huwa ni faida kwake kwa kuwa huwa anadai fidia.
Mtoa mada hebu tazama picha yako vizuri na tuambie mwenye makosa hapo ni nani, TANESCO au Halmashauri, au kama unavyosema mkandarasi.Mimi ni kati ya Watanzania waliokuwa wakitetea sana Wahandisi wazawa kupewa kazi mbalimbali nchini lakini baada ya kuona picha hizi nimesikitika sana!
![]()
Mkuu unaisifu KONOIKE wakati hata huo mkataba wao hatuujui.
Wapi deceleration lanes , kama Nyerere Rd?
Wapi taa za barabarani?
Na umeshatumia hiyo barabara mpya? wapi service roads?
Wapi...wapi...wapi??? matatizo kibao.
Nipe mkataba wao tuuone!!
Sasa kodi hapo inahusikaje? Relocation ya services kama njia za umeme, simu au maji vinafanywa na wahusika kama Tanesco, ttcl etc hapo huenda Tanesco walitoa gharama kubwa na Client akashindwa. Mkandarasi au mhandisi hahusiki na uhamishaji wa miundo mbinu mingine zaidi ya ile inayomuhusu
Pia tujaribu kutofautisha kati ya mhandisi(Engineer) na mkandarasi(Contractor)
Una akili za tope. Mkandarasi kosa lake nini hapo? Unajua issue ya mikataba ya kazi za serikali ya ccm wewe? Unalaumu mkandarasi unajua vurugu alizokumbana nazo hadi akaamua kufanya hivo??? siku nyingine fanya utafiti kwanza siyo kutukana wakandarasi wa wazalendo as if wao ndo consultants.
Tatizo ni mawasiliano. Mjenzi wa barabara alijenga barabara yake akakuta Tanesco tayari ameshasimika nguzo pale. Ufumbuzi ni kuwa Tanesco ahamishe nguzo yake lakini wa kugharamia hiyo kazi ni mwenye barabara (sio mkandarasi). Sasa utakuta mwenye barabara hana kasma ya pesa ya kufanya hiyo kazi ya kuhamisha hiyo nguzo.
Kwa hiyo asilaumu mkandarasi mlaumu mwenye barabara kwa sababu alipokuwa akifanya upembuzi yakinifu alipaswa aione hiyo nguzo na aweke hela ya kuihamisha kwenye bajeti yake ya kuijenga bararbara hiyo. Hapo hakuna cha hongo wala rushwa ni upeo tu umepungua kwenye kuona mambo!
Du mbona una ni mis qoute mkuu... nilichokuwa na maanisha kuwa kitendo cha konoike kutoendelea na shughuli wakiwasubiri Tanesco,na dawasco warekebishe miundo mbinu, ndo mfano halisi wa mkandarasi anayejiamini, nani kasema anaujua mkataba wa konoike?
Mkuu kumbuka hapa tunachangia kutokana na picha iliyoletwa mtoa mada, na suluhisho kwa nini hali ile imetokea.
Pole kama hukunielwa
Mikataba yoyote ni lazima iwe na terms kutoka pande zote, na ni lazima zioneshe kila hali, kama kuchelewa, na kucheleweshwa, na adhabu stahiki kutoka kila upande, mkuu inaezekana unaongelea hii mikataba ya kupeana kwa rushwa ambapo mkandarasi kwa kuwa alihonga kupewa tenda, anajaribu asimkwamishe mhandisi kwa kudai fidia ya kucheleweshwa, na ndio kilichotokea hapo.
Mfano wa konoike na ucheleweshaji wa barabara ya morocco ndo exactly poster boy ,ya jinsi mkandarasi timamu anavyo operate, na huwa ni faida kwake kwa kuwa huwa anadai fidia.