Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,773
- 2,383
Mkuu achana na mifano ya mikataba ambayo huijui!hivi unajua kwanini upanuzi wa barabara ya ali hassan mwinyi kutoka morocco hadi mwenge unachelewa???!!! ni kwasababu tanesco na dawasco wanachelewa kuhamisha nguzo na mabomba....sasa KONOIKE wangekuwa na akili kama huyo mkandarasi unaemtetea sasa hivi tungeona hicho kituko zaidi ya mara 20 kutoka mwenge mpaka morocco. KONOIKE wanajua kazi yao ndio maana hawaanzi ujenzi hadi maandalizi yatimie. huyo mkandarasi unaemtetea alikuwa ana haki zote kuto kujenga na kusema nguzo ziondolewe kwani ni hatari sio kwake tu ila kwa kila mtu.
Kwa taarifa yako katika mradi uliokamilika hivi karibuni, Bagamyo rd iliyojengwa na KONOIKE, jukumu la kuondoa mabomba ya maji, simu na nguzo za umeme ni la serikali ya Tanzania na si la mkandarasi.
Na hivyo ndivyo imekuwa ikifanyika kwa miradi mingi ya misaada.