Kama wataalamu wetu mmefikia hatua hii basi ni hatari, Inawezekana kweli mimi ni mtu wa kijiweni, lakini sio kwamba sijui..
Tatizo hapa ni kutia siasa kwenye mambo ya kitaalam, na ndio sababu kila siku tunajengewa barabara mbovu,
Iko hivi,
Client anataka kitu ilichokamilika cha world standard
Consultant ndo anawaunganisha
Contractor ndo mwenye dhamana yote ya project, kwa taarifa yako mkandarasi timamu hawezi kukubali kuendelea project ambayo anahisi itamuharibia sifa yake, au hata kumchafulia , kwa kesi ya hii picha, hiyo nguzo halikuwa jukumu la mkandarasi, na kama kweli ni timamu toka siku wanafanya site viewing akiwa na client ilitakiwa hilo swala liwe limeshakuwa wazi kwa kandarasi ili lisiwe kikwazo na kumalizia muda wake ambao pia ni pesa nyingi.
Hivi kwa hii picha , unadhani inamuharibia nani, client au contractor? ,when worse come kama ghorofa yaliyoanguka unadhani mkandarasi anabaki salama,
?[/QUOTE
Hah,haaa,haaaaaaa! mazombie ndo watamlaumu contractor kwa picha hii, unless tests zilizofanyika ziwe zimefail ndo utakuwa na haki ya kusema kazi yake imeharibika. Unaweza kuongea sana but mwisho wa siku rudi katika contract agreement kujiridhisha kwamba jamaa ametimiza majukumu yake!!!