GANJA ROLLER
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 709
- 274
Jamani mi natengeneza vitambulisho vya bima ya afya (NHIF) kwa kutumia check number za wabunge wa bunge maalum la katiba.kama uko tayari tuwasiliane
nakuunga mkono % 10000 kweli ukandarasi ni biznea na hautaji cv.....tushawaona wajanja wengi wakipewa deal za ujenzi lakini hawana sifa hata kidogo ya ujenzi.....Wakuu narudia tena ukandarasi ni biashara na kamwe siyo taaluma. Swala la cv kama 1 alivyodai halipo hasa kwa nchi kama hii. Huyu ataendelea kupewa kaz hata kesho. Tatizo siyo lake ni mfumo. Wanaolaumu hawajui hii industry inavyoendeshwa hapa tz. Msitoke povu kwa jazba. Hahahaaaa.
Tatizo ni mawasiliano. Mjenzi wa barabara alijenga barabara yake akakuta Tanesco tayari ameshasimika nguzo pale. Ufumbuzi ni kuwa Tanesco ahamishe nguzo yake lakini wa kugharamia hiyo kazi ni mwenye barabara (sio mkandarasi). Sasa utakuta mwenye barabara hana kasma ya pesa ya kufanya hiyo kazi ya kuhamisha hiyo nguzo.
Kwa hiyo asilaumu mkandarasi mlaumu mwenye barabara kwa sababu alipokuwa akifanya upembuzi yakinifu alipaswa aione hiyo nguzo na aweke hela ya kuihamisha kwenye bajeti yake ya kuijenga bararbara hiyo. Hapo hakuna cha hongo wala rushwa ni upeo tu umepungua kwenye kuona mambo!
Mkuu naona kama hapo ni Mbeya au Iringa kutokana na miti ya Jacaranda.
Watu wengi huwa hawaelewi kuwa tatizo hapo ni Halmashauri zetu ambazo idara zao za Ujenzi huwa ni very poorly equiped and staffed.
Idara hizi zina wahandisi wachanga mno wasioweza kutayarisha kimipango utekelezaji wa miradi ya ujenzi.
Vile vile huwa hawana staff wa kutosha kutengeneza designs , BOQ(mahesabu ya gharama ya kazi), na hata wasimamizi wa kazi yenyewe huko site.
Sasa wanapakutana na kizungumkuti cha idara nyingine kama TANESCO au DAWASA hapo inakuwa kimbemne cha idara na wadau wenye uozo aawa katika miradi.
Na hii ni kwa sababu huwa fedha inayoitwa RELOCATION FUNDS huwa haipo, na mkandarasi kupewa site hivo hivi.
Hiyo picha uliyoonyesha ni cha mtoto, tembea uone madudu zaidi.
Pamoja na maelezo yako lakini bado kuna mushkeli...Huoni ni hatari sana sana sana tena sana kwa hali ya namna hiyo? Busara zaidi ilibidi kutumika!
Mimi ni kati ya Watanzania waliokuwa wakitetea sana Wahandisi wazawa kupewa kazi mbalimbali nchini lakini baada ya kuona picha hizi nimesikitika sana!
![]()
Tatizo ni mawasiliano. Mjenzi wa barabara alijenga barabara yake akakuta Tanesco tayari ameshasimika nguzo pale. Ufumbuzi ni kuwa Tanesco ahamishe nguzo yake lakini wa kugharamia hiyo kazi ni mwenye barabara (sio mkandarasi). Sasa utakuta mwenye barabara hana kasma ya pesa ya kufanya hiyo kazi ya kuhamisha hiyo nguzo.
Kwa hiyo asilaumu mkandarasi mlaumu mwenye barabara kwa sababu alipokuwa akifanya upembuzi yakinifu alipaswa aione hiyo nguzo na aweke hela ya kuihamisha kwenye bajeti yake ya kuijenga bararbara hiyo. Hapo hakuna cha hongo wala rushwa ni upeo tu umepungua kwenye kuona mambo!
Ndugu naomba unijibu maswali yafuatayo:
Who prepares the following:
1. Engineer's cost estimates?
2. Bidding documents?
3. Tender documents?
4. Contract?
Who awards the contract?
Je umesoma contract ya huo mradi?
Busara ambayo ingetumika ni hii:
Kama kwenye contract hakukuwa na pay item for relocation of services (Section 1200 of Standard Specifications), Client (mwenye mradi) angeandaa addendum to include such missing pay item ili contractor afanye. Inavyoonekana Client hakufanya hivyo. Kwa hiyo hakuna kosa kwa upande wa mkandarasi. Mkandarasi hawezi kufanya kazi ambayo haiko kwenye mkataba!
Aisee,kama vile kivutio cha utalii.
Kituko kweli,inanikumbushe kule Spain kama sikosei,kuna Mzee mmoja aligoma nyumba yake kubomolewa,basi alikaa katikati peke yake,Nyumba ikawa kituko na kivutio fulani.
Mwisho wa siku alibembelezwa na wakuu ndio akatoka.
Ndugu naomba unijibu maswali yafuatayo:
Who prepares the following:
1. Engineer's cost estimates?
2. Bidding documents?
3. Tender documents?
4. Contract?
Who awards the contract?
Je umesoma contract ya huo mradi?
Busara ambayo ingetumika ni hii:
Kama kwenye contract hakukuwa na pay item for relocation of services (Section 1200 of Standard Specifications), Client (mwenye mradi) angeandaa addendum to include such missing pay item ili contractor afanye. Inavyoonekana Client hakufanya hivyo. Kwa hiyo hakuna kosa kwa upande wa mkandarasi. Mkandarasi hawezi kufanya kazi ambayo haiko kwenye mkataba!
Mkandarasi wa barabara ataweza kuhamisha nguzo ikiwa kama amepewa fungu lakuhamisha na kama kampuni yake inashughulika pia na masuala ya umeme na pia tu kwa kushirikiana na tanesko.
Lakini muhusika wa power lines ni tanesko peke yao, haruhusiwi mtu yeyote kugusa.
Ningekuwa mimi ndio mkandarasi na nguzo haijahamishwa ningejenga barabara huko kote ila ningeacha bila kuijenga umbali wa mita 12 tokea kwenye nguzo kuelekea pande zote mbili, hadi nguzo itakapoondolewa ndio nitaunganisha.
Mimi ni kati ya Watanzania waliokuwa wakitetea sana Wahandisi wazawa kupewa kazi mbalimbali nchini lakini baada ya kuona picha hizi nimesikitika sana!
![]()
mkuu utaumiza kichwa chako! wengine kuelewa ni mpaka uchukue nyundo ugonge gonge vichwa vyao! ndiyo maana nchi haziendelei kwa sababu hawa-deal na chanzo wana-deal na matokeo! jiji lina mkurugenzi, lina meneja wa tanesco, wahandisi wa jiji, madiwani, kamati ya mipango miji lakini watu hawahoji wanafanya kazi juu ya suala hilo lakini wachangiaji humu wamekomaa na mkandarasi tu! shame on them!
hizo data ulizompa sijui kama huyo macho_mdiliko & co watakuelewa!!
Ndugu naomba unijibu maswali yafuatayo:
Who prepares the following:
1. Engineer's cost estimates?
2. Bidding documents?
3. Tender documents?
4. Contract?
Who awards the contract?
Je umesoma contract ya huo mradi?
Busara ambayo ingetumika ni hii:
Kama kwenye contract hakukuwa na pay item for relocation of services (Section 1200 of Standard Specifications), Client (mwenye mradi) angeandaa addendum to include such missing pay item ili contractor afanye. Inavyoonekana Client hakufanya hivyo. Kwa hiyo hakuna kosa kwa upande wa mkandarasi. Mkandarasi hawezi kufanya kazi ambayo haiko kwenye mkataba!
Tatizo lao wanavamia fani za watu! Hawawezi elewa.
wewe una matatizo makubwa kichwani mwako na nahisi una uhusiano mkubwa katibu mkuu wa ccm, abdi kinana! anaenda kulamikia watumishi wa serikali mitaani wakati chama chake ndiyo kinaongoza nchi!Maswali hayako hayana maana yoyote kwani sijasema mkandarasi ndio angehamisha hiyo nguzo... nimesema angetumia busara... eg kutojenga hiyo sehemu. Hii ni valid reason kuliko kuweka nguzo yenye umeme wa msongo mkubwa ndani ya barabara. Maafa yake ni makubwa! Binadamu hatufanyi kazi kama marobot!
mkuu utaumiza kichwa chako! wengine kuelewa ni mpaka uchukue nyundo ugonge gonge vichwa vyao! ndiyo maana nchi haziendelei kwa sababu hawa-deal na chanzo wana-deal na matokeo! jiji lina mkurugenzi, lina meneja wa tanesco, wahandisi wa jiji, madiwani, kamati ya mipango miji lakini watu hawahoji wanafanya kazi juu ya suala hilo lakini wachangiaji humu wamekomaa na mkandarasi tu! shame on them!
hizo data ulizompa sijui kama huyo macho_mdiliko & co watakuelewa!!
wewe una matatizo makubwa kichwani mwako na nahisi una uhusiano mkubwa katibu mkuu wa ccm, abdi kinana! anaenda kulamikia watumishi wa serikali mitaani wakati chama chake ndiyo kinaongoza nchi!