BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,044
Maswali hayako hayana maana yoyote kwani sijasema mkandarasi ndio angehamisha hiyo nguzo... nimesema angetumia busara... eg kutojenga hiyo sehemu. Hii ni valid reason kuliko kuweka nguzo yenye umeme wa msongo mkubwa ndani ya barabara. Maafa yake ni makubwa! Binadamu hatufanyi kazi kama marobot!
Maswali yangu yalilenga kujua kitu fulani kutoka kwako. Nimefanikiwa hilo. Ila kukusaidia ni kwamba
in management of civil engineering contracts wisdom is to execute projects in accordance with the contract na si vinginevyo!