Hawa marefarii watatu hawastahili kuamua tena mechi za Simba au Yanga

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,403
Siyo kwa ubaya, wala si kwamba hawajui kazi ya urefarii!

Lakini ukweli ni kwamba maamuzi yao yamekuwa yakigumbikwa na makandokando mengi kwenye mechi zinazovuta masikio ya wapenzi wrngi!

Ukiona marefarii wafuatao wamepangwa kuamua mechi kubwa nakushauri zima TV ukalale!

1. Jonesia Rukya
Huyu mama ni bonge la refa lakini siku za hivi karibuni tayali kashaingia kwenye mfumo! Hutumika sana kuamua mechi kubwa za maelekezo.


2. Ahmed alajiga

Huyu mnyaturu ni refa mzuri lakini mfumo unamtumia sana kuamua mechi
3. Kayoko!
Huyu naye kashaingia kwenye mkeka hatakiwi kuamua mechi kubwa!

Mbinu wanazozitumia kuharibu mchezo
1. Kuwapa Yellow card mapema key player wa timu inayotakiwa kufungwa
2. Kuwa frastulate wachezaji pasiposababu ya msingi!
(Yaani katika watu ambao huwa wanagundua mapema kwamba refa kapangwa huwa ni wachezaji, mchezaji anapewa kadi ya kuonewa huwa inamkata kabisa stimu ya kucheza, Filimbi kupulizwa wakati wa move ya kushambulia hii nayo huwatoa mchezoni wachezaji
3. penati za kuforce na offside za kinyonyaji

Nashauri TFF mechi zote za Derby ziamuliwe na marefarii kutoka inje ya nchi!
Naomba kuwasilisha
 
Huyo namba 2 sijui kama anastahili ku2a refa wa Ligi Kuu.

Leo nimeangalia mechi ya Prisons vs Utopolo kafnya makosa mengi ya kiuamuzi.
 
Huyo namba 2 sijui kama anastahili ku2a refa wa Ligi Kuu.

Leo nimeangalia mechi ya Prisons vs Utopolo kafnya makosa mengi ya kiuamuzi.
Shida ni unaangalia mpira ili Yanga ifungwe........au unaangali mpira ili simba afungwe....hapo utalalamika kila siku kma una mimba changa.......rekebisheni timu zenu hutalalamikia mtu sawa we kolo
 
Siyo kwa ubaya, wala si kwamba hawajui kazi ya urefarii!

Lakini ukweli ni kwamba maamuzi yao yamekuwa yakigumbikwa na makandokando mengi kwenye mechi zinazovuta masikio ya wapenzi wrngi!

Ukiona marefarii wafuatao wamepangwa kuamua mechi kubwa nakushauri zima TV ukalale!

1. Jonesia Rukya
Huyu mama ni bonge la refa lakini siku za hivi karibuni tayali kashaingia kwenye mfumo! Hutumika sana kuamua mechi kubwa za maelekezo.


2. Ahmed alajiga

Huyu mnyaturu ni refa mzuri lakini mfumo unamtumia sana kuamua mechi
3. Kayoko!
Huyu naye kashaingia kwenye mkeka hatakiwi kuamua mechi kubwa!

Mbinu wanazozitumia kuharibu mchezo
1. Kuwapa Yellow card mapema key player wa timu inayotakiwa kufungwa
2. Kuwa frastulate wachezaji pasiposababu ya msingi!
(Yaani katika watu ambao huwa wanagundua mapema kwamba refa kapangwa huwa ni wachezaji, mchezaji anapewa kadi ya kuonewa huwa inamkata kabisa stimu ya kucheza, Filimbi kupulizwa wakati wa move ya kushambulia hii nayo huwatoa mchezoni wachezaji
3. penati za kuforce na offside za kinyonyaji

Nashauri TFF mechi zote za Derby ziamuliwe na marefarii kutoka inje ya nchi!
Naomba kuwasilisha
Mkajifunze kozi za uamuzi ili mje kuchezesha kwa haki. Kulalamika tu pasipo kuchukua hatua sahihi ni umbumbumbu +
 
Shida ni unaangalia mpira ili Yanga ifungwe........au unaangali mpira ili simba afungwe....hapo utalalamika kila siku kma una mimba changa.......rekebisheni timu zenu hutalalamikia mtu sawa we kolo
Ukiandika jf hakikisha umemeza zile dawa ulizopatiwa Milembe!
 
Siyo kwa ubaya, wala si kwamba hawajui kazi ya urefarii!

Lakini ukweli ni kwamba maamuzi yao yamekuwa yakigumbikwa na makandokando mengi kwenye mechi zinazovuta masikio ya wapenzi wrngi!

Ukiona marefarii wafuatao wamepangwa kuamua mechi kubwa nakushauri zima TV ukalale!

1. Jonesia Rukya
Huyu mama ni bonge la refa lakini siku za hivi karibuni tayali kashaingia kwenye mfumo! Hutumika sana kuamua mechi kubwa za maelekezo.


2. Ahmed alajiga

Huyu mnyaturu ni refa mzuri lakini mfumo unamtumia sana kuamua mechi
3. Kayoko!
Huyu naye kashaingia kwenye mkeka hatakiwi kuamua mechi kubwa!

Mbinu wanazozitumia kuharibu mchezo
1. Kuwapa Yellow card mapema key player wa timu inayotakiwa kufungwa
2. Kuwa frastulate wachezaji pasiposababu ya msingi!
(Yaani katika watu ambao huwa wanagundua mapema kwamba refa kapangwa huwa ni wachezaji, mchezaji anapewa kadi ya kuonewa huwa inamkata kabisa stimu ya kucheza, Filimbi kupulizwa wakati wa move ya kushambulia hii nayo huwatoa mchezoni wachezaji
3. penati za kuforce na offside za kinyonyaji

Nashauri TFF mechi zote za Derby ziamuliwe na marefarii kutoka inje ya nchi!
Naomba kuwasilisha
Ahmed Arajiga sio mu Iraqwi kweli?
 
Siyo kwa ubaya, wala si kwamba hawajui kazi ya urefarii!

Lakini ukweli ni kwamba maamuzi yao yamekuwa yakigumbikwa na makandokando mengi kwenye mechi zinazovuta masikio ya wapenzi wrngi!

Ukiona marefarii wafuatao wamepangwa kuamua mechi kubwa nakushauri zima TV ukalale!

1. Jonesia Rukya
Huyu mama ni bonge la refa lakini siku za hivi karibuni tayali kashaingia kwenye mfumo! Hutumika sana kuamua mechi kubwa za maelekezo.


2. Ahmed alajiga

Huyu mnyaturu ni refa mzuri lakini mfumo unamtumia sana kuamua mechi
3. Kayoko!
Huyu naye kashaingia kwenye mkeka hatakiwi kuamua mechi kubwa!

Mbinu wanazozitumia kuharibu mchezo
1. Kuwapa Yellow card mapema key player wa timu inayotakiwa kufungwa
2. Kuwa frastulate wachezaji pasiposababu ya msingi!
(Yaani katika watu ambao huwa wanagundua mapema kwamba refa kapangwa huwa ni wachezaji, mchezaji anapewa kadi ya kuonewa huwa inamkata kabisa stimu ya kucheza, Filimbi kupulizwa wakati wa move ya kushambulia hii nayo huwatoa mchezoni wachezaji
3. penati za kuforce na offside za kinyonyaji

Nashauri TFF mechi zote za Derby ziamuliwe na marefarii kutoka inje ya nchi!
Naomba kuwasilisha
KAYOKO anastahili kupigwa chuma.
 
Back
Top Bottom