Simba mnayo safari ndefu ya kuijenga timu yenu, zile 5 za Yanga zinaweza kuja kujirudia msipofanyia kazi mapungufu yenu!

Majok majok

JF-Expert Member
Aug 3, 2023
609
1,563
Nimeifatilia Simba kwenye mechi zote za mapinduzi cup na nimeona bado wanayo matatizo makubwa sana ya kiufundi, nilitegemea mabadiliko baada ya benchikha kuichukua timu lakini silioni ilo kwa sasa!

Simba bado Wana shida ya kucheza mpira wa taratibu na kujenga mashambulizi kwa mwendo wa konokono jambo ambalo ukicheza na timu yenye kocha mjanja na wachezaji wenye fitness ya juu auwezi kutoboa!

Kocha wa singida alilijua ilo baada ya kuwasoma vizuri namna wanavyocheza ndio maana wamepata tabu kubwa sana kiuchezaji kabla ya refa kufanya yake na kagere kutoa mkono wa shukrani kwa waajiri wake wa zamani!

Singida Kama wangeongeza umakini kidogo tu na daraja la ubora kidogo walikuwa wanaumaliza mchezo ndani ya dk 45 za kwanza!

Nafikiri kukosa Kasi kwa wachezaji wa Simba sio mfumo wa benchikha isipokuwa ni aina ya wachezaji alionao ndio tatizo, anaweza kuwa Anataka mpira wa nguvu na Kasi Kama mataifa ya uarabuni yanavyocheza lakini anashindwa kufanikiwa kutokana na umri wa wachezaji alionao na fitness yao pia! Unapojenga mashambulizi yako taratibu unakuwa unampa faida mpinzani wako faida ya kuziba mashimo kwa haraka na kukuzia kirahisi sana kumfikia kwenye lango lake!

Nampongeza kocha wa singida alifanya home work yake vizuri kuisoma Simba na alifanikiwa pakubwa but umakini wa wachezaji wake na maamuzi ya refarii ndiyo yaliyomgharimu!

Kumbuka Simba kacheza michezo hii ya mapinduzi akiwa na kikosi chake chote Cha kwanza ivyo kinachoonekana uwanjani ndicho icho icho walichonacho kimbinu na kiufundi akuna Cha ziada! Benchikha anatakiwa afanye mabadiliko makubwa sana ya usajili kuondoa wachezaji mizigo na mafadher kwenye timu na kuleta wachezaji wenye Kasi na energy watakaoendana na mbinu zake vinginevyo kwa timu hii aliyonayo itamuharibia cv yake kabisa!

Aya tuliyasema kipindi kile kabla Simba aijakutana na yanga lakini tulibezwa matokeo yake mnara wa 5G ukasimama, Sasa tunawaambieni Tena rekebisheni timu yenu bado Iko unga aina ya mpira inaocheza na timu inazokutana nazo ni majanga yatakuja kuwapalia mbele ya safari alafu lawama aanze kutupiwa Tena mangungu na try again!

Unapokutana na timu inayokushambulia kwa Kasi muda wote na yenye fitness ya kutosha awawezi kukupa nafasi ya kumiliki mpira ata siku moja na lazima uchezee kichapo tu akuna namna na ndio ugonjwa sugu wa Simba hii!

MAPOVU NI RUKSA LAKINI UWEZI KWENDA PEPONI BILA KUFA KWANZA NA BILA KUIREKEBISHA TIMU YENU KUNA AIBU NYINGINE INANUKIA MBELE YA SAFARI!
 
Ni ukweli kabisa! Simba ina cheza mpira wa taratibu mno aina wachezaji wanyumbulifu! Saidoo anapoozesha mpira sana, Uyo Onana yeye akipata mpira atataka kufanya show game mwisho anapoteza mpira na badala ya kuutafuta anaanza kukimbia kifather!!
Simba bado safari ni ndefu tukicheza na timu yenye kasi tunaweza kupata aibu nyingine!
 
Shida Simba haina wachezaji wanaojituma. Ukiangalia squad ya Singida United utagundua Singida Wana squad nzuri kuliko Simba.
 
Shida Simba haina wachezaji wanaojituma. Ukiangalia squad ya Singida United utagundua Singida Wana squad nzuri kuliko Simba.
waambie Sindida kwamba mpira huwa ni dk 90 na si 89.9 - Kosa lao ni kupaki kontainer mwanzo mwisho. Simba walifanikiwa dakika 20 za mwisho kuwatoa mchezoni, jamaa wakaishia kujiangusha na kubutua mpira ili dakika ziende. Kocha akawakomesha kuzifidia hata zile za majeruhi dadeq.
 
Benchikha anatakiwa afanye mabadiliko makubwa sana ya usajili kuondoa wachezaji mizigo na mafadher kwenye timu na kuleta wachezaji wenye Kasi na energy watakaoendana na mbinu zake vinginevyo kwa timu hii aliyonayo itamuharibia cv yake kabisa!

Tunashukuru kwa ushauri, ila hatutaufanyia kazi. Kila mtu akaishauri timu yake 🤣🤣🤣
 
Anajua kuishauri Simba anaacha kuishauri utopolo wenzake waliotolewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hao utopolo utawashauri Nini na wamekamilika Kila idara? Nafasi ya ushambuliaji waliyokuwa na shida nayo washaifanyia kazi na soon watalitangaza jembe lao, wewe usijilinganishe na yanga kwa sasa ndo maana kikosi chako Cha kwanza ni sawa na kikosi Cha pili Cha yanga kilichokuwa Zanzibar!
 
Mpira unahezwa uwanjani siku ya mechi

Simba hii hii iliifunga Wydad 2-0 bila chenga mkafyata - timu inayokushambulia kwa kasi muda wote na yenye fitness ya kutosha

Uto hii hii mnayoiona iko vizuri iliifungwa kikamilifu na timu ndogo ya CR Belouizdad 3-0.
 
waambie Sindida kwamba mpira huwa ni dk 90 na si 89.9 - Kosa lao ni kupaki kontainer mwanzo mwisho. Simba walifanikiwa dakika 20 za mwisho kuwatoa mchezoni, jamaa wakaishia kujiangusha na kubutua mpira ili dakika ziende. Kocha akawakomesha kuzifidia hata zile za majeruhi dadeq.
Waambie kaka. Simba ndio timu yenye inayocheza kwa viwango na Kasi. Kwa Simba hii hata mamelodi hafui dafu. Dadadeq.
 
MAPOVU NI RUKSA LAKINI UWEZI KWENDA PEPONI BILA KUFA KWANZA NA BILA KUIREKEBISHA TIMU YENU KUNA AIBU NYINGINE INANUKIA MBELE YA SAFARI!
Umeandika Kama mama aliyejifungua mtoto kwa uchungu mwingi ila mtoto kafariki.

Tulia tu hadi akili ikurudie upya maana umeshavurugwa baada ya kukosa mwana na maji ya moto 😁
 
Nimeifatilia Simba kwenye mechi zote za mapinduzi cup na nimeona bado wanayo matatizo makubwa sana ya kiufundi, nilitegemea mabadiliko baada ya benchikha kuichukua timu lakini silioni ilo kwa sasa!

Simba bado Wana shida ya kucheza mpira wa taratibu na kujenga mashambulizi kwa mwendo wa konokono jambo ambalo ukicheza na timu yenye kocha mjanja na wachezaji wenye fitness ya juu auwezi kutoboa!

Kocha wa singida alilijua ilo baada ya kuwasoma vizuri namna wanavyocheza ndio maana wamepata tabu kubwa sana kiuchezaji kabla ya refa kufanya yake na kagere kutoa mkono wa shukrani kwa waajiri wake wa zamani!

Singida Kama wangeongeza umakini kidogo tu na daraja la ubora kidogo walikuwa wanaumaliza mchezo ndani ya dk 45 za kwanza!

Nafikiri kukosa Kasi kwa wachezaji wa Simba sio mfumo wa benchikha isipokuwa ni aina ya wachezaji alionao ndio tatizo, anaweza kuwa Anataka mpira wa nguvu na Kasi Kama mataifa ya uarabuni yanavyocheza lakini anashindwa kufanikiwa kutokana na umri wa wachezaji alionao na fitness yao pia! Unapojenga mashambulizi yako taratibu unakuwa unampa faida mpinzani wako faida ya kuziba mashimo kwa haraka na kukuzia kirahisi sana kumfikia kwenye lango lake!

Nampongeza kocha wa singida alifanya home work yake vizuri kuisoma Simba na alifanikiwa pakubwa but umakini wa wachezaji wake na maamuzi ya refarii ndiyo yaliyomgharimu!

Kumbuka Simba kacheza michezo hii ya mapinduzi akiwa na kikosi chake chote Cha kwanza ivyo kinachoonekana uwanjani ndicho icho icho walichonacho kimbinu na kiufundi akuna Cha ziada! Benchikha anatakiwa afanye mabadiliko makubwa sana ya usajili kuondoa wachezaji mizigo na mafadher kwenye timu na kuleta wachezaji wenye Kasi na energy watakaoendana na mbinu zake vinginevyo kwa timu hii aliyonayo itamuharibia cv yake kabisa!

Aya tuliyasema kipindi kile kabla Simba aijakutana na yanga lakini tulibezwa matokeo yake mnara wa 5G ukasimama, Sasa tunawaambieni Tena rekebisheni timu yenu bado Iko unga aina ya mpira inaocheza na timu inazokutana nazo ni majanga yatakuja kuwapalia mbele ya safari alafu lawama aanze kutupiwa Tena mangungu na try again!

Unapokutana na timu inayokushambulia kwa Kasi muda wote na yenye fitness ya kutosha awawezi kukupa nafasi ya kumiliki mpira ata siku moja na lazima uchezee kichapo tu akuna namna na ndio ugonjwa sugu wa Simba hii!

MAPOVU NI RUKSA LAKINI UWEZI KWENDA PEPONI BILA KUFA KWANZA NA BILA KUIREKEBISHA TIMU YENU KUNA AIBU NYINGINE INANUKIA MBELE YA SAFARI!
Ila wachambuzi maandazi mna kazi! Yaani timu iliyotolewa robo fainali tena kwa goli tatu kwa Moja ni nzuri kuliko timu iliyoingia kucheza fainali?
 
Nimeifatilia Simba kwenye mechi zote za mapinduzi cup na nimeona bado wanayo matatizo makubwa sana ya kiufundi, nilitegemea mabadiliko baada ya benchikha kuichukua timu lakini silioni ilo kwa sasa!

Simba bado Wana shida ya kucheza mpira wa taratibu na kujenga mashambulizi kwa mwendo wa konokono jambo ambalo ukicheza na timu yenye kocha mjanja na wachezaji wenye fitness ya juu auwezi kutoboa!

Kocha wa singida alilijua ilo baada ya kuwasoma vizuri namna wanavyocheza ndio maana wamepata tabu kubwa sana kiuchezaji kabla ya refa kufanya yake na kagere kutoa mkono wa shukrani kwa waajiri wake wa zamani!

Singida Kama wangeongeza umakini kidogo tu na daraja la ubora kidogo walikuwa wanaumaliza mchezo ndani ya dk 45 za kwanza!

Nafikiri kukosa Kasi kwa wachezaji wa Simba sio mfumo wa benchikha isipokuwa ni aina ya wachezaji alionao ndio tatizo, anaweza kuwa Anataka mpira wa nguvu na Kasi Kama mataifa ya uarabuni yanavyocheza lakini anashindwa kufanikiwa kutokana na umri wa wachezaji alionao na fitness yao pia! Unapojenga mashambulizi yako taratibu unakuwa unampa faida mpinzani wako faida ya kuziba mashimo kwa haraka na kukuzia kirahisi sana kumfikia kwenye lango lake!

Nampongeza kocha wa singida alifanya home work yake vizuri kuisoma Simba na alifanikiwa pakubwa but umakini wa wachezaji wake na maamuzi ya refarii ndiyo yaliyomgharimu!

Kumbuka Simba kacheza michezo hii ya mapinduzi akiwa na kikosi chake chote Cha kwanza ivyo kinachoonekana uwanjani ndicho icho icho walichonacho kimbinu na kiufundi akuna Cha ziada! Benchikha anatakiwa afanye mabadiliko makubwa sana ya usajili kuondoa wachezaji mizigo na mafadher kwenye timu na kuleta wachezaji wenye Kasi na energy watakaoendana na mbinu zake vinginevyo kwa timu hii aliyonayo itamuharibia cv yake kabisa!

Aya tuliyasema kipindi kile kabla Simba aijakutana na yanga lakini tulibezwa matokeo yake mnara wa 5G ukasimama, Sasa tunawaambieni Tena rekebisheni timu yenu bado Iko unga aina ya mpira inaocheza na timu inazokutana nazo ni majanga yatakuja kuwapalia mbele ya safari alafu lawama aanze kutupiwa Tena mangungu na try again!

Unapokutana na timu inayokushambulia kwa Kasi muda wote na yenye fitness ya kutosha awawezi kukupa nafasi ya kumiliki mpira ata siku moja na lazima uchezee kichapo tu akuna namna na ndio ugonjwa sugu wa Simba hii!

MAPOVU NI RUKSA LAKINI UWEZI KWENDA PEPONI BILA KUFA KWANZA NA BILA KUIREKEBISHA TIMU YENU KUNA AIBU NYINGINE INANUKIA MBELE YA SAFARI!
Unabwabwaja ukiwa umevaa msuli au umechomekea huku unakunywa supu ya kibudu hapo jangwa-kidimbwini
 
Kuna mchezaji alisifika Kwenye “mitandao ya bongo “ kwa kumkaba Cristiano Ronaldo , Jana alicheza ?
 
Ila wachambuzi maandazi mna kazi! Yaani timu iliyotolewa robo fainali tena kwa goli tatu kwa Moja ni nzuri kuliko timu iliyoingia kucheza fainali?
Timu ya aina Gani iliyoingia robo fainali ikatolewa na wewe ulikuwa na timu ya aina Gani? Umeingia na full mkoko wenzako wameingia na U20 pamoja na watokea benchi unafananaje ubora na watokea benchi? Maana ulitakiwa uonyeshe ubora na utofauti wako na awa wengine uwanjani!
 
Ila wachambuzi maandazi mna kazi! Yaani timu iliyotolewa robo fainali tena kwa goli tatu kwa Moja ni nzuri kuliko timu iliyoingia kucheza fainali?
Timu ya aina Gani iliyoingia robo fainali ikatolewa na wewe ulikuwa na timu ya aina Gani? Umeingia na full mkoko wenzako wameingia na U20 pamoja na watokea benchi unafananaje ubora na watokea benchi? Maana ulitakiwa uonyeshe ubora na utofauti wako na awa wengine uwanjani
Mpira unahezwa uwanjani siku ya mechi

Simba hii hii iliifunga Wydad 2-0 bila chenga mkafyata - timu inayokushambulia kwa kasi muda wote na yenye fitness ya kutosha

Uto hii hii mnayoiona iko vizuri iliifungwa kikamilifu na timu ndogo ya CR Belouizdad 3-0.
Timu ndogo kwa akili zako za kimangungu!
 
Back
Top Bottom