Je, mechi ya Simba na Yanga imeanza "kuchezwa"? Je hii picha inasema mbinu za nje ya uwanja zimeanza kutumika?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,129
7,898
Wajuvi wa siasa na harakati za nje ya uwanja inapokuja mechi ya Simba na Yanga embu tuelimishane.

Wote tunakumbuka Clautus Chama alipotolewa katika mechi na Mbeya City alikwenda moja kwa moja vyumbani na baadae kurudi. Hii ikazua gumzo kubwa.

Siku kadhaa baadae mchezaji wa Yanga anayevaa jezi inayofanana na ya Chama, Farid Musa naye baada ya kutolewa katika mechi dhidi ya Ruvu Shooting naye alikwenda moja kwa moja vyumbani kabla ya baadae kurudi.

20230125_124240.jpg


Kuna mdau mmoja nilisoma comment yake sehemu moja jana akasema "mchezo wa derby wa mwezi wa 4 umeshaanza kuchezwa". Ni kauli inayofikirisha sana. Tukumbuke kwenye game iliyopita ya Simba na Yanga, Chama na Aziz Ki walitegeana kuingia uwanjani na walikataa kupeana mikono, hali iliyopelekea timu zote mbili kutozwa fine na wachezaji hao kufungiwa mechi kadhaa.

Tueleweshane haya mambo yanafanyikaje. Tuelewashane pia, Yanga wanapokuwa wanakataa kutumia milango rasmi ya kuingilia uwanjani wanaepuka nini ambacho hakiwadhuru Simba. Hii technology inafanyaje kazi?
 
Wajuvi wa siasa na harakati za nje ya uwanja inapokuja mechi ya Simba na Yanga embu tuelimishane.

Wote tunakumbuka Clautus Chama alipotolewa katika mechi na Mbeya City alikwenda moja kwa moja vyumbani na baadae kurudi. Hii ikazua gumzo kubwa.

Siku kadhaa baadae mchezaji wa Yanga anayevaa jezi inayofanana na ya Chama, Farid Musa naye baada ya kutolewa katika mechi dhidi ya Ruvu Shooting naye alikwenda moja kwa moja vyumbani kabla ya baadae kurudi.

View attachment 2495076

Kuna mdau mmoja nilisoma comment yake sehemu moja jana akasema "mchezo wa derby wa mwezi wa 4 umeshaanza kuchezwa". Ni kauli inayofikirisha sana. Tukumbuke kwenye game iliyopita ya Simba na Yanga, Chama na Aziz Ki walitegeana kuingia uwanjani na walikataa kupeana mikono, hali iliyopelekea timu zote mbili kutozwa fine na wachezaji hao kufungiwa mechi kadhaa.

Tueleweshane haya mambo yanafanyikaje. Tuelewashane pia, Yanga wanapokuwa wanakataa kutumia milango rasmi ya kuingilia uwanjani wanaepuka nini ambacho hakiwadhuru Simba. Hii technology inafanyaje kazi?
Sema uto niwazee wa kuiga huenda waliinga hivo ili iwe big story
 
Sisi makolo tunasema zimamoto wajipange siku hiyo

Nilisahau kingine. Kabla ya goli la Yanga dhidi ya Ihefu, mchezaji wa Yanga alikwenda golini kwa Ihefu kuvuta nyavu golini na hapo hapo goli la Yanga la utatanishi likapatikana.

Tuache masihara, bado nataka kujua hii technology inafanyaje kazi. Embu tufundishane kidogo tuweke ushabiki wa Simba na Yanga pembeni.

Screen Shot 2023-01-17 at 6.28.55 PM.png
 
Nilisahau kingine. Kabla ya goli la Yanga dhidi ya Ihefu, mchezaji wa Yanga alikwenda golini kwa Ihefu kuvuta nyavu golini na hapo hapo goli la Yanga la utatanishi likapatikana.

Tuache masihara, bado nataka kujua hii technology inafanyaje kazi. Embu tufundishane kidogo tuweke ushabiki wa Simba na Yanga pembeni.

View attachment 2495535
Ongeza na hii hapa pia maana hili goli la Yanga ni utata mtupu
 

Attachments

  • 11.jpeg
    11.jpeg
    68.7 KB · Views: 9
Ongeza na hii hapa pia maana hili goli la Yanga ni utata mtupu
Nimeliongeza na hilo. Bado nasisitiza nia yangu ni kutaka kujifunza hii technology kwenye mpira inafanyaje kazi siyo kuleta Usimba na Uyanga. Tuishi humo.
 
Simba mara ya mwisho ilishinda Kigoma baada ya mukoko kutolewa baada ya kucheza rafu Kwa hasira za kutopewa faulo baada ya kuumizwa na Boko.
Simba hata waroge vipi hawatoboi! Simba hawana timu ya kuishinda Yanga.
Hayo mambo ya nje ya uwanja ni usanii tu wa kunogesha derby.
Hiyo derby ndio mechi yetu Utopolo kutangaza ubingwa. Muda utaongea!
 
Daaah…!!!! Kweli maendeleo kupatikana kwetu TUTASUBIRI SANA….!!! Mambo yako YOTE unayosema YANAFIKIRISHA, ni mambo ya KAWAIDA SANA na yala hayana kitu chochote cha kufikirisha…!!!

Acha kuwa na fikra NYEPESI SANA za uchawi ndugu yng. Sijaona jambo la ajabu HATA MOJA. Kuingia vyumbani ni kawaida, kuvuta nyavu za goli hata marefa wanazivuta. Tatizo liko wapi??
 
Daaah…!!!! Kweli maendeleo kupatikana kwetu TUTASUBIRI SANA….!!! Mambo yako YOTE unayosema YANAFIKIRISHA, ni mambo ya KAWAIDA SANA na yala hayana kitu chochote cha kufikirisha…!!!

Acha kuwa na fikra NYEPESI SANA za uchawi ndugu yng. Sijaona jambo la ajabu HATA MOJA. Kuingia vyumbani ni kawaida, kuvuta nyavu za goli hata marefa wanazivuta. Tatizo liko wapi??
Kama haya mambo ni ya kawaida mbona hatuyaoni huko mbele? Umeona wapi kwingine timu inaruka ukuta kuingia uwanjani? Wapi kwingine umeona wachezaji wanategeana kuingia uwanjani? Nikiorodhesha hapa hatutamaliza.

Nia ya uzi huu siyo kuleta mijadala ya Usimba na Uyanga, au kusema nayaamini au siyaamini haya mambo. Niseme hili mara ngapi? Au mnataka niipeleke hii mada jukwaa la elimu?
 
Back
Top Bottom