Hatutaki dini ndani ya serikali

ONJO

JF-Expert Member
Jun 1, 2022
215
261
Wanaharakati vita yetu si ya damu na nyama,bali ni ya kutumia maarifa na ufahamu.

Dua yangu
''Ee ulimwengu nifundishe niwe na maarifa,niendeleze akili yangu ili nipate hekima.''

Tanganyika ilipopata uhuru,viongozi wa kiislamu walikusanyika kwa nyerere kuona nafasi yao ndani ya serikali ni ipi!.Wakristo nao hasa Romani katoliki walimwendea nyerere kuona nafasi yao ndani ya serikali ni ipi!.Kwa wakati huo waislamu waliku wengi kuliko wakristo.

Rafiki zangu majibu ya nyerere yalikuwa hivi ''serikali yetu haina dini'' akitetea kiti chake bila kufahamu akauonyesha udini hadharani kwa kuapisha viongozi,kwa kumia misahafu.Zaidi kila mwanafunzi mtanzania akawa anaulizwa dini yake.Ikiwa ni mwislamu au ikiwa ni mkristo wanajaza kwenye taarifa zake.Mambo hayo yapo mpaka chuoni.Ukiingia kwenye halmashauri zao,katika idara ya utumishi na utawala.Maafisa utumishi wana mfumo unaoitwa TANGE(TAARIFA ZOTE ZA KILA MFANYAKAZI).Ndani ya taarifa hizo utajua kila dini ya mfanyakazi,mishahara yake na kadhalika.

Mambo yakiniendea vyema siku zijazo nitawapa source of information.

Alipowajibu hivyo kukatokea na mkanganyiko.Waislamu wakidai tumemsaidia kupata uhuru leo hii anatujibu hivi!Uadui ukaanza ikiwemo nyerere na bibi titi mohamed.

Wakati huo nyerere alishangaa kuona kila msafara wa mufiti mkuu unazungukwa na watu wengi kama mchanga wa bahari kuliko hata misafara yake.Alichokifanya akaanza kamata kamata ya viongozi maarufu na wenye ushawishi wa kiislamu,na kuwatupa gerezani.Waislamu wakaanza kuogopa na kuishiwa nguvu,pamoja na kasi ya ukuaji wake akafifia.Huku dola ya kikristo ikizidi kupanua mbawa zake kwenye sekta nyeti za serikali.Mfano askali mmoja kipindi cha nyerere alipata kusema ''mimi sijawahi kupanda cheo kwa sababu mimi ni mwislamu hadi nastaafu''.UDINI NI MBAYA SANA.

SERIKALI YETU IMEJENGWA KWA MISINGI YA ROMANI KATOLIKI.NI USHETANI.

Serikali yetu ilivyo ni matokeo ya dini ya Romani katoliki.
Ndani ya dini yao wana ''KATEKISIMU''
ambayo kila muumini hufaata mafundisho hayo ili kupata sakramenti ya ubatizo,komunio,kipaimara na kadhalika.

Mafundisho yake yanasema hivi ''kuna aina mbili za dhambi (dhambi kubwa na dhambi ndogo).Serikali yetu na yenyewe ikasema ''kuna kosa kubwa na kuna kosa dogo''.Hivyo kila mtu atahukumiwa kulingana na kosa alofanya kama ni kubwa (kunyongwa/adhabu ya maisha)kosa dogo mfano kubaka miaka 30.Waislamu nao wakaupokea mfumo huu kama ulivyo bila kufikiri.TUMEJIZIKA WENYEWE.

Wakatoliki hawafati mafundisho ya yesu kristo kwani alisema ''aliyesamehewa pa kubwa hupenda sana na aliyesamehewa kidogo hupenda kidogo''.Ila wao wakakiuka msingi huo badala yake wakaishauri serikali iweke adhabu kulingana na kosa.Kwa maneno ya yesu mwenyewe naelewa kuwa KOSA NI KOSA LIWE KUBWA LIWE DOGO.

Tena yesu akaendelea kusema ''ndugu yako akikosa msamehe saba mara sabini.Wakatoliki wakashindwa kumwelewa yesu ''wakaishauri serikali kuwe na msamaha wa raisi lakini wa mashariti''yaani raisi anamsamehe mtu aliyehukumiwa kunyongwa kwa kuibadilisha hukumu kwamba apewe adhabu ya maisha na watu wanashangilia ooyooo,nani katuroga?

Kwa misingi ya yesu nigependa kuishauri serikali kama ifaatavyo.

1.Kosa ni kosa liwe dogo liwe kubwa ni kosa.Inafaa adhabu itolewe moja tu kwa wakosaji.Najua ndani ya serikali yetu kila kiongozi huja kwa sarakasi yake hivyo naishauri serikali adhabu ya kosa lolote isizidi mwaka mmoja tukijali utu na thamani ya watu wetu.Adhabu ya kifungo cha maisha na kifungo viondolewe TUNAJIMALIZA WENYEWE NA KUDHALILISHA TAIFA LETU.Maana turning point ya mtu ipo wakati wowote kuliko kuteketeza maisha yote ya mtu kufanya kazi za kitumwa serikalini.
2.Serikali yetu isiamini kwamba kwa kutoa adhabu kali inaimarisha nidhamu na usalama wa raia hapana bali inatengeneza taifa lenye uoga usio na maana.Hakuna ambaye hajawahi kutenda kosa naomba serikali iwe na mtazamo wa kibinadamu.
3.Msamaha wa raisi ujikite katika kuweka huru wafungwa wote kama itashindwa kutekeleza adhabu ya aina moja kwa wafungwa wote,maana kwa mafundisho ya yesu kusamehe hakuna mwisho kwa kila mtu bila upendeleo.
4.Wanasheria mnaokaa viti vya mbele mjitathimi na mfikiri kama binadamu.Wala hatutishwi na phd zenu na uzoefu wenu wa sheria.Tunataka haki itendeke kwa kila mtanzania mshaurini raisi na kiti chake kitaimarika.
5.Anzeni kujenga tanzania isiyo na dini.Mpaka sasa watu wanajua waislamu bwana wakishika madaraka ni wastaarabu,tena utasikia wakristo bwana yakiongoza ni madikiteta.Hiyo hatutaki kusikia tena.

Last,if not you leaders to change this,truly am telling you the truths;that the sun,the moon and the truths are always there.Everything will pass the right one is coming.


Na ONJO mpenzi wenu.
 
Una matatizo na Waafrika wewe. Una matatizo na Nyerere. Huu ni uzi wa pili na Script hiyo hiyo.
Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako sisi tunataka usasa wala sipingani na nyerere nachofanya ni kumrekebisha tu palipo na adhaifu ili tuweke msingi imara ndani ya serikali yetu.
 
I do not believe in AI.
Unafundwa kubeza, hilo silikubali.Wakurekebishe uje na tija kwa Mwafrika na Sio ujumbe kutoka EXETER hall..
 
Una maana gani kuandika ""kwa misingi ya Yesu?""...

Halafu uache upumbavu naona mmeanza tena vinyuzi vyenu uchwara...
 
I do not believe in AI.
Unafundwa kubeza, hilo silikubali.Wakurekebishe uje na tija kwa Mwafrika na Sio ujumbe kutoka EXETER hall..
People with little knowledge like you.Hawezi ukanielewa my friend think again.Its better you sleep na sio kuchallage bila hoja.Your wrong
 
Hamna Vita unayopigania zaidi ya Tumbo lako na Familia yako it about fucking mind Watz ni wapumbavu

Dini zime play part kubwa Katika kushape maadili ya jamii kuliko Taasisi za serikali .
 
Hamna Vita unayopigania zaidi ya Tumbo lako na Familia yako it about fucking mind Watz ni wapumbavu

Dini zime play part kubwa Katika kushape maadili ya jamii kuliko Taasisi za serikali .
Kweli yangu sio yako,na kweli yako si yangu.
 
Wanaharakati vita yetu si ya damu na nyama,bali ni ya kutumia maarifa na ufahamu.

Dua yangu
''Ee ulimwengu nifundishe niwe na maarifa,niendeleze akili yangu ili nipate hekima.''

Tanganyika ilipopata uhuru,viongozi wa kiislamu walikusanyika kwa nyerere kuona nafasi yao ndani ya serikali ni ipi!.Wakristo nao hasa Romani katoliki walimwendea nyerere kuona nafasi yao ndani ya serikali ni ipi!.Kwa wakati huo waislamu waliku wengi kuliko wakristo.

Rafiki zangu majibu ya nyerere yalikuwa hivi ''serikali yetu haina dini'' akitetea kiti chake bila kufahamu akauonyesha udini hadharani kwa kuapisha viongozi,kwa kumia misahafu.Zaidi kila mwanafunzi mtanzania akawa anaulizwa dini yake.Ikiwa ni mwislamu au ikiwa ni mkristo wanajaza kwenye taarifa zake.Mambo hayo yapo mpaka chuoni.Ukiingia kwenye halmashauri zao,katika idara ya utumishi na utawala.Maafisa utumishi wana mfumo unaoitwa TANGE(TAARIFA ZOTE ZA KILA MFANYAKAZI).Ndani ya taarifa hizo utajua kila dini ya mfanyakazi,mishahara yake na kadhalika.

Mambo yakiniendea vyema siku zijazo nitawapa source of information.

Alipowajibu hivyo kukatokea na mkanganyiko.Waislamu wakidai tumemsaidia kupata uhuru leo hii anatujibu hivi!Uadui ukaanza ikiwemo nyerere na bibi titi mohamed.

Wakati huo nyerere alishangaa kuona kila msafara wa mufiti mkuu unazungukwa na watu wengi kama mchanga wa bahari kuliko hata misafara yake.Alichokifanya akaanza kamata kamata ya viongozi maarufu na wenye ushawishi wa kiislamu,na kuwatupa gerezani.Waislamu wakaanza kuogopa na kuishiwa nguvu,pamoja na kasi ya ukuaji wake akafifia.Huku dola ya kikristo ikizidi kupanua mbawa zake kwenye sekta nyeti za serikali.Mfano askali mmoja kipindi cha nyerere alipata kusema ''mimi sijawahi kupanda cheo kwa sababu mimi ni mwislamu hadi nastaafu''.UDINI NI MBAYA SANA.

SERIKALI YETU IMEJENGWA KWA MISINGI YA ROMANI KATOLIKI.NI USHETANI.

Serikali yetu ilivyo ni matokeo ya dini ya Romani katoliki.
Ndani ya dini yao wana ''KATEKISIMU''
ambayo kila muumini hufaata mafundisho hayo ili kupata sakramenti ya ubatizo,komunio,kipaimara na kadhalika.

Mafundisho yake yanasema hivi ''kuna aina mbili za dhambi (dhambi kubwa na dhambi ndogo).Serikali yetu na yenyewe ikasema ''kuna kosa kubwa na kuna kosa dogo''.Hivyo kila mtu atahukumiwa kulingana na kosa alofanya kama ni kubwa (kunyongwa/adhabu ya maisha)kosa dogo mfano kubaka miaka 30.Waislamu nao wakaupokea mfumo huu kama ulivyo bila kufikiri.TUMEJIZIKA WENYEWE.

Wakatoliki hawafati mafundisho ya yesu kristo kwani alisema ''aliyesamehewa pa kubwa hupenda sana na aliyesamehewa kidogo hupenda kidogo''.Ila wao wakakiuka msingi huo badala yake wakaishauri serikali iweke adhabu kulingana na kosa.Kwa maneno ya yesu mwenyewe naelewa kuwa KOSA NI KOSA LIWE KUBWA LIWE DOGO.

Tena yesu akaendelea kusema ''ndugu yako akikosa msamehe saba mara sabini.Wakatoliki wakashindwa kumwelewa yesu ''wakaishauri serikali kuwe na msamaha wa raisi lakini wa mashariti''yaani raisi anamsamehe mtu aliyehukumiwa kunyongwa kwa kuibadilisha hukumu kwamba apewe adhabu ya maisha na watu wanashangilia ooyooo,nani katuroga?

Kwa misingi ya yesu nigependa kuishauri serikali kama ifaatavyo.

1.Kosa ni kosa liwe dogo liwe kubwa ni kosa.Inafaa adhabu itolewe moja tu kwa wakosaji.Najua ndani ya serikali yetu kila kiongozi huja kwa sarakasi yake hivyo naishauri serikali adhabu ya kosa lolote isizidi mwaka mmoja tukijali utu na thamani ya watu wetu.Adhabu ya kifungo cha maisha na kifungo viondolewe TUNAJIMALIZA WENYEWE NA KUDHALILISHA TAIFA LETU.Maana turning point ya mtu ipo wakati wowote kuliko kuteketeza maisha yote ya mtu kufanya kazi za kitumwa serikalini.
2.Serikali yetu isiamini kwamba kwa kutoa adhabu kali inaimarisha nidhamu na usalama wa raia hapana bali inatengeneza taifa lenye uoga usio na maana.Hakuna ambaye hajawahi kutenda kosa naomba serikali iwe na mtazamo wa kibinadamu.
3.Msamaha wa raisi ujikite katika kuweka huru wafungwa wote kama itashindwa kutekeleza adhabu ya aina moja kwa wafungwa wote,maana kwa mafundisho ya yesu kusamehe hakuna mwisho kwa kila mtu bila upendeleo.
4.Wanasheria mnaokaa viti vya mbele mjitathimi na mfikiri kama binadamu.Wala hatutishwi na phd zenu na uzoefu wenu wa sheria.Tunataka haki itendeke kwa kila mtanzania mshaurini raisi na kiti chake kitaimarika.
5.Anzeni kujenga tanzania isiyo na dini.Mpaka sasa watu wanajua waislamu bwana wakishika madaraka ni wastaarabu,tena utasikia wakristo bwana yakiongoza ni madikiteta.Hiyo hatutaki kusikia tena.

Last,if not you leaders to change this,truly am telling you the truths;that the sun,the moon and the truths are always there.Everything will pass the right one is coming.


Na ONJO mpenzi wenu.
Hata huyo mfalme wenu alietawazwa, kapata baraka za wakatoliki kwanza
 
Nyerere, with all his many problems, was the best thing for secularism this country ever had.

This is how I rank Tanzanian presidents in terms of secularism.

1. Nyerere.
2. Mkapa.
3. Kikwete.
4. Mwinyi.
5. Magufuli.

The jury is still out on Samia. But she will probably rank higher than Magufuli, possibly Mwinyi too.
 
Hili ni suala pana sana hata wanazuoni wa kiIslam wanamitazamo tofauti miongoni mwao je kweli dini ni jibu la jamii kuacha uovu au tamaduni ndiyo muarobaini wa kupambana na uovu ambapo mtoto anaongozwa zaidi na kuambiwa na wazazi kuwa jambo hili ni baya, pia familia iliyomzunguka ikasisitiza uadilifu, pia mtaa anaokaa ukawa na watu wenye tamaduni wa uadilifu, kijiji, mji hadi taifa ndiyo huunda jamii njema yenye uadilifu.

Taifa liwe ndilo lenye utamaduni huo wa uadilifu ndiyo jibu sahihi kwani masheikh, maaskofu, makuhani n.k ambao ni watu wa imani kubwa wanaloleta ni migawanyiko katika jamiii wakati tamaduni hukumbatia watu wote bila kujali imani zao na tamaduni kuleta umoja na kuwezesha kuondoa mtanzuko wa kuwachanganya raia ktk taifa lao.

Mfano suala la utumwa, dini nyingi zinasema vitabu vyao vya kiimani vinatamka ni haki kuwa na watumwa lakini dola / serikali inasema siyo uadilifu kutetea utumwa na hilo linapatiwa ufumbuzi kupitia tamaduni ya taifa kukataa utumwa. Haki za wanawake kuwa viongozi pia dini nyingi haziwapi haki sawa lakini kupitia utamaduni wa kiSecular tunajenga uadilifu kuwa binadamu wote ni sawa hivyo katika suala la uongozi wanawake pia wana haki za ubinadamu

Hapa ndipo tunapoona umuhimu wa serikali ya ki secular ili kuhakikisha ktk jamii haki za elimu, nafasi za kuingia ktk ngazi za maamuzi, kupata chanjo n.k zinalindwa bila kuegamia imani ya kidini kuwa hii ni haramu au katazo au ni kinyume na maagizo ya mitume n.k

Islam, Human Rights, and the Secular (with Talal Asad and Abdullahi An-Naim)


Islam, Human Rights, and the Secular (with Talal Asad and Abdullahi An-Naim)
: http://berkleycenter.georgetown.edu September 28, 2009 | Can one ground universal human rights in the Islamic tradition?

How do secular notions of human rights-- and those derived from other religious traditions--compare with Islamic perspectives?

Does the secular and democratic state pose a threat to Islam? Or might it in fact provide the best possible guarantee of the rights of Muslim citizens?

Two leading Muslim scholars, Talal Asad and Abdullahi An-Naim, discussed these questions with Jose Casanova, Professor of Sociology and Senior Fellow in the Berkley Center. This event was co-sponsored by the Berkley Center for Religion, Peace, and World Affairs and the Prince Alwaleed bin Talal Center for Muslim-Christian Understanding. Talal Asad's work has redefined how we think about religion and secularity in modernity.

Distinguished Professor of Anthropology at the City University of New York Graduate Center, he has published widely on religion and social and political theory, with a particular focus on Islam.

His recent books include: Formations of the Secular: Christianity, Islam, Modernity; On Suicide Bombing; and Genealogies of Religion: Disciplines and Reasons of Power in Christianity and Islam.

Among Asad's current projects are an exploration of the origins of modern human rights discourse and a study of the transformation of religious law in 19th and 20th century Egypt.

Abdullahi Ahmed An-Na'im is Charles Howard Candler Professor of Law at Emory University, where he focuses on cross-cultural human rights issues, with an emphasis on Islam. He is also a faculty member of the Emory College of Arts and Sciences and Emory University Center for Ethics.

During the fall 2009 semester he was a Visiting Professor of Arabic and Islamic Studies at Georgetown University and a Senior Fellow at the Berkley Center.

He is the author of Toward an Islamic Reformation(1990), African Constitutionalism and the Role of Islam (2006) and Islam and the Secular State: Negotiating the Future of Shari'a (2008).

An-Na'im holds LL.B. degrees from the University of Khartoum and the University of Cambridge, and earned his Ph.D. in Law from the University of Edinburgh.
 
Wanaharakati vita yetu si ya damu na nyama,bali ni ya kutumia maarifa na ufahamu.

Dua yangu
''Ee ulimwengu nifundishe niwe na maarifa,niendeleze akili yangu ili nipate hekima.''

Tanganyika ilipopata uhuru,viongozi wa kiislamu walikusanyika kwa nyerere kuona nafasi yao ndani ya serikali ni ipi!.Wakristo nao hasa Romani katoliki walimwendea nyerere kuona nafasi yao ndani ya serikali ni ipi!.Kwa wakati huo waislamu waliku wengi kuliko wakristo.

Rafiki zangu majibu ya nyerere yalikuwa hivi ''serikali yetu haina dini'' akitetea kiti chake bila kufahamu akauonyesha udini hadharani kwa kuapisha viongozi,kwa kumia misahafu.Zaidi kila mwanafunzi mtanzania akawa anaulizwa dini yake.Ikiwa ni mwislamu au ikiwa ni mkristo wanajaza kwenye taarifa zake.Mambo hayo yapo mpaka chuoni.Ukiingia kwenye halmashauri zao,katika idara ya utumishi na utawala.Maafisa utumishi wana mfumo unaoitwa TANGE(TAARIFA ZOTE ZA KILA MFANYAKAZI).Ndani ya taarifa hizo utajua kila dini ya mfanyakazi,mishahara yake na kadhalika.

Mambo yakiniendea vyema siku zijazo nitawapa source of information.

Alipowajibu hivyo kukatokea na mkanganyiko.Waislamu wakidai tumemsaidia kupata uhuru leo hii anatujibu hivi!Uadui ukaanza ikiwemo nyerere na bibi titi mohamed.

Wakati huo nyerere alishangaa kuona kila msafara wa mufiti mkuu unazungukwa na watu wengi kama mchanga wa bahari kuliko hata misafara yake.Alichokifanya akaanza kamata kamata ya viongozi maarufu na wenye ushawishi wa kiislamu,na kuwatupa gerezani.Waislamu wakaanza kuogopa na kuishiwa nguvu,pamoja na kasi ya ukuaji wake akafifia.Huku dola ya kikristo ikizidi kupanua mbawa zake kwenye sekta nyeti za serikali.Mfano askali mmoja kipindi cha nyerere alipata kusema ''mimi sijawahi kupanda cheo kwa sababu mimi ni mwislamu hadi nastaafu''.UDINI NI MBAYA SANA.

SERIKALI YETU IMEJENGWA KWA MISINGI YA ROMANI KATOLIKI.NI USHETANI.

Serikali yetu ilivyo ni matokeo ya dini ya Romani katoliki.
Ndani ya dini yao wana ''KATEKISIMU''
ambayo kila muumini hufaata mafundisho hayo ili kupata sakramenti ya ubatizo,komunio,kipaimara na kadhalika.

Mafundisho yake yanasema hivi ''kuna aina mbili za dhambi (dhambi kubwa na dhambi ndogo).Serikali yetu na yenyewe ikasema ''kuna kosa kubwa na kuna kosa dogo''.Hivyo kila mtu atahukumiwa kulingana na kosa alofanya kama ni kubwa (kunyongwa/adhabu ya maisha)kosa dogo mfano kubaka miaka 30.Waislamu nao wakaupokea mfumo huu kama ulivyo bila kufikiri.TUMEJIZIKA WENYEWE.

Wakatoliki hawafati mafundisho ya yesu kristo kwani alisema ''aliyesamehewa pa kubwa hupenda sana na aliyesamehewa kidogo hupenda kidogo''.Ila wao wakakiuka msingi huo badala yake wakaishauri serikali iweke adhabu kulingana na kosa.Kwa maneno ya yesu mwenyewe naelewa kuwa KOSA NI KOSA LIWE KUBWA LIWE DOGO.

Tena yesu akaendelea kusema ''ndugu yako akikosa msamehe saba mara sabini.Wakatoliki wakashindwa kumwelewa yesu ''wakaishauri serikali kuwe na msamaha wa raisi lakini wa mashariti''yaani raisi anamsamehe mtu aliyehukumiwa kunyongwa kwa kuibadilisha hukumu kwamba apewe adhabu ya maisha na watu wanashangilia ooyooo,nani katuroga?

Kwa misingi ya yesu nigependa kuishauri serikali kama ifaatavyo.

1.Kosa ni kosa liwe dogo liwe kubwa ni kosa.Inafaa adhabu itolewe moja tu kwa wakosaji.Najua ndani ya serikali yetu kila kiongozi huja kwa sarakasi yake hivyo naishauri serikali adhabu ya kosa lolote isizidi mwaka mmoja tukijali utu na thamani ya watu wetu.Adhabu ya kifungo cha maisha na kifungo viondolewe TUNAJIMALIZA WENYEWE NA KUDHALILISHA TAIFA LETU.Maana turning point ya mtu ipo wakati wowote kuliko kuteketeza maisha yote ya mtu kufanya kazi za kitumwa serikalini.
2.Serikali yetu isiamini kwamba kwa kutoa adhabu kali inaimarisha nidhamu na usalama wa raia hapana bali inatengeneza taifa lenye uoga usio na maana.Hakuna ambaye hajawahi kutenda kosa naomba serikali iwe na mtazamo wa kibinadamu.
3.Msamaha wa raisi ujikite katika kuweka huru wafungwa wote kama itashindwa kutekeleza adhabu ya aina moja kwa wafungwa wote,maana kwa mafundisho ya yesu kusamehe hakuna mwisho kwa kila mtu bila upendeleo.
4.Wanasheria mnaokaa viti vya mbele mjitathimi na mfikiri kama binadamu.Wala hatutishwi na phd zenu na uzoefu wenu wa sheria.Tunataka haki itendeke kwa kila mtanzania mshaurini raisi na kiti chake kitaimarika.
5.Anzeni kujenga tanzania isiyo na dini.Mpaka sasa watu wanajua waislamu bwana wakishika madaraka ni wastaarabu,tena utasikia wakristo bwana yakiongoza ni madikiteta.Hiyo hatutaki kusikia tena.

Last,if not you leaders to change this,truly am telling you the truths;that the sun,the moon and the truths are always there.Everything will pass the right one is coming.


Na ONJO mpenzi wenu.
Mimi naunga mkono "KICHWA CHA MADA "pekee nilichokielewa. Haya yaliyoelezwa humo ndani ya mada yenyewe ambayo nimesoma aya ya mwanzo tu na kuona hayana mwelekeo, sikubaliani nayo.
 
Back
Top Bottom