Unaumauma sana maneno mkuu, sema tu ukiwa na rafiki ambae ni mtumwa amefungwa minyororo halafu ukamkuta baada ya miaka kadhaa kafunguliwa minyororo Ila still bado ni mtumwa, level za utumwa zinatofautiana kulingana na plantation uliyopo, mtumwa wa mtaani choka mbaya sio sawa na mtumwa anaefanya kazi kwenye Ofisi nzuri Ila wote ni watumwa tu tofauti ni kwamba mmoja kapigwa minyororo mwingine hana minyororoYumkini ukiwa na rafiki ambaye hana maendeleo, halafu ukakutana naye baada ya miaka michache ana maendeleo
At the end of the day amebakia kua mtumwaKwa hivyo, unapokutana na, kwa mfano, mtu ambaye alipata nafasi ya kuibia wananchi na kuwa tajiri mkubwa sana, lakini hakufanya hivyo, akijua kuwa cheo ni dhamana, akafanya kazi kwa uadikifu, akastaafu vizuri bila kupita njia za rushwa, kwa mtazamo fulani akawa masikini, huyu ni mtu wa kuheshimiwa, si mtu wa kubezwa kwa sababu hakuiba mali za umma kama jamii yetu ilivyotarajia.
Na usisahau wewe ni mtumwaHaipaswi kumdharau Binadamu yeyote, awe fukara, mlemavu, Tajiri n.k
Tuheshimiane tu.
Tena chai nzitoChai
Simulizi ya mtumwa mwingine aliehamishwa kutoka plantation moja kwenda plantation nyingine, mpe pole sana mtumwa huko aliko vipi bado hawamshikishiki mata.core pamoja na ukuu wakewa Mkoa? Maana pamoja na ukuu wake wa Mkoa yeye still bado ni mtumwaKuna mdada alikua bar maid anashikwa matako na walevi, Leo hii Ni mkuu wa mkoa.
Itakuwa ana kaelimu kidogoNita mdadisi nitaleta mrejesho hapa
Heshimu kila mtumwa unaepishana nae hata km wewe unatembelea usafiri mzuri mtumwa mwingine anatembea kwa Miguu kapauka kachoka kachakaaHeshimu kila kiumbe kilichozaliwa na mwanamke
makamu wa rais mbali hvo? Wakat akiwa sekretari.Maisha yanabadilika. Waluya wa Kenya wanasema vindu vichenjaga. Maana yake mambo hubadilika. Samia Suluhu Hasan le president kuna baadhi ya mawaziri walikuwa wanamchukulia poa akiwa makamu wa raisi. Sasa hv ndio president mwenyewe.
Mtumwa hakuna analolijua sababu ni mtumwaMimi na wewe hatujui
Mambo yamebadirika mtumwa, siku hizi wanapewa tu km mauaMiaka 5 michache aisee kutoka JKT mpkaa 3 nyota.
Sasa Binti kusalimiwa tu unarusha ngumi? jibu salamu basi.Wewe mtumwa tulia, your master is calling
Mtumwa tuliaSasa Binti kusalimiwa tu unarusha ngumi? jibu salamu basi.
Utumwa utumwaniHuyo katafuta mbanga/mbuyu ndio kafika hapo, hajatumia specialized skill yoyote kufika hapo
Hapana, mimi naheshimu watu wote, hata watumwa.Unaumauma sana maneno mkuu, sema tu ukiwa na rafiki ambae ni mtumwa amefungwa minyororo alafu ukamkuta baada ya miaka kadhaa kafunguliwa minyororo Ila still bado ni mtumwa, level za utumwa zinatofautiana kulingana na plantation uliyopo, mtumwa wa mtaani choka mbaya sio sawa na mtumwa anaefanya kazi kwenye Ofisi nzuri Ila wote ni watumwa tu tofauti ni kwamba mmoja kapigwa minyororo mwingine hana minyororo
Pole sana mtumwa
geodavie wa ngurumo ya upako, na nyumba ya matamko alikuwa mlinzi pia,Hawa ni wengi sana hata Sugu alikua Mlinzi wa getini baadhi ya wachungaji ukimtoa Mwmposa wakisimulia simulizi zao watakwambia waliwahi kua walinzi magetini
Nilichomaanisha ni kwamba unaemzungumzia au unaowazungumzia ni watumwa, nani amekwambia nakurudisha utumwani ikiwa kwamba still bado upo utumwani?Hapana, mimi naheshimu watu wote, hata watumwa.
Kuturudisha utumwani ni fedheha inayoonesha wewe kukosa usomi.
Kwa sababu, hata kama unataka kwenda kwa merit, katika maisha haya, sababu za mtu mmoja kuwa mtumwa na mtu mwingine kutokuwa mtumwa zinaweza zisiwe na uhusiano wowote na merit.
Zikawa zina uhusiano na bahati ya umezaliwa wapi tu.
Unachoweza kuita "kuumauma sana maneno" mimi ninaweza kukiita kukosa uwezo wa kusoma na kufuatilia mada.
Sijui sijawahi msikia akitamka hivyo,geodavie wa ngurumo ya upako, na nyumba ya matamko alikuwa mlinzi pia,