Hatudanganyiki ng’o!!

Hatudanganyiki ng’o!!

Kwakweli, I think hawajaguswa
Hakuna kitu kinaniuma waliopoteza uhai kwa kufuatwa ndani,au katoka dukani,kazini, mbaya zaidi watt wa kiume tu
Kila nikiwaza sipati jibu

Maombi nayoomba Mungu anisamehe
Kuna vitu vinaumiza sana, kuna muda niliwaza hivi wanaojiita wataalamu ( waganga wa kienyeji) hawawezi kufanya namna kwa zile damu kwamba kila aliyeshiriki kwa kutoa amri ya kuua ama kushika bunduki nao wafe wote.
 
Baada ya kukosa njia au namna ya kutokea, leo eti ndo anatoa pole kwa waliopoteza maisha yao!

Hiyo si pole ya dhati.

Kaitoa kwa sababu kaona hakuna namna. Ushahidi wa mauaji yake ni mwingi mno.

Wamejaribu kila aina ya spin, imeshindikana.

Walianza na kuwalaumu waandamanaji.

Wakaja na habari za AI, ikagoma.

Wamejaribu kukaa kimya wakiombea Watanzania watasahau, imeshindikana.

Vyombo vya habari vya ndani navyo vimejaribu kumkingia kifua kwa kutokuripoti hayo mauaji, imegonga mwamba.

Vyombo vya habari vya kimataifa kwa kusema ukweli havijaitupa Tanzania.

BBC, DW, First Post, na wengineo, wameendelea kuripoti kuhusu mauaji aliyoyafanya.

Kwenye jumuiya ya kimataifa, wanamcheka kwa dharau.

Watu wote tumeona hakuna watu milioni 32 waliojitokeza kupiga kura.

Sasa eti anakuja na mambo ya pole, sijui tume ya kuchunguza mauaji, sijui maridhiano nini nini….

Mimi nasema hivi…..hatuutaki huo ujinga wako.

Kuua uue wewe halafu wewe huyo huyo ndo uunde tume ya kuchunguza hayo mauaji yako?

Hivi unatuonaje we bibi?

Hayo ndo yaleyale ya tume ya uchaguzi. Unaiunda mwenyewe halafu unakuja kushiriki uchaguzi ambao hiyo tume inauendesha.

Tumeona matokeo yake.

Safari hii imekula kwako. Pole yako baki nayo mwenyewe.

Tume yako baki nayo mwenyewe.

Kwa sasa jiandae tu na kwenda kujibu mashitaka kule ICC.
Huyu kashaelekea kibra. Ni mteja mtarajiwa wa ICC

Waziri wa Mambo ya Nje wa Denmark keshapiga nyundo.
 
Baada ya kukosa njia au namna ya kutokea, leo eti ndo anatoa pole kwa waliopoteza maisha yao!

Hiyo si pole ya dhati.

Kaitoa kwa sababu kaona hakuna namna. Ushahidi wa mauaji yake ni mwingi mno.

Wamejaribu kila aina ya spin, imeshindikana.

Walianza na kuwalaumu waandamanaji.

Wakaja na habari za AI, ikagoma.

Wamejaribu kukaa kimya wakiombea Watanzania watasahau, imeshindikana.

Vyombo vya habari vya ndani navyo vimejaribu kumkingia kifua kwa kutokuripoti hayo mauaji, imegonga mwamba.

Vyombo vya habari vya kimataifa kwa kusema ukweli havijaitupa Tanzania.

BBC, DW, First Post, na wengineo, wameendelea kuripoti kuhusu mauaji aliyoyafanya.

Kwenye jumuiya ya kimataifa, wanamcheka kwa dharau.

Watu wote tumeona hakuna watu milioni 32 waliojitokeza kupiga kura.

Sasa eti anakuja na mambo ya pole, sijui tume ya kuchunguza mauaji, sijui maridhiano nini nini….

Mimi nasema hivi…..hatuutaki huo ujinga wako.

Kuua uue wewe halafu wewe huyo huyo ndo uunde tume ya kuchunguza hayo mauaji yako?

Hivi unatuonaje we bibi?

Hayo ndo yaleyale ya tume ya uchaguzi. Unaiunda mwenyewe halafu unakuja kushiriki uchaguzi ambao hiyo tume inauendesha.

Tumeona matokeo yake.

Safari hii imekula kwako. Pole yako baki nayo mwenyewe.

Tume yako baki nayo mwenyewe.

Kwa sasa jiandae tu na kwenda kujibu mashitaka kule ICC.


Kwenye jumuiya za kimataifa hatupoi hata kidogo, kaingia kingi mwenyewe.
 
Kuna vitu vinaumiza sana, kuna muda niliwaza hivi wanaojiita wataalamu ( waganga wa kienyeji) hawawezi kufanya namna kwa zile damu kwamba kila aliyeshiriki kwa kutoa amri ya kuua ama kushika bunduki nao wafe wote.
Hao ndo wako kuufanikisha huo mfumo km hujui

But wanaoamini hayo mambo wamezika nguo na kufanya mambo yao wanasema hiyo ni balaa huwa haiachi mtu familia nzima....km ulionq clip ya njombe wanasema kile kimefqnyika baada ya kukosa mwili...
Mi naamini ktk Mungu ambacho ningefanya,ni zaburi 109
 
Kaona Hali ngumu eti ndo anajitokeza hizo damu ulizo mwaga ni swala la muda, yeye na yule wa Uganda full movie is coming soon, be ready bibi netanyahu
 
Baada ya kukosa njia au namna ya kutokea, leo eti ndo anatoa pole kwa waliopoteza maisha yao!

Hiyo si pole ya dhati.

Kaitoa kwa sababu kaona hakuna namna. Ushahidi wa mauaji yake ni mwingi mno.

Wamejaribu kila aina ya spin, imeshindikana.

Walianza na kuwalaumu waandamanaji.

Wakaja na habari za AI, ikagoma.

Wamejaribu kukaa kimya wakiombea Watanzania watasahau, imeshindikana.

Vyombo vya habari vya ndani navyo vimejaribu kumkingia kifua kwa kutokuripoti hayo mauaji, imegonga mwamba.

Vyombo vya habari vya kimataifa kwa kusema ukweli havijaitupa Tanzania.

BBC, DW, First Post, na wengineo, wameendelea kuripoti kuhusu mauaji aliyoyafanya.

Kwenye jumuiya ya kimataifa, wanamcheka kwa dharau.

Watu wote tumeona hakuna watu milioni 32 waliojitokeza kupiga kura.

Sasa eti anakuja na mambo ya pole, sijui tume ya kuchunguza mauaji, sijui maridhiano nini nini….

Mimi nasema hivi…..hatuutaki huo ujinga wako.

Kuua uue wewe halafu wewe huyo huyo ndo uunde tume ya kuchunguza hayo mauaji yako?

Hivi unatuonaje we bibi?

Hayo ndo yaleyale ya tume ya uchaguzi. Unaiunda mwenyewe halafu unakuja kushiriki uchaguzi ambao hiyo tume inauendesha.

Tumeona matokeo yake.

Safari hii imekula kwako. Pole yako baki nayo mwenyewe.

Tume yako baki nayo mwenyewe.

Kwa sasa jiandae tu na kwenda kujibu mashitaka kule ICC.
Chura kiziwi anaishi kwa mazoea na dharau.

Ilikuwa hotuba ya hadaa. Akili za Kikwete hizo.
 
Baada ya kukosa njia au namna ya kutokea, leo eti ndo anatoa pole kwa waliopoteza maisha yao!

Hiyo si pole ya dhati.

Kaitoa kwa sababu kaona hakuna namna. Ushahidi wa mauaji yake ni mwingi mno.

Wamejaribu kila aina ya spin, imeshindikana.

Walianza na kuwalaumu waandamanaji.

Wakaja na habari za AI, ikagoma.

Wamejaribu kukaa kimya wakiombea Watanzania watasahau, imeshindikana.

Vyombo vya habari vya ndani navyo vimejaribu kumkingia kifua kwa kutokuripoti hayo mauaji, imegonga mwamba.

Vyombo vya habari vya kimataifa kwa kusema ukweli havijaitupa Tanzania.

BBC, DW, First Post, na wengineo, wameendelea kuripoti kuhusu mauaji aliyoyafanya.

Kwenye jumuiya ya kimataifa, wanamcheka kwa dharau.

Watu wote tumeona hakuna watu milioni 32 waliojitokeza kupiga kura.

Sasa eti anakuja na mambo ya pole, sijui tume ya kuchunguza mauaji, sijui maridhiano nini nini….

Mimi nasema hivi…..hatuutaki huo ujinga wako.

Kuua uue wewe halafu wewe huyo huyo ndo uunde tume ya kuchunguza hayo mauaji yako?

Hivi unatuonaje we bibi?

Hayo ndo yaleyale ya tume ya uchaguzi. Unaiunda mwenyewe halafu unakuja kushiriki uchaguzi ambao hiyo tume inauendesha.

Tumeona matokeo yake.

Safari hii imekula kwako. Pole yako baki nayo mwenyewe.

Tume yako baki nayo mwenyewe.

Kwa sasa jiandae tu na kwenda kujibu mashitaka kule ICC.
.
 
Umezungumza kitu ambacho wengi kimetushangaza

Juzi tulikua na watu fulani tumekaa tukawa tunajiuliza wale watu hawakua na akili? Sababu binadamu mwenye akili hawezi kushoot risasi kila anachokiona mbele yake. Wanaingia kibanda umiza wanakuta Watoto wanaangalia mpira, wanawalaza chini na kuwapiga risasi kisogoni wote, Hakuna hata mmpja wa kushtua wenzie kuwa hii acheni?
Walikusudia kufanya hivyo,Mchengerwa alishatoa kauli kuwa hakuna kuoneana huruma,”Show no Mercy no anyone” “hakuna mtu alitoa amri kuwa waache Mara moja kupiga watu risasi,hakuna.Mpaka sasa hatujasikia mtu yoyote amekamatwa japo picha za wahusika zimezagaa mitandaoni.Wamekamata vijana kwa lengo la kutaka kubadilisha narrative kwa kufanya blame shifting,kitu ambacho kimeshindikana kwa sababu ya evidence,safari hii hawawezi kufanya spin kujitoa,Watanzania wameshajua jinsi ya kukabiliana nao..
 
Kwa sasa watanganyika wameamka akiibuka chawa wanamshona vilivyo hadi anarudi mafichoni.

Kibibi hadi sasa kimefunga comments katika account zake zote za mitandao ya kijamii .

Limebaki zoezi moja tu la watu waweze kususia huduma na viburidisho vingine vya madhalimu na wanoiunga mkono serikali batili ambayo haikutokana na wananchi hiyo ikifanikiwa watashika adabu vizuri zaidi.

Wananchi wakianza kususia usafiri wa mafisadi, kuweka mafuta katika filling stations za mafisadi, kucancel subscription za media za kitanzania, uanachama wa Simba na Yanga, kugomea kwenda viwanjani mechi za Simba na Yanga hii itawaamsha na movement itakua imekaa vyema.
Liberation Day, D9
 
Huyu mtu amefanya ushetani ambao hakuna dikteta yeyote aliwahi kuufanya dhidi ya wananchi wake.

Huyu kwa sasa ni dhahiri ndiye adui namba 1 wa Tanganyika. Adui yako mkuu kamwe hawezi kukutengenezea maridhiano, wala hawezi kuumizwa na mateso yako. Huyu hatufai, aondoke, yeye na mwanaye wapelekwe mahakama za kimataifa wakajibu ushetani wao. Kuwepo kwenye nchi yetu, tuseme, HAPANA.
 
Kwa mauaji yaliyotokea nimekuwa nikimuombea mabaya Mungu anisamehe, ila siwezi hata kumsikiliza nahisi kichefuchefu
Mimi yule dogo mwanafunzi aliepigwa risasi kila nikukumbuka hio video nakosa raha kbs
 
Back
Top Bottom