Hatudanganyiki ng’o!!

Hatudanganyiki ng’o!!

Daah huyu mama ni shetani
downloadfile.jpg
 
Msiendelee kuhamasisha vurugu maana kilichofanyika ni vurugu sio maandamano.

Kwenda kuharibu mali za watu na miundombinu ni uhalifu sio kuandamana.

Namna watu walivyoteseka kwa kukaa ndani, watoto na wazee kupata mshtuko baada ya vurugu kuisha, hii isijirudie tena.

Msichochee mateso kwa watu wasiokuwa na hatia.
 
Back
Top Bottom