Ni wapumbavu sana.Pressure nje ya nchi is too high, they cant keep up
Wanaona TZ, ni mali yao. Kama vile siyo sehemu ya dunia.
Ni wapumbavu sana.Pressure nje ya nchi is too high, they cant keep up
Kuna video waliwapa mpaka traffic wakaanza kupiga watu risasi majumbani kwaoI still do not understand why they were shooting indiscriminately... Kile kiwango cha kutokujali hutegemei kitoke kwenye trained officers.... Ni kama walipata wazimu
Umezungumza kitu ambacho wengi kimetushangazaI still do not understand why they were shooting indiscriminately... Kile kiwango cha kutokujali hutegemei kitoke kwenye trained officers.... Ni kama walipata wazimu
Inasikitisha sanaI still do not understand why they were shooting indiscriminately... Kile kiwango cha kutokujali hutegemei kitoke kwenye trained officers.... Ni kama walipata wazimu
Khaaaaaaa!
Inasikitisha sanaBaada ya kukosa njia au namna ya kutokea, leo eti ndo anatoa pole kwa waliopoteza maisha yao!
Hiyo si pole ya dhati.
Kaitoa kwa sababu kaona hakuna namna. Ushahidi wa mauaji yake ni mwingi mno.
Wamejaribu kila aina ya spin, imeshindikana.
Walianza na kuwalaumu waandamanaji.
Wakaja na habari za AI, ikagoma.
Wamejaribu kukaa kimya wakiombea Watanzania watasahau, imeshindikana.
Vyombo vya habari vya ndani navyo vimejaribu kumkingia kifua kwa kutokuripoti hayo mauaji, imegonga mwamba.
Vyombo vya habari vya kimataifa kwa kusema ukweli havijaitupa Tanzania.
BBC, DW, First Post, na wengineo, wameendelea kuripoti kuhusu mauaji aliyoyafanya.
Kwenye jumuiya ya kimataifa, wanamcheka kwa dharau.
Watu wote tumeona hakuna watu milioni 32 waliojitokeza kupiga kura.
Sasa eti anakuja na mambo ya pole, sijui tume ya kuchunguza mauaji, sijui maridhiano nini nini….
Mimi nasema hivi…..hatuutaki huo ujinga wako.
Kuua uue wewe halafu wewe huyo huyo ndo uunde tume ya kuchunguza hayo mauaji yako?
Hivi unatuonaje we bibi?
Hayo ndo yaleyale ya tume ya uchaguzi. Unaiunda mwenyewe halafu unakuja kushiriki uchaguzi ambao hiyo tume inauendesha.
Tumeona matokeo yake.
Safari hii imekula kwako. Pole yako baki nayo mwenyewe.
Tume yako baki nayo mwenyewe.
Kwa sasa jiandae tu na kwenda kujibu mashitaka kule ICC.
Ukisikia gia ya kutafuta kutokea ndiyo hiiBaada ya kukosa njia au namna ya kutokea, leo eti ndo anatoa pole kwa waliopoteza maisha yao!
Hiyo si pole ya dhati.
Kaitoa kwa sababu kaona hakuna namna. Ushahidi wa mauaji yake ni mwingi mno.
Wamejaribu kila aina ya spin, imeshindikana.
Walianza na kuwalaumu waandamanaji.
Wakaja na habari za AI, ikagoma.
Wamejaribu kukaa kimya wakiombea Watanzania watasahau, imeshindikana.
Vyombo vya habari vya ndani navyo vimejaribu kumkingia kifua kwa kutokuripoti hayo mauaji, imegonga mwamba.
Vyombo vya habari vya kimataifa kwa kusema ukweli havijaitupa Tanzania.
BBC, DW, First Post, na wengineo, wameendelea kuripoti kuhusu mauaji aliyoyafanya.
Kwenye jumuiya ya kimataifa, wanamcheka kwa dharau.
Watu wote tumeona hakuna watu milioni 32 waliojitokeza kupiga kura.
Sasa eti anakuja na mambo ya pole, sijui tume ya kuchunguza mauaji, sijui maridhiano nini nini….
Mimi nasema hivi…..hatuutaki huo ujinga wako.
Kuua uue wewe halafu wewe huyo huyo ndo uunde tume ya kuchunguza hayo mauaji yako?
Hivi unatuonaje we bibi?
Hayo ndo yaleyale ya tume ya uchaguzi. Unaiunda mwenyewe halafu unakuja kushiriki uchaguzi ambao hiyo tume inauendesha.
Tumeona matokeo yake.
Safari hii imekula kwako. Pole yako baki nayo mwenyewe.
Tume yako baki nayo mwenyewe.
Kwa sasa jiandae tu na kwenda kujibu mashitaka kule ICC.
Yeye alihusika kutoa amri ya mauaji, vinginevyo mabomu ya machozi ndo yangetawalaKa acknowledge baada ya wiki mbili!
Baada ya kuona hakuna namna.
So insincere.
Mimi kila nikisikia sauti yake najisikia kubeba panga na kwenda kumkatakata mtu…..Kwa ambaye ana hicho kipande akitoa pole naomba akiweke humu naomba kiwe na sekunde chache sana kisiwe kikubwa sana Kwa faida ya wengi tafadhali maana binafsi nashindwa kabisa kumsiliza hata Kwa dakika mbili siwezi kabisa
walipewa go aheadI still do not understand why they were shooting indiscriminately... Kile kiwango cha kutokujali hutegemei kitoke kwenye trained officers.... Ni kama walipata wazimu
inabidi watombw.eSasa kafungua bomba la pole kwa wafiwa na ajeruhi wa maandamano, utayasikia machawa yote yakimimina pole pamoja na vyombo vya habari ya Tanzania. Nyie subirini tu mtaona na kusikia wenyewe.
Naam.Yeye alihusika kutoa amri ya mauaji, vinginevyo mabomu ya machozi ndo yangetawala
Si kwa yale matunduHalafu walikuwa wantumia high caliber bullets.
Evil bastards.
Sasa watuambie wameua wangapi na wengine wamewapeleka wapi?At least wame acknowledge kulikuwepo mauaji. Ni hatua muhimu. Viongozi wa TZ walianza katabia cha kukana vitu ambavyo vipo dhahiri. Ngoja tuone yajayo.
Hakika. Kulikuwepo namna nyingi tu.Naam.
Mabomu ya machozi. Maji ya upupu. Risasi za mpira. Kamata na piga pingu. Pandisha kwenye karandinga.
Lakini siyo kuua. Kuwafuata watu majumbani mwao na kuwaua.
Kupiga risasi watoto.
Dah hasira zinanipanda tu hapa.