Wadanganye wajinga.
Maana ya uchaguzi ni kuruhusu wanachama mbali mbali wagombee nafasi wanazotaka.
Sasa lazima awe mwenyekiti INA maana unatunyima sisi wajumbe ama wanachama kushindwa kutumia vyema katiba yetu ya kuchagua ama kuchaguliwa.
Ina maana mnafunga mlango wa ushindani kwa nafasi ya uenyekiti.
Swali dogo tu ninyi,INA maana mwenyekiti akiwa mwingine tofauti na Mbowe marupurupu yenu yanakwisha?
Kagombeeni ubunge vunjo ama mwanga ili msife njaa maana mwenyekiti wetu wa chama atakuwa tofauti na Mbowe
Maana ya uchaguzi ni kuruhusu wanachama mbali mbali wagombee nafasi wanazotaka.
Sasa lazima awe mwenyekiti INA maana unatunyima sisi wajumbe ama wanachama kushindwa kutumia vyema katiba yetu ya kuchagua ama kuchaguliwa.
Ina maana mnafunga mlango wa ushindani kwa nafasi ya uenyekiti.
Swali dogo tu ninyi,INA maana mwenyekiti akiwa mwingine tofauti na Mbowe marupurupu yenu yanakwisha?
Kagombeeni ubunge vunjo ama mwanga ili msife njaa maana mwenyekiti wetu wa chama atakuwa tofauti na Mbowe
CDM siyo sawa na CCM.Huku hakuna Team Mbowe.Huku kuna Team CDM
