Kwa nini hakuna uchaguzi Huru na haki?So unaamini kuwa hata chamani hakuna uchaguzi huru na wa haki si ndio,
Same story different version but all are true, niambie tofauti za Mbowe na kina Kagame na Museven kwenye kuhodhi madaraka.Anajitengenezaje kuwa Sultani? Au kwa kuwa umekaririshwa na wewe unatiririka tu!!
Kwa nini hakuna uchaguzi Huru na haki?
Ni nani aligombea Uenyekiti ndani ya CHADEMA akakataliwa?Same story different version but all are true, niambie tofauti za Mbowe na kina Kagame na Museven kwenye kuhodhi madaraka.
Wote wanatumia njia moja mwendo mmoja ila kule n nchi na hapa n chama.
Remind me ni kina Nani wenye nguvu ndani ya chama waliowahi kugombea uenyekiti wakasurvive?
NashangaaNi nani aligombea Uenyekiti ndani ya CHADEMA akakataliwa?
Hujajibu swali hapo nimekuomba unikumbushe ni kina Nani wenye nguvu kicheo CHADEMA waligombea uenyekiti wakasurvive namaanisha , makamo mwenyekiti , ama katibu and the likes ile top layer .Ni nani aligombea Uenyekiti ndani ya CHADEMA akakataliwa?
Reduced to nothing?Naamini umetumia maneno makali bila sababu.Thanks for much respect, hata mimi bado naikumbuka ile ban yangu ya kwanza na probably ya mwisho, ulionisababishia tena kwa kunisingizia kuwa ni mimi nimekutangaza humu jf Molemo ni nani ndani ya Chadema, wakati aliyekutata wewe sio mimi, ukanishitaki nikala ban na bandiko langu lote likafutwa!, japo nimeisha forgive but not forget, ila nakuheshimu sana, na wapenda demokrasia wote wa kweli hata walioko ndani ya CCM, wanapenda kuona nchi yetu inakuwa na strong na credible opposition, na Chadema was the only hope kwa Tanzania bara, lakini haya maroroso yenu, yanawakatisha sana tamaa walio wengi, msipokubali kubadilika, 2020 you're going to be reduced to nothing!.
Ni kweli Kamanda kafanya mengi makubwa, lakini amefikia optimum performance ya uwezo wake, he can not do anything more than what he can.
P
Mkuu lazima ukubali Mikakati ya mbowe (Hata ikiwa ya siri) imetufikisha hapa tulipo, kimoja nachokumbuka nna rafiki yangu wa karibu kabisa ni viti maalum kwa sasa alikuwa na kipaji haswaa cha uongozi na hata kujenga hoja pale mzumbe nakumbuka kina Mbowe walikuja na kuidentify kipaji chake na kumuomba ajiunge CHADEMA kiufupi walifanya sourcing ya namna hiyo vyuoni enzi hizo ndio kashika uenyekiti ili kupata vijana wenye potential na hii ndio ikawa siri ya CHADEMA kuwa na loyal youth politicians waliokua msingi wa kuishusha kabisa ushawishi CCM.Nashindwa kukubali au kukanusha dai/hoja kwamba CHADEMA imefika hapo ilipo (Chama Kikuu cha Upinzani) kwa juhudi au mikakati ya Mbowe kwa kuwa waleta dai/hoja hiyo hawabainishi juhudi/mikakati hiyo ni ipi.
Yote tisa yawe kweli, moja tu la kumi tukubali kila binadamu ana ukomo wake wa kufanya/kutenda kwa kiwango cha juu. Kwa sababu ya mapungufu hayo ya kibinadamu na mabadiliko ya kijamii, kisiasa, kiuchumi na kiteknolojia, ni dhahiri kwamba Katiba nyingi huweka ukomo wa uongozi.
Isitoshe hata kiuhalisia hakuna binadamu anayejitosheleza.
Hii hoja yako ndiyo imeufunga mjadala huu kwa upande wangu!!Mkuu lazima ukubali Mikakati ya mbowe (Hata ikiwa ya siri) imetufikisha hapa tulipo, kimoja nachokumbuka nna rafiki yangu wa karibu kabisa ni viti maalum kwa sasa alikuwa na kipaji haswaa cha uongozi na hata kujenga hoja pale mzumbe nakumbuka kina Mbowe walikuja na kuidentify kipaji chake na kumuomba ajiunge CHADEMA kiufupi walifanya sourcing ya namna hiyo vyuoni enzi hizo ndio kashika uenyekiti ili kupata vijana wenye potential na hii ndio ikawa siri ya CHADEMA kuwa na loyal youth politicians waliokua msingi wa kuishusha kabisa ushawishi CCM.
Unapotafuta ukweli wa jambo kwenye process nyingi lazima utambue ni wakati gani kwenye hiyo process kuna reaction iliyochochea mabadiliko ndio utagundua kama kuna relationship ya mbowe na kukua kwa chama.
Ukiangalia wakati ambapo CHADEMA ilianza kupaa ni kuanzia 2005 wakati ambao ndio mbowe alikua mgombea wao wa kwanza wa Urais na alikua ndio fresh chairman hivyo unawezaje pinga mbowe hahusiki ilihali kabla ya hapi chadema ilikuwepo ila ya kawaida tu why mbowe??
Alibadili nembo ya chama/ Bendera, rangi, katiba, sera, mfumo wa uendeshaji siasa/kampeni, kukifanya chadema kutoka chama cha maofisini kuwa cha kuleta mabadiliko/kikamanda hata ndio wakati wake tulianza vaa Combat na misemo kama People's Powerr ilitumika zaidi wakati wake.
Hii ilikipa taswira mpya kabisa na kama kilizaliwa upya na kujenga misingi ya kuwatumia vijana kama ngazi ya kuleta mabadiliko maana aliamini wazee walishatekwa na CCM ideology ila vijana waliozaliwa miaka ya 90 huko walikulia wakati wa vyama vingi hivyo CCM haikuwa issue sana kwao. And hii strategy alone iliifuta kabisa CCM hapa nchini hasa kuanzai uchaguzi wa 2010.
2. Kuhusu kila binadamu kufikia mwisho wa uwezo wake ni kweli na ndio maana CHADEMA kuna uchaguzi kila baada ya miaka 5 hivyo akionekana kafika mwisho wa uwezo wake anachaguliwa mwingine. Sasa sielewi kivipi ukomo ndio kigezo cha uwezo wa mtu kufika mwisho wakati kuna parameters zinazopima uwezo wake zinajadiliwa huko kamati kuu.
Nachokiona hapa watu wanaongozwa na mahaba kuliko facts. Mfano timu za mpira unakuta haichukui ligi miaka na miaka ila kocha hatimuliwi sie wa nje tunaweza toka mapovu kuwa mbona kocha fulani hatimuliwi kumbe Jukumu lake analobeba timu sio makombe bali stability kwenye dressing room,nidhamu,kudhibiti fedha n.k
Same kwako na Pascal Mayalla mnapima saturation point kwa kuangalia CHADEMA haifanyi mikutano,wabunge wanaondoka n.k bila kujua kuna parameters Kamati Kuu wanatumia kumjudge Mbowe labda connection na wadhamini wa huko nje, uwezo wake wa kujenga nidhamu kwenye chama na vikao vya chama n.k sasa haya mambo kwa nje hamyaoni ila kamati kuu wanayaona.
Sasa nyie kivipi ndio mseme yupo saturation point ilihali huko ndani wanamtathmini kwa vigezo tofauti kabisa na mnavyowazia nyie hapa??
Ni hayo tu
Hoja zenu kwa mtazamo wenu zipo sahihi lakini n kiini macho , ndio maana nimekuuliza hapo kuna tofauti gani Kati ya hao niliokutajia mwanzo na Mbowe?allantence hoja zangu na za zitto junior havitofautini sana.
Nasisitiza tena kwamba hakuna mtu anayekatazwa kugombea Uenyekiti ndani ya CHADEMA na kama wewe unaona yupo anayefaa mpendekeze!!
- Hakuna anayekatazwa kugombea Uenyekiti ndani ya CHADEMA
- Ukomo wa muda wa uongozi upo ndani ya CHADEMA
- Mbowe hazuii wengine kugombea
- Uchaguzi huru na wa haki ndiyo kigezo kikuu cha Demokrasia kwenye siasa
- Uko wa uongozi pekee siyo kiashiria cha demokrasia ndani ya taasisi
Hamjajua mpaka sasa tupo kwenye mfumo wa chama kimoja cha siasa ndani ya mfumo wa vyama vingi? Huyo Mnyika nae atapoa tu. Nasubiri siku Mbowe akituagiza tukinukishe tujue moja tunakufa, tunawekwa jela au tunafanya ukomboziMbowe hakika anafaa kuendelea ila katibu mkuu wake hapana kapoa sana kama maji ya mtungi katibu awe John Mnyika
No matter how good one is, ukifikia point ya saturation unakuwa a saturated solution, you can take no more than you can.
One can be very good and very instrumental ukafanya a lot of good things, lakini akifikia optimum ya uwezo wako, you can do no more good than you did.
Waasisi wa Chadema walioweka kipengele cha ukomo wa uongozi ni vipindi viwili vya miaka 5 mitano, ndani ya katiba ya Chadema, walikuwa na maana yao nzuri tuu, lakini jinsi kipengele hicho kilivyo yeyuka into thin air kwa kunyofolewa kinyemela, leaves much to be desired.
Na ukiizungumzia tuu hoja ya ukomo, wanakushukia kama mwewe!.
![]()
Tuhuma Hii: CHADEMA kuendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa
Wanabodi, Uendeshaji wa vyama vya siasa nchini, unaongozwa na sheria, taratibu na kanuni. Ikithibitika pasipo shaka kuwa chama fulani, kinakiuka sheria, taratibu na kanuni, kinapaswa kuwajibishwa, kuadhibiwa hata kufutwa, kutegemeana na tuhuma halisi!. Miongoni mwa masharti ya usajili wa...www.jamiiforums.com
P![]()
GE2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
Wanabodi, Preamble: Chadema ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo jina tuu, ila uendeshaji wake ni wa kidikteta wa hali ya juu!. Katiba yake inavipengele vya kidikteta vinavyokwenda kinyume cha katiba ya nchi!, hii thread ni ya swali tuu, Hivi Chadema ilivyo, bado haijakabidhiwa nchi, inatoa...www.jamiiforums.com
Tundu Lissu hafai kuwa Mwenyekti wa Chadema kwa kuwa ana mpango wa kuungana na Wahaini wa Visiwan pamoja na Mbembe mmoja toka Ujiji Kigoma ili kumvunja moyo Rais wetu kukomboa Nchi
Wakati Freeman Aikaeli Mbowe anachukua nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA Taifa kutoka kwa mzee Bob Nyanga Makani, alikuta kuna Wabunge wa 5 na Madiwani wasiozidi 75 nchi nzima. Wabunge wasioweza hata kujaza sebule yenu hapo.
Leo tukielekea kwenye uchaguzi mkuu mwingine wa ndani wa CHADEMA, Mwezi Desemba, 2019 CHADEMA kuna Wabunge zaidi ya 65 madiwani zadi ya 1500 nchi yote, halmashauri za kutosha na wanaunda kambi ya upinzani bungeni (KUB)
Hivyo ni vyema wewe "kijana - baro baro" wa leo mwenye kuendeshwa na "mihemko" kutambua haya mafaniko makubwa kabla ya kusema "Mbowe ameiua CHADEMA", inawezekana hujui hata CHADEMA imefikaje hapa ilipo leo, sio miujiza, ni STRATEGIES!
Kuna Vijana wa leo, labda kwa mihemko na juhudi za kutumika hawajui nguvu iliyotumika, jasho lililomwagika hadi kuifanya leo CHADEMA kuwa chama kikuu cha upinzani. Wanadhani ni kitu rahisi kama kucheza 'BIKO na TATU MZUKA'
Hatusemi kwamba Freeman Mbowe ni malaika, kwamba hakuna dosari na makosa kwenye uongozi wake, hapana, isipokuwa jasho, damu na machozi yake yamemwagika kwa ajili ya CHADEMA, tuhuma zenu zinapaswa kuwa 'Valid' wakati wa kumkosoa, tuhuma za JINAI zithibitishwe!
Freeman Aikaeli Mbowe ni mwenyekiti halali wa CHADEMA, na ataondoka madarakani siku wanachama wa CHADEMA wakisema "imetosha" kupitia mkutano mkuu, sio kwa sababu "Kuna kelele za CCM na mapandikizi" huko nje za "Mbowe ondoka! Mbowe ondoka!"
Mzee Bob Makani alikuwa na kadi namba Tatu ya CHADEMA, kadi namba Mbili ilikuwa ya Mzee Brown Ngilulupi na kadi namba moja ya Mzee Edwin Mtei, hawakukosea kamwe kumuona Freeman Mbowe na kumkabidhi CHADEMA ambayo ameifanya kuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania.
Mwisho, kimsingi, CHADEMA imebarikiwa kuwa na mwenyekiti kama Freeman Mbowe, wengine tuliopata fursa ya kufanya nae kazi au kukutana nae, tunajivunia sana, he's a man and a-half!
Stay blessed Chairman!
Mbowe Tano Tena Uchaguzi Mkuu 2019
Pia Rais wa nchi akifanya mazuri, ukomo uondolewe ili aendelee kutawala mpaka pale wananchi watakaposema basi!
Hakika sisi tuliokuwepo wakati ,wakati ambao chadema haikuweza kumsimamisha mgombea wa urais tunatambua jasho na damu aliyojitolea Mbowe kuijenga chadema na hata kulijenga taifa.Sikumbuki mwaka lakini nakumbuka kulikuwa na mkutano jangwani,wabunge wote wa kuchaguliwa walikuwepo pale na idadi yao ilikuwa wabunge wa tano tuu na Mbowe akiwepo,walilalamikia uchache wao na jinsi unavyowatesa bungeni.Nikiangalia leo kati ya wabunge hao watano wengine ni marehemu lakini baadhi yao wamekufa wakiwa tayari wamerudi ccm kutetea mkate wao na wengine wamepotea mfano Mheshimiwa.Mtungirehi.Aman Warudi Kabourou aliaga dunia akiwa ccm na hata kuwa mwenyekiti wa ccm mkoa wa Kigoma.Issac Cheyo na na yule mwingine wa Bariad walirudi ccm na hata kupewa ukuu wa wilaya.Mbowe amebaki imara hadi leo.Hakika Mbowe na Chuma cha mjerumani na ni sauti ya zege kama alivyojitambulisha siku ile.Hakika Mbowe ni kiongozi shupavu .
Ndo tumegota hapo na hivyo ndivyo tunavyowaza sie wana 'ufipa' ....aah we Mbowe endelea tu.